Jephta2003
JF-Expert Member
- Feb 27, 2008
- 6,501
- 6,201
Umeuliza hapa umeambiwa unataka kupigwa huelewi,hizo bei ndogo ndio asali ya kukuvuta wakuibie,SIKIO LA KUFA HALISIKII DAWALakini nasikia wao wanashikilia pesa mpaka gari likufikie ndo wanafanya malipo kwa muuzaji ama