Mwenye uzoefu na hili wandugu.
Nahitaji kununua gari ya kubeba mizigo (i.e canter). Nikinunua gari kutoka Zanzibar na kuja kulitumia hapa bara ntatakiwa kulilipia ushuru gani?
Je kuna chochote ntatakiwa lipia endapo ntataka kulitumia bila ya kubadilisha jina na kulisajiri bara?
Asante.
Nahitaji kununua gari ya kubeba mizigo (i.e canter). Nikinunua gari kutoka Zanzibar na kuja kulitumia hapa bara ntatakiwa kulilipia ushuru gani?
Je kuna chochote ntatakiwa lipia endapo ntataka kulitumia bila ya kubadilisha jina na kulisajiri bara?
Asante.