Luku tanesco vipi mmeanza zengwe Tena mbona nanunua umeme inakataa inasema mita namba haipo?
Natumia tigo .
Nenda tanesco wamekutoa kwenye tariff uliyokuwepo umepelekwa nyingineLuku tanesco vipi mmeanza zengwe Tena mbona nanunua umeme inakataa inasema mita namba haipo?
Natumia tigo .
Hii hali jana ilikalisha gizani masaa matatuLuku tanesco vipi mmeanza zengwe Tena mbona nanunua umeme inakataa inasema mita namba haipo?
Natumia tigo .
Tafadhali tutumie namba ya mita tuangalie na kukujulishaLuku tanesco vipi mmeanza zengwe Tena mbona nanunua umeme inakataa inasema mita namba haipo?
Natumia tigo.
Nina kiwanja changu kigamboni, kimepimwa na kipi kwenye mradi. cha kushangaza TANESCO mumeweka nguzo ya umeme ndani ya kiwanja. kwanini mfanya hivyo na mlijua fika kuwa mnaweka nguzo ndani ya kiwanja cha mtuTafadhali tutumie namba ya mita tuangalie na kukujulisha
Mkuu kila nguzo unayoiona ipo kwenye kiwanjia cha mtu, kanguzo kenyewe kembaba lakini ushamind, wewe mlugulu nini, hao ndo wenye tabia hizo. Ukiona umewekewa nguzo kiwanjani kwako si ufurahi sasa!!Nina kiwanja changu kigamboni, kimepimwa na kipi kwenye mradi. cha kushangaza TANESCO mumeweka nguzo ya umeme ndani ya kiwanja. kwanini mfanya hivyo na mlijua fika kuwa mnaweka nguzo ndani ya kiwanja cha mtu