Kunena kwa lugha kwa kuiga kulivyoshusha hadhi ya ulokole

Hakuna lugha isiyoelewaka, ndio maana maandiko yanasisitiza uwepo wa mfasiri, ikiwa hakuna mfasiri basi wakanenee hizo lugha vyumbani mwao na sio in public
Tatizo Hawa walokole mnenaji mwenyewe haelewi anachoongea mtafsiri atafasiri nini?
 
Hii ni mada Pana na watu wengi kwa kutokuwa na ujuzi wameipotosha kwa ufupi haitaeleweka, kwa mfano: maana ya kunena kwa lugha, aina za lugha, tafsiri za lugha, kwa nini kunena kwa lugha, wakati ghani wa kunena kwa lugha, ni nani apaswa kunena kwa lugha n.k hata huwezi kuyaeleza kwa ufupi.

Tueleze wewe tupate ufahamu
 
Wakati Yesu anaondoka aliwaahidi wanafunzi wake kuwaletea msaidizi ambaye ni Roho Mtakatifu.

Na kama ilivyokuwa ahadi za Yesu ni kweli ilipofika siku ya Pentekoste akawashushia Roho Mtakatifu.

Na hapa ndipo kunena kwa lugha kulipoanzia.

Roho Mtakatifu ni nani, ni mwalimu na ni msaidizi wetu, ukiomba kwa kumshirikisha Roho yeye huugua na kutuonbea kwa baba kwa kuwa sisi hatujuib ukuonba ipasavyo.

Roho Mtakatifu anazo karama 9 na hizi ni baadhi ambazo Roho humjalia mtu nazo ni
Ni Unabii, Mwalimu, Unjilisti, Miujiza, Uponyaji , Imani nk 1Wakorintho 12:14.

Sasa wengi wao hawajui kwanza kazi za Roho Mtakatifu wao ukifika wakati wa kuomba huiga kuomba sawasawa na wengine wanakosea...

Sababu huwezi kuwa umeshukiwa sawasawa na mwenzio...

Nasio Kila mtu hishukiwa na Roho Mtakatifu ila yule aliyeokoka...

Hii imefanya watu kutowaelewa wanaomba Nini na kumfikia hatua watu kushindwa kuendeleza kusali katika makanisa.

Ikumbukwe kuwa mtu haneni lugha kama apendavyo yeye bali kama Roho Mtakatifu anavyopenda yeye Matendo 2:4..
Pia imefanya wakati mwingine Ulokole kuonekana ni kama Uchizi Fulani.

Na ambao wako huko hawajielewi kabisa, hii pia ni sababu ya watu wengi kuiga kuwa wameokoka lakini hawajaokoka.

Lakini wamevaa kivuli ambacho hujiita wao wameokoka lakini sio kweli.

Mungu atusaidie tumjue

Asante Binti yangu,Barikiwa
 
Wakati Yesu anaondoka aliwaahidi wanafunzi wake kuwaletea msaidizi ambaye ni Roho Mtakatifu.

Na kama ilivyokuwa ahadi za Yesu ni kweli ilipofika siku ya Pentekoste akawashushia Roho Mtakatifu.

Na hapa ndipo kunena kwa lugha kulipoanzia.

Roho Mtakatifu ni nani, ni mwalimu na ni msaidizi wetu, ukiomba kwa kumshirikisha Roho yeye huugua na kutuonbea kwa baba kwa kuwa sisi hatujuib ukuonba ipasavyo.

Roho Mtakatifu anazo karama 9 na hizi ni baadhi ambazo Roho humjalia mtu nazo ni
Ni Unabii, Mwalimu, Unjilisti, Miujiza, Uponyaji , Imani nk 1Wakorintho 12:14.

Sasa wengi wao hawajui kwanza kazi za Roho Mtakatifu wao ukifika wakati wa kuomba huiga kuomba sawasawa na wengine wanakosea...

Sababu huwezi kuwa umeshukiwa sawasawa na mwenzio...

Nasio Kila mtu hishukiwa na Roho Mtakatifu ila yule aliyeokoka...

Hii imefanya watu kutowaelewa wanaomba Nini na kumfikia hatua watu kushindwa kuendeleza kusali katika makanisa.

Ikumbukwe kuwa mtu haneni lugha kama apendavyo yeye bali kama Roho Mtakatifu anavyopenda yeye Matendo 2:4..
Pia imefanya wakati mwingine Ulokole kuonekana ni kama Uchizi Fulani.

Na ambao wako huko hawajielewi kabisa, hii pia ni sababu ya watu wengi kuiga kuwa wameokoka lakini hawajaokoka.

Lakini wamevaa kivuli ambacho hujiita wao wameokoka lakini sio kweli.

Mungu atusaidie tumjue
Ka video tafadhali
 
Hii mada imejibiwa vizuri kwenye kitabu cha 1 Corinthians 14. Inaonekana ilishaleta tatizo kipindi cha kale sana hadi kupelekea kutolewa ufafanuzi.
Tukasome majibu yake ili tupate maharifa zaidi.
 
Back
Top Bottom