Kunena kwa lugha kwa kuiga kulivyoshusha hadhi ya ulokole

1. Una uhakika gani kama hawashikiwi na roho mtakatifu au ni wivu tu?

2. Kwani kuna formula ya kunena kwa lugha?
3. Kwani kwa kufanya hivyo wanatenda dhambi?

OMBA TOBA ILI MUNGU AKUSAMEHE!
Biblia inaelekeza baada ya kunena kwa lugha awepo mfasiri ili kila mmoja ajue kilichozungumziwa, sasa cha ajabu sijawahi kuta mahali wakifasiri kwamba pale tulinena hivi na maana yake ni hivi
 
Wakati Yesu anaondoka aliwaahidi wanafunzi wake kuwaletea msaidizi ambaye ni Roho Mtakatifu.

Na kama ilivyokuwa ahadi za Yesu ni kweli ilipofika siku ya Pentekoste akawashushia Roho Mtakatifu.

Na hapa ndipo kunena kwa lugha kulipoanzia.

Roho Mtakatifu ni nani, ni mwalimu na ni msaidizi wetu, ukiomba kwa kumshirikisha Roho yeye huugua na kutuonbea kwa baba kwa kuwa sisi hatujuib ukuonba ipasavyo.

Roho Mtakatifu anazo karama 9 na hizi ni baadhi ambazo Roho humjalia mtu nazo ni
Ni Unabii, Mwalimu, Unjilisti, Miujiza, Uponyaji , Imani nk 1Wakorintho 12:14.

Sasa wengi wao hawajui kwanza kazi za Roho Mtakatifu wao ukifika wakati wa kuomba huiga kuomba sawasawa na wengine wanakosea...

Sababu huwezi kuwa umeshukiwa sawasawa na mwenzio...

Nasio Kila mtu hishukiwa na Roho Mtakatifu ila yule aliyeokoka...

Hii imefanya watu kutowaelewa wanaomba Nini na kumfikia hatua watu kushindwa kuendeleza kusali katika makanisa.

Ikumbukwe kuwa mtu haneni lugha kama apendavyo yeye bali kama Roho Mtakatifu anavyopenda yeye Matendo 2:4..
Pia imefanya wakati mwingine Ulokole kuonekana ni kama Uchizi Fulani.

Na ambao wako huko hawajielewi kabisa, hii pia ni sababu ya watu wengi kuiga kuwa wameokoka lakini hawajaokoka.

Lakini wamevaa kivuli ambacho hujiita wao wameokoka lakini sio kweli.

Mungu atusaidie tumjue
Inaonekana hujui hata unaandika nini? Kwa sababu hata kitu unachotaka kusahihisha hukijui vizuri maelezo yako hayajitoshelezi.
 
Inaonekana hujui hata unaandika nini? Kwa sababu hata kitu unachotaka kusahihisha hukijui vizuri maelezo yako
Ukimaliza "kunena " huwa unafasiri kilichosemwa na kukitafakari?

Kama mtu amejazwa na Roho Mtakatifu, na yuko ndani yake anavyonena tunategemea kusikia ujumbe kwa watu wa Mungu.

Kwenye Bible utasikia ufunuo wa Yohana akisema "nalikuwa katika Roho, nikasikia sauti kuu nyuma yangu, kama sauti ya Baragumu ikisema UYAONAYO YAANDIKE KATIKA CHUO!

sasa ndugu zetu "mkijazwa " Roho Mtakatifu hamtuambii alisema nini!! Hata muhusika hajui nini Mungu alisema!

Mtueleweshe waamini wa JF
 
Mi naona wengine wanasali na kiruga Chao tu kila siku wanarudia hayohayo maneno mpaka unakariri.
Likokokola boka,
Eeh wankole wete.
 
Wakati Yesu anaondoka aliwaahidi wanafunzi wake kuwaletea msaidizi ambaye ni Roho Mtakatifu.

Na kama ilivyokuwa ahadi za Yesu ni kweli ilipofika siku ya Pentekoste akawashushia Roho Mtakatifu.

Na hapa ndipo kunena kwa lugha kulipoanzia.

Roho Mtakatifu ni nani, ni mwalimu na ni msaidizi wetu, ukiomba kwa kumshirikisha Roho yeye huugua na kutuonbea kwa baba kwa kuwa sisi hatujuib ukuonba ipasavyo.

Roho Mtakatifu anazo karama 9 na hizi ni baadhi ambazo Roho humjalia mtu nazo ni
Ni Unabii, Mwalimu, Unjilisti, Miujiza, Uponyaji , Imani nk 1Wakorintho 12:14.

Sasa wengi wao hawajui kwanza kazi za Roho Mtakatifu wao ukifika wakati wa kuomba huiga kuomba sawasawa na wengine wanakosea...

Sababu huwezi kuwa umeshukiwa sawasawa na mwenzio...

Nasio Kila mtu hishukiwa na Roho Mtakatifu ila yule aliyeokoka...

Hii imefanya watu kutowaelewa wanaomba Nini na kumfikia hatua watu kushindwa kuendeleza kusali katika makanisa.

Ikumbukwe kuwa mtu haneni lugha kama apendavyo yeye bali kama Roho Mtakatifu anavyopenda yeye Matendo 2:4..
Pia imefanya wakati mwingine Ulokole kuonekana ni kama Uchizi Fulani.

Na ambao wako huko hawajielewi kabisa, hii pia ni sababu ya watu wengi kuiga kuwa wameokoka lakini hawajaokoka.

Lakini wamevaa kivuli ambacho hujiita wao wameokoka lakini sio kweli.

Mungu atusaidie tumjue
Kwa hio wewe unaenda kanisani kuchunguza watu wanaombaje uje uanzishe Uzi hapa jamii forum?

Mambo ya ndani ya kanisa ya waumini wengine unayaleta kwenye public yenye imani tofauti ili watu watoe maoni kuhusu imani nyingine?

Hata km wanaongea ujinga wakiwa ndani ya kanisa lao,wewe waache ilimradi hawajavunja sheria za nchi,usiangaike sana na maisha ya watu utakua mchawi

Kama wewe unajua hizo lugha kuliko wao Nenda ukawafundishie ndani ya kanisa sio hapa jamii forum
 
Hapo hakuna kuelewana naona ni maigizo tuu...watu wazinzi hao hao watembea na waume na wake za watu,wachawi watumia ndumba wala sadaka za maskini......n.k..... watanena na roho yupi....
Ni ujinga kuwaamini hao wapuuzi
 
Kwa hio wewe unaenda kanisani kuchunguza watu wanaombaje uje uanzishe Uzi hapa jamii forum?

Mambo ya ndani ya kanisa ya waumini wengine unayaleta kwenye public yenye imani tofauti ili watu watoe maoni kuhusu imani nyingine?

Hata km wanaongea ujinga wakiwa ndani ya kanisa lao,wewe waache ilimradi hawajavunja sheria za nchi,usiangaike sana na maisha ya watu utakua mchawi

Kama wewe unajua hizo lugha kuliko wao Nenda ukawafundishie ndani ya kanisa sio hapa jamii forum
Povu la nini kaka...
 
Ukimaliza "kunena " huwa unafasiri kilichosemwa na kukitafakari?

Kama mtu amejazwa na Roho Mtakatifu, na yuko ndani yake anavyonena tunategemea kusikia ujumbe kwa watu wa Mungu.

Kwenye Bible utasikia ufunuo wa Yohana akisema "nalikuwa katika Roho, nikasikia sauti kuu nyuma yangu, kama sauti ya Baragumu ikisema UYAONAYO YAANDIKE KATIKA CHUO!

sasa ndugu zetu "mkijazwa " Roho Mtakatifu hamtuambii alisema nini!! Hata muhusika hajui nini Mungu alisema!

Mtueleweshe waamini wa JF
Ninatumia kifaa dhaifu kwa kuandika ningekupa darasa maana naona karibu wote wanaochangia hawana uelewa wa kutosha juu ya kunena kwa lugha .
 
Ninatumia kifaa dhaifu kwa kuandika ningekupa darasa maana naona karibu wote wanaochangia hawana uelewa wa kutosha juu ya kunena kwa lugha .
Nahitaji somo hilo kwa undani maana najisikia kutengwa nikiingia kusanyiko kila mmoja na lugha yake!!
 
Hii ni mada Pana na watu wengi kwa kutokuwa na ujuzi wameipotosha kwa ufupi haitaeleweka, kwa mfano: maana ya kunena kwa lugha, aina za lugha, tafsiri za lugha, kwa nini kunena kwa lugha, wakati ghani wa kunena kwa lugha, ni nani apaswa kunena kwa lugha n.k hata huwezi kuyaeleza kwa ufupi.
Andikika kwa ufupi tu watu wataelewa...
 
Hii ni mada Pana na watu wengi kwa kutokuwa na ujuzi wameipotosha kwa ufupi haitaeleweka, kwa mfano: maana ya kunena kwa lugha, aina za lugha, tafsiri za lugha, kwa nini kunena kwa lugha, wakati ghani wa kunena kwa lugha, ni nani apaswa kunena kwa lugha n.k hata huwezi kuyaeleza kwa ufupi.
Jitahidi uandike uwekee, ili watu waelewe itakuwa umesaidia watu kuokoka na kumjua YESU...

Naomba usikae kimya...

Chukua hata muda ila uandike...

Wengine tuna Imani, ila sio walimu wa neno la Mungu, tunapenda ila tumejaliwa hivyo na tunamshukuru Roho Mtakatifu...
 
Back
Top Bottom