willy ze great
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 1,026
- 1,179
Avae soksi na kufua baada ya siku tatu
Hakuna dawa ya kunuka miguu hapa dunianisallute wakuu...naomben msaada wenu nina kijana wa age 21yrs ana tatizo la kunuka miguu..yaan akivua viatu hapo ndan hakukaliki, miguu anaosha vizur na kabla ya kuvaa viatu hua anaikausha vizuri tu. je tatizo labda ni nini na dawa yake ni nini,,,msaada mwenye kujua
Mmemsaidiaje sasa mkuu kumaliza tatizo hilo?Mkuu ilo swala noma kuna jamaa huwa hatumruhusu kuvua viatu akianza kuingia ndani ni bora aingie navyo,akivua mnatafuta mengine na kama unakifua kibovu unaumwa.
Asante kiongoz ingawa viatu anavyo pair 4..pair 4 kwa mwanaume ni viatu vingi sana mimi binafs nina pair 2 tu na sinuk miguuHakuna dawa ya kunuka miguu hapa duniani
Fanya hivi mnunulie viatu vya kutosha sio pare moja
Awe na soaks kama pair 3
Hatonuka miguu
Mkuu ilo swala noma kuna jamaa huwa hatumruhusu kuvua viatu akianza kuingia ndani ni bora aingie navyo,akivua mnatafuta mengine na kama unakifua kibovu unaumwa.
Hii operation ikoje mkuu?Aende hospital akafanyiwe operation ya miguu
asante kiongoz atajaribuMwambie ajaribu kuvaa soksi za mtumba tofauti na za spesho
Bila kusahau kutumia spray deodorant kwa miguuu...asanten nyote kwa ushauri wenu tayazingatia yote