Kunguni saluni

Kunguni saluni

Kuna mrembo mmoja alinikuta hiyo saluni yenye kunguni, baada ya kufanyiwa hair dressing aliomba nimpe escort mpaka nyumbani kwake. Akanikaribisha kwake nikae sofani. Cha ajabu hana ustaarabu kwake pako rafu, makochi yake yako random yamechakaa na ni machafu ila ukimuona nje yuko smart wakati ndani kwake ni pachafu hapapendezi
 
warembo waliniita niwanunulie vinywaji, kisha wakaniambia kaa hapa tunywe wote, ile nimekaa tu kunguni wakaanza kunishambulia ndio nikaashangaa inakuaje warembo wanakuwa na kunguni salunini kwao wakati dawa zipo zinauzwa za kuteketeza wadudu hao wasumbufu?
Kama wanashida ya vinywaji wao ndio walitakiwa wakufuate ulipo. Next time usirudie kuingia kwenye saluni ya kike.
 
warembo waliniita niwanunulie vinywaji, kisha wakaniambia kaa hapa tunywe wote, ile nimekaa tu kunguni wakaanza kunishambulia ndio nikaashangaa inakuaje warembo wanakuwa na kunguni salunini kwao wakati dawa zipo zinauzwa za kuteketeza wadudu hao wasumbufu?
Ndiyo wakwitie saloon? Na maongezi Yao ukawa unachangia sasa?
 
Unaingia saluni ya wanawake warembo unakaa kwenye sofa, mara wadudu wasumbufu wanaanza kukusumbua. Hawa wadada warembo hawaoni aibu saluni zao kuwa na kunguni?
Umeingia kufanya ninu? Tuanzie hapo
 
Jiran yangu katembelewa na mkwe wake kalala siku moja tuu ila kunguni aliowaacha wanawatesa mpaka Leo kumbe mama mkwe mazingira ya ndan kwake ni kuchafu mnoooo
 
Kunguni ni kiumbe anayaeweza kufunga siku hata 40 bila kula chochote,akishavamia halijui suala la wew kufany usafi au la,na ataishi hata kizazi cha saba ,waliosoma boarding kweny ukanda wa joto wanalijua hilo
 
Back
Top Bottom