Kunguni saluni

Kunguni saluni

am watching you, next time usiweke picha ya mtoto kama wewe unatunza privacy yako kwanini usitunze na ya mtoto wako..?
Ni upendo tu lakini,. Nitumie basi kapicha hapa nikaweke hata kamdoli mana device nayotumia haina picha yoyote. Means nikitoa saizi profile itakuwa wazi
 
Ni upendo tu lakini,. Nitumie basi kapicha hapa nikaweke hata kamdoli mana device nayotumia haina picha yoyote. Means nikitoa saizi profile itakuwa wazi
images.jpeg
 
Mkuu unaendaga ku 'pakwa hena,' ama kupakatwa kucha???
 
warembo waliniita niwanunulie vinywaji, kisha wakaniambia kaa hapa tunywe wote, ile nimekaa tu kunguni wakaanza kunishambulia ndio nikaashangaa inakuaje warembo wanakuwa na kunguni salunini kwao wakati dawa zipo zinauzwa za kuteketeza wadudu hao wasumbufu?
Siku nyingine wakikuuliza ulifuata nini wambie ulienda kutengeneza madraya Yao Yale jibu kisomi basi jomba
 
Back
Top Bottom