Kundi la Wanafiki laibuka kutaka Ole Sabaya aonewe huruma

Baada ya jambazi Lengai Ole Sabaya kuhukumiwa kifungo cha miaka 30 jela, limejitokeza kundi la WANAFIKI wanaotaka Sabaya aonewe huruma.

Lakini ni watu haohao walikaa kimya Sabaya alipovunja miguu vijana wa Chadema kule Hai. Ni watu haohao waliokaa kimya Sabaya alipomkata sikio mtoto wa diwani wa Narumu. Ni watu haohao waliokaa kimya Sabaya alipovamia hoteli ya Weruweru na kutaka aoneshwe chumba alicholala Nandy. Leo wanataka Sabaya aonewe huruma. Unafiki ni mbaya sana.

Sabaya alipovamia nyumba ya Nicodemus Mbowe akiwa na genge lake, akatembeza kipigo nyumba nzima, baba akavunjwa mguu, mtoto akakatwa sikio, na mama akatenguliwa nyonga hawa wanafiki walikua wapi? NIcodemus alilalamika lakini hakuna anayemsikiliza. Aliripoti polisi lakini kesi yake ikatupwa. Ukabaki kumlilia Mungu.

Mtu yuleyule aliyesababisha ulemavu kwa familia nzima (baba kavunjwa mguu, mtoto kakatwa sikio, mama katenguliwa nyonga) anahukumiwa kifungo, halafu wanajitokeza watu kumuonea huruma. Lakini watu hao hawakumuonea huruma Nicodemus wakati ukifanyiwa unyama huo. Hiki ni kiwango kikubwa sana cha unafiki.

Mtu anasimama hadharani na meno 32 yaliyooza, anaropoka eti usifurahie matatizo ya Sabaya. Huyo Sabaya alipopiga watu, alipotesa watu, alipoharibu biashara za watu mbona mlikaa kimya? Ina maana mlifurahia sio?

Mlifurahia Nandy kuvamiwa hotelini? Mlifurahia mzee Eliot Lyimo kuporwa 25M? Mlifurahia dada zetu kudhalilishwa kingono na genge la Sabaya? Mlifurahia Cuthbert Swai kufunga biashara zake na kukimbilia Kenya sababu ya Sabaya. Mlifurahia hoteli za kitalii Arusha kujiendesha kwa hasara sababu ya Sabaya kulala bure? Leo mnasema tusifurahie Sabaya kufungwa? Acheni unafiki muende mbinguni.

Eti Mungu hapendi kufurahia matatizo ya mwenzako. Kwahiyo Mungu alipenda watu waonewe, wapigwe, wavunjwe miguu, wakatwe masikio bila hatia? Ni "mungu" gani huyo ambaye anaonekana tu Sabaya akipata matatizo na sio wengine wakipata matatizo? Mungu ninayemuabudu mimi ni Mungu wa haki (Jehovah) ambaye husimama katika haki wakati wote.

Mnajifanya kumuonea huruma Sabaya, je wale waliofanyiwa unyama sio binadamu? Au kwa sababu huyu alikua DC ndio anatakiwa aonewe huruma kuliko wengine? Mnamaanisha raia kufanyiwa unyama si kitu, ila DC kufungwa ndio inawauma? Wajinga nyie.

Ndugu Swai (Katibu wa Chadema Machame) alitumiwa ujumbe na Sabaya akimwambia aache kuitisha vikao vya Chadema kwenye kata yake kwa sababu eti vikao hivyo ni vya kumtukana JPM. Swai akamjibu vikao vitaendelea kwa sababu vipo kwa mujibu wa sheria na hawamtukani JPM bali wanapanga mipango yao ya kichama.

Sabaya akaona jamaa kamdharau. Kilichofuatia ni kutekwa. Kwa siku 3 hakujulikana alipo. Alikuja kuokotwa huko Nduruma Arusha akiwa amepoteza fahamu. Akakimbizwa hospitali Mt.Meru ambapo alitibiwa kwa siku 3 ndipo fahamu zikarudi.

Katika maelezo yake anasema alitekwa na kundi la vijana watano waliokua na gari aina ya Toyota Landcruzer yenye namba za umoja wa mataifa (UN). Alifungwa kitambaa cheusi na kupelekwa mahali asipopajua. Alipofika alifunguliwa kitambaa na akamuona Sabaya mbele yake amevaa miwani nyeusi. Sabaya akamdhihaki na kumwambia "ulisema unaye Mungu, sasa leo utamuita aje kukusaidia"

Kilichofuatia ni kipigo kikali cha marungu, mateke, vitako vya bunduki na kuwekewa short ya umeme. Alilia sana akiomba Sabaya amsamehe lakini mateso yaliendelea hadi akapoteza fahamu. Hakujua kilichoendelea hadi alipookotwa huko mto Nduruma na kukimbizwa hospitali.

Alipotoka alifungua jalada la uchunguzi kituo cha polisi Bomang'ombe na kueleza waziwazi kuwa alivamiwa na Sabaya na genge lake. Lakini hakuna aliyejali. OCD gani anathubutu kumuita DC na kumhoji? Kesi ikapotezewa.

Swai akaita waandishi wa habari na kueleza kisa kamili lakini hakuna aliyejali. Halafu leo watu wanapanua pua zenye makamasi kupayaka eti usifurahie mateso ya Sabaya. Mlikua wapi wakati hao wengine wakiteseka?

Mimi ni mhanga wa Sabaya, niliyeponea chupuchupu kuingia mikononi mwake mara mbili. Mara ya kwanza alipomwambia binamu yangu (ambaye ni rafiki yake) anipigie simu bila kuniambia yupo na Sabaya, ili nikienda anikamate. Ndugu yangu huyo akagoma kufanya hivyo. Sabaya akamgeuzia kibao kwa kumpiga na kumuweka rumande kituo cha polisi Bomang''ombe. Urafiki wao ukafa. Hata baada ya kutoka polisi hakurudishiwa simu zake hadi leo.

Mara ya pili ni alipovamia kwenye eneo moja tulilokua mimi na Don J Mbowe akitutafuta na baada ya kutukosa akapiga fisasi hewani, bila kujali eneo hilo ni sehemu ya starehe na anaharibu biashara ya watu. Alilazimisha aonwshwe tulipo akiamini tumejifucha. Akaambiwa wameshaondoka lakini hakuamini. Yeye na genge lake wakatusaka kuanzia jikoni, counter hadi chooni. Hatukuwepo. Akalazimisha baadhi ya magari yafunguliwe, hakutupata. Kwa hasira akapiga risasi kadhaa hewani na kuondoka.

Nilieleza matukio yote hapa. Hawa wanafiki wanaotaka tumuonee huruma Sabaya leo, hawakujaribu hata kumuonya, instead leo wanataka tumuonee huruma. Idiots.!

Jeff wa Speshoz alinyanyaswa kwenye kiwanda chake cha uzalishaji wa pombe kali pale Hai. Akawekwa hadi mahabusu bila hatia, kisa Sabaya alitaka kiwanda hicho kimpe "mamilioni ya pesa" kwa ajili ya Mwenge. Hivi nyie mmewahi kumpa Jeff pole ya kinafiki kwa yaliyompata, au yeye hatakiwi kuonewa huruma? Anayetakiwa kuonewa huruma ni Sabaya tu.

Kuna wanawake wanaodai kulazimishwa ngono kwa nguvu na wengine kulawitiwa na genge la Sabaya. Wengine ni wake za watu. Sabaya akikukuta na "pisi kali" unapigwa halafu mpenzi wako anachukuliwa na kwenda kufanyiwa vitendo vya kinyama. Sasa jiulize kabla hujapayuka kuwa Sabaya aonewe huruma, jiulize ingekua mkeo, mwanao au mama yako amelawitiwa na genge la Sabaya ungekua na nguvu za kusema aonewe huruma? Hivi mnajua maumivu wanayopitia watu kabla hamjaomba huruma zao?

Mnaotaka Sabaya aonewe huruma, mnafanya makosa yafuatayo;

1. Mnataka kujenga matabaka, kwamba wanaotakiwa kuonewa huruma ni viongozi tu na sio raia. Ujinga.

2. Mnataka kuwapa kinga viongozi kwamba wanaweza kuwafanya raia chochote, na ikitokea wameshtakiwa basi nchi iwaonee huruma. Upuuzi.

3. Mnataka ionekane kama Sabaya alionewa au alisingiziwa makosa yake, wakati ushahidi wa wazi upo hadi wa CCTV. Wehu.!

4. Mnataka kumuondoa Sabaya kwenye lawama ionekane alikua anatekeleza maagizo ya mwendazake. Upumbavu.!

5. Moyoni mnajua Sabaya alikosea lakini mnamtetea kwa sababu tu alikua mwanaCCM mwenzenu, au DC mwenzenu, au alumni mwenzenu chuoni. Upoyoyo.

Action points kwa viongozi mliopo madarakani sasa;

1. Tenda haki kwa wote. Usitumie madaraka yako kuumiza watu, kutesa watu au kuonea watu bila hatia. Ipo siku utalipa, kama si hapa basi mbinguni.

2. Usikubali kutumika na "mamlaka za juu" kunyanyasa watu bila hatia. Mamalaka za juu zina kinga, lakini wewe huna kinga. Za kuambiwa changanya na zako.

3. Siasa si uadui ni utofauti tu wa mawazo. Usimchukie mtu kwa sababu ya siasa. Vyama visiwe msingi wa kunyanyasana bila sababu. Waliotuletea hivi vyama hawafanyiani unyama kama tunaofanyiana sisi. Wanatushangaa.

4. Unaweza kuwa na wapambe wengi ukiwa na madaraka, lakini mambo yakikugeuka utajikuta peke yako. Sabaya alikua na wapambe hadi wa kumbebea glass akiwa club. Mmoja kabeba glass ya Henessy, mwingine glass ya red wine. Anachukua moja anakunywa anamrudishia mpambe abebe. Aliishi kama peponi. Lakini leo yupo peke yake Kisongo, akisubiri kupangiwa kazi ngumu na nyapara kuanzia kesho.

5. Usinyanyase watu kwa sababu kuna "godfather" anakulinda. Ni dhambi kubwa kuishi kwa kumtegemea mtu. Mtegemee Mungu pekee. Ishi na watu vizuri sponsor hufariki.

6. Ukiona mwenzako amekosea muonye ajirekebishe. Usipomuonya it means na wewe umeshiriki katika makosa yake. Marafiki wa Sabaya mnaotaka aonewe huruma leo, je wakati ananyanyasa watu mlitumia urafiki wenu kumuonya? Au mlimsifia kinafiki huku mkijua anaumiza watu, halafu leo mnataka aonewe huruma.

7. Ishi na watu vizuri, siku ukipata tatizo watakukimbilia kukufariji. Lakini usinyanyase watu halafu ukipata tatizo uanze kutafuta huruma. Wahenga walisema mwenda tezi na omo marejeo ngamani.!

8. Kilichotokea kwa Sabaya sio jambo jipya. Mfalme Herode (aliyemkata kichwa Yohana mbatizaji) alipokufa nchi yote ya Israel ilipaza sauti za shangwe na kumtukuza Mungu. Kwahiyo ukitaka watu wasifurahie matatizo yako ishi nao vizuri. Siku ukiomboleza wataomboleza na wewe, siku ukifurahi watafurahi na wewe. Lakini unanyanayasa watu, unateka watu, unavunja watu miguu, halafu unataka watu haohao waomboleze na wewe ukiwa kwenye dhiki? Never.!

9. Kila unachokifanya kifanyie kwanza tathmini, usijifanyie tu. Pima faida na hasara zake kwanza. Socrates aliwahi kusema maisha yasiyo na tathmini ni maisha yasiyofaa kuishi "unexamined life is not worth living"

10. Unaweza kutumia cheo chako kunyanyasa watu, ukawapakazia kesi za ugaidi na kesi nyinginezo. Pengine kwa sababu una kinga ya kutoshtakiwa ukadhani hakuna wa kukufanya kitu. Lakini amin, amin nakuambia MUNGU YUPO KAZINI. Machozi ya watu yakizidi, yeye atafanya.!

Malisa GJ
Wanaomuonea huruma SAbaya ni mabazazi hawana hakili hata robo walitakiwa wawaonee huruma aliowatesa na kuwatisha bila hatia pumbavu zao
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Baada ya jambazi Lengai Ole Sabaya kuhukumiwa kifungo cha miaka 30 jela, limejitokeza kundi la WANAFIKI wanaotaka Sabaya aonewe huruma.

Lakini ni watu haohao walikaa kimya Sabaya alipovunja miguu vijana wa Chadema kule Hai. Ni watu haohao waliokaa kimya Sabaya alipomkata sikio mtoto wa diwani wa Narumu. Ni watu haohao waliokaa kimya Sabaya alipovamia hoteli ya Weruweru na kutaka aoneshwe chumba alicholala Nandy. Leo wanataka Sabaya aonewe huruma. Unafiki ni mbaya sana.

Sabaya alipovamia nyumba ya Nicodemus Mbowe akiwa na genge lake, akatembeza kipigo nyumba nzima, baba akavunjwa mguu, mtoto akakatwa sikio, na mama akatenguliwa nyonga hawa wanafiki walikua wapi? NIcodemus alilalamika lakini hakuna anayemsikiliza. Aliripoti polisi lakini kesi yake ikatupwa. Ukabaki kumlilia Mungu.

Mtu yuleyule aliyesababisha ulemavu kwa familia nzima (baba kavunjwa mguu, mtoto kakatwa sikio, mama katenguliwa nyonga) anahukumiwa kifungo, halafu wanajitokeza watu kumuonea huruma. Lakini watu hao hawakumuonea huruma Nicodemus wakati ukifanyiwa unyama huo. Hiki ni kiwango kikubwa sana cha unafiki.

Mtu anasimama hadharani na meno 32 yaliyooza, anaropoka eti usifurahie matatizo ya Sabaya. Huyo Sabaya alipopiga watu, alipotesa watu, alipoharibu biashara za watu mbona mlikaa kimya? Ina maana mlifurahia sio?

Mlifurahia Nandy kuvamiwa hotelini? Mlifurahia mzee Eliot Lyimo kuporwa 25M? Mlifurahia dada zetu kudhalilishwa kingono na genge la Sabaya? Mlifurahia Cuthbert Swai kufunga biashara zake na kukimbilia Kenya sababu ya Sabaya. Mlifurahia hoteli za kitalii Arusha kujiendesha kwa hasara sababu ya Sabaya kulala bure? Leo mnasema tusifurahie Sabaya kufungwa? Acheni unafiki muende mbinguni.

Eti Mungu hapendi kufurahia matatizo ya mwenzako. Kwahiyo Mungu alipenda watu waonewe, wapigwe, wavunjwe miguu, wakatwe masikio bila hatia? Ni "mungu" gani huyo ambaye anaonekana tu Sabaya akipata matatizo na sio wengine wakipata matatizo? Mungu ninayemuabudu mimi ni Mungu wa haki (Jehovah) ambaye husimama katika haki wakati wote.

Mnajifanya kumuonea huruma Sabaya, je wale waliofanyiwa unyama sio binadamu? Au kwa sababu huyu alikua DC ndio anatakiwa aonewe huruma kuliko wengine? Mnamaanisha raia kufanyiwa unyama si kitu, ila DC kufungwa ndio inawauma? Wajinga nyie.

Ndugu Swai (Katibu wa Chadema Machame) alitumiwa ujumbe na Sabaya akimwambia aache kuitisha vikao vya Chadema kwenye kata yake kwa sababu eti vikao hivyo ni vya kumtukana JPM. Swai akamjibu vikao vitaendelea kwa sababu vipo kwa mujibu wa sheria na hawamtukani JPM bali wanapanga mipango yao ya kichama.

Sabaya akaona jamaa kamdharau. Kilichofuatia ni kutekwa. Kwa siku 3 hakujulikana alipo. Alikuja kuokotwa huko Nduruma Arusha akiwa amepoteza fahamu. Akakimbizwa hospitali Mt.Meru ambapo alitibiwa kwa siku 3 ndipo fahamu zikarudi.

Katika maelezo yake anasema alitekwa na kundi la vijana watano waliokua na gari aina ya Toyota Landcruzer yenye namba za umoja wa mataifa (UN). Alifungwa kitambaa cheusi na kupelekwa mahali asipopajua. Alipofika alifunguliwa kitambaa na akamuona Sabaya mbele yake amevaa miwani nyeusi. Sabaya akamdhihaki na kumwambia "ulisema unaye Mungu, sasa leo utamuita aje kukusaidia"

Kilichofuatia ni kipigo kikali cha marungu, mateke, vitako vya bunduki na kuwekewa short ya umeme. Alilia sana akiomba Sabaya amsamehe lakini mateso yaliendelea hadi akapoteza fahamu. Hakujua kilichoendelea hadi alipookotwa huko mto Nduruma na kukimbizwa hospitali.

Alipotoka alifungua jalada la uchunguzi kituo cha polisi Bomang'ombe na kueleza waziwazi kuwa alivamiwa na Sabaya na genge lake. Lakini hakuna aliyejali. OCD gani anathubutu kumuita DC na kumhoji? Kesi ikapotezewa.

Swai akaita waandishi wa habari na kueleza kisa kamili lakini hakuna aliyejali. Halafu leo watu wanapanua pua zenye makamasi kupayaka eti usifurahie mateso ya Sabaya. Mlikua wapi wakati hao wengine wakiteseka?

Mimi ni mhanga wa Sabaya, niliyeponea chupuchupu kuingia mikononi mwake mara mbili. Mara ya kwanza alipomwambia binamu yangu (ambaye ni rafiki yake) anipigie simu bila kuniambia yupo na Sabaya, ili nikienda anikamate. Ndugu yangu huyo akagoma kufanya hivyo. Sabaya akamgeuzia kibao kwa kumpiga na kumuweka rumande kituo cha polisi Bomang''ombe. Urafiki wao ukafa. Hata baada ya kutoka polisi hakurudishiwa simu zake hadi leo.

Mara ya pili ni alipovamia kwenye eneo moja tulilokua mimi na Don J Mbowe akitutafuta na baada ya kutukosa akapiga fisasi hewani, bila kujali eneo hilo ni sehemu ya starehe na anaharibu biashara ya watu. Alilazimisha aonwshwe tulipo akiamini tumejifucha. Akaambiwa wameshaondoka lakini hakuamini. Yeye na genge lake wakatusaka kuanzia jikoni, counter hadi chooni. Hatukuwepo. Akalazimisha baadhi ya magari yafunguliwe, hakutupata. Kwa hasira akapiga risasi kadhaa hewani na kuondoka.

Nilieleza matukio yote hapa. Hawa wanafiki wanaotaka tumuonee huruma Sabaya leo, hawakujaribu hata kumuonya, instead leo wanataka tumuonee huruma. Idiots.!

Jeff wa Speshoz alinyanyaswa kwenye kiwanda chake cha uzalishaji wa pombe kali pale Hai. Akawekwa hadi mahabusu bila hatia, kisa Sabaya alitaka kiwanda hicho kimpe "mamilioni ya pesa" kwa ajili ya Mwenge. Hivi nyie mmewahi kumpa Jeff pole ya kinafiki kwa yaliyompata, au yeye hatakiwi kuonewa huruma? Anayetakiwa kuonewa huruma ni Sabaya tu.

Kuna wanawake wanaodai kulazimishwa ngono kwa nguvu na wengine kulawitiwa na genge la Sabaya. Wengine ni wake za watu. Sabaya akikukuta na "pisi kali" unapigwa halafu mpenzi wako anachukuliwa na kwenda kufanyiwa vitendo vya kinyama. Sasa jiulize kabla hujapayuka kuwa Sabaya aonewe huruma, jiulize ingekua mkeo, mwanao au mama yako amelawitiwa na genge la Sabaya ungekua na nguvu za kusema aonewe huruma? Hivi mnajua maumivu wanayopitia watu kabla hamjaomba huruma zao?

Mnaotaka Sabaya aonewe huruma, mnafanya makosa yafuatayo;

1. Mnataka kujenga matabaka, kwamba wanaotakiwa kuonewa huruma ni viongozi tu na sio raia. Ujinga.

2. Mnataka kuwapa kinga viongozi kwamba wanaweza kuwafanya raia chochote, na ikitokea wameshtakiwa basi nchi iwaonee huruma. Upuuzi.

3. Mnataka ionekane kama Sabaya alionewa au alisingiziwa makosa yake, wakati ushahidi wa wazi upo hadi wa CCTV. Wehu.!

4. Mnataka kumuondoa Sabaya kwenye lawama ionekane alikua anatekeleza maagizo ya mwendazake. Upumbavu.!

5. Moyoni mnajua Sabaya alikosea lakini mnamtetea kwa sababu tu alikua mwanaCCM mwenzenu, au DC mwenzenu, au alumni mwenzenu chuoni. Upoyoyo.

Action points kwa viongozi mliopo madarakani sasa;

1. Tenda haki kwa wote. Usitumie madaraka yako kuumiza watu, kutesa watu au kuonea watu bila hatia. Ipo siku utalipa, kama si hapa basi mbinguni.

2. Usikubali kutumika na "mamlaka za juu" kunyanyasa watu bila hatia. Mamalaka za juu zina kinga, lakini wewe huna kinga. Za kuambiwa changanya na zako.

3. Siasa si uadui ni utofauti tu wa mawazo. Usimchukie mtu kwa sababu ya siasa. Vyama visiwe msingi wa kunyanyasana bila sababu. Waliotuletea hivi vyama hawafanyiani unyama kama tunaofanyiana sisi. Wanatushangaa.

4. Unaweza kuwa na wapambe wengi ukiwa na madaraka, lakini mambo yakikugeuka utajikuta peke yako. Sabaya alikua na wapambe hadi wa kumbebea glass akiwa club. Mmoja kabeba glass ya Henessy, mwingine glass ya red wine. Anachukua moja anakunywa anamrudishia mpambe abebe. Aliishi kama peponi. Lakini leo yupo peke yake Kisongo, akisubiri kupangiwa kazi ngumu na nyapara kuanzia kesho.

5. Usinyanyase watu kwa sababu kuna "godfather" anakulinda. Ni dhambi kubwa kuishi kwa kumtegemea mtu. Mtegemee Mungu pekee. Ishi na watu vizuri sponsor hufariki.

6. Ukiona mwenzako amekosea muonye ajirekebishe. Usipomuonya it means na wewe umeshiriki katika makosa yake. Marafiki wa Sabaya mnaotaka aonewe huruma leo, je wakati ananyanyasa watu mlitumia urafiki wenu kumuonya? Au mlimsifia kinafiki huku mkijua anaumiza watu, halafu leo mnataka aonewe huruma.

7. Ishi na watu vizuri, siku ukipata tatizo watakukimbilia kukufariji. Lakini usinyanyase watu halafu ukipata tatizo uanze kutafuta huruma. Wahenga walisema mwenda tezi na omo marejeo ngamani.!

8. Kilichotokea kwa Sabaya sio jambo jipya. Mfalme Herode (aliyemkata kichwa Yohana mbatizaji) alipokufa nchi yote ya Israel ilipaza sauti za shangwe na kumtukuza Mungu. Kwahiyo ukitaka watu wasifurahie matatizo yako ishi nao vizuri. Siku ukiomboleza wataomboleza na wewe, siku ukifurahi watafurahi na wewe. Lakini unanyanayasa watu, unateka watu, unavunja watu miguu, halafu unataka watu haohao waomboleze na wewe ukiwa kwenye dhiki? Never.!

9. Kila unachokifanya kifanyie kwanza tathmini, usijifanyie tu. Pima faida na hasara zake kwanza. Socrates aliwahi kusema maisha yasiyo na tathmini ni maisha yasiyofaa kuishi "unexamined life is not worth living"

10. Unaweza kutumia cheo chako kunyanyasa watu, ukawapakazia kesi za ugaidi na kesi nyinginezo. Pengine kwa sababu una kinga ya kutoshtakiwa ukadhani hakuna wa kukufanya kitu. Lakini amin, amin nakuambia MUNGU YUPO KAZINI. Machozi ya watu yakizidi, yeye atafanya.!

Malisa GJ
Malia Gj. Nakuoa pole sana. Nimeisoma Kwa masikitiko MAKUBWA umenipa uchunhu mkubwa moyoni. Natamani Sana Sabaya angenyongwa. Ila natoa ushauri WA Bure Kwa Yule aliye tekwa nakutupwa MTONI,akafungia jalada Kituo cha Bomangombe. Namshauri akaifufue KESI yake. Na WOTE waliotendewa na Sabaya wakusanye vizibiti wakamfungulie KESI. Huyu alistahiki Kunyongwa.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Kuna unyama wa kutisha unaoende;ea nchini unaofanywa na haya maccm. Imagine yule dhalimu magufuli kama angeendelea kuishi, huyo Sabaya na wenake cgungu nzima wakuu wa wilaya na mikoa wangeendeleza ukatii wa wa kutisha dhidi ya Watanzania wengi sana.

Malia Gj. Nakuoa pole sana. Nimeisoma Kwa masikitiko MAKUBWA umenipa uchunhu mkubwa moyoni. Natamani Sana Sabaya angenyongwa. Ila natoa ushauri WA Bure Kwa Yule aliye tekwa nakutupwa MTONI,akafungia jalada Kituo cha Bomangombe. Namshauri akaifufue KESI yake. Na WOTE waliotendewa na Sabaya wakusanye vizibiti wakamfungulie KESI. Huyu alistahiki Kunyongwa.
 
IMG-20211018-WA0115.jpg
 
Yeye mwenyewe pia alikuwa jambazi. Kumbuka nyumba za Serikali alizokwapua, kumbuka 2,7 trillions alizokwapua hazina na CAGs kuandika kwenye ripoti zao na yeye kugomea uchunguzi huru.

Mwendazake aliteua majambazi kuwa viongozi katika utawala wake haalafu kuna baadhi ya watu bado wanaamini kwamba jamaa alikua shujaa wa Afrika.
 
Na wewe umeamini hekaya za Sabaya? Ukitaka kujiridhisha na huo utetezi wake subiri atakapoitwa kama shahidi kwenye kesi ya Mbowe kama ataongea ukweli kuhusu nani walipanga hii kesi feki.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hujamuelewa mwamba.
Yule ngedere Sabaya anapaswa kuwa huko gerezani, lakini kwa ma CCM yalivyo ni dhahiri wamemtoa kafara. Yanalindana, hayana tamaduni ya kuwawajibisha makada wao waovu.
 
Hujamuelewa mwamba.
Yule ngedere Sabaya anapaswa kuwa huko gerezani, lakini kwa ma CCM yalivyo ni dhahiri wamemtoa kafara. Yanalindana, hayana tamaduni ya kuwawajibisha makada wao waovu.
Ndio maana nimemwambia akitaka kuamini hekaya za Sabaya,asubiri siku atapokuwa anahojiwa kuhusu kesi ya Mbowe,je baada ya kutolewa kafara na CCM na Serikali yake,na yeye atamwaga mboga kwa kueleza ukweli uliofichika wa hii kesi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu stahiku yake ilikuwa ni maisha jera. Wapumbavu tu ndio hawakuona uovu wa sabaya,mpaka watake aonewe huruma. Mtu unaetaka kumuona huruma,basi achukue yeye hiyo nafasi ya sabaya
 
Kwa calibre ya jiwe naamini ni kweli alimtuma
But kutumiwa kufanya uovu hakukufanyi kuwa innocent
Nimeandika kuwa anastahili kuwa huko lakini sio peke yake,Mpango,SSH hawahusiki kwenye kumtuma huyu?
Naona ni kama kumsilence
And am afraid atatolewa soon
Naona unahangaika sana na waliopo. Hivi jiwe alikua ana share mawazo na mtu? Wakati watu wanapiga kelele juu ya maovu ya Sabaya ulikuwepo?? Moyo wako unapenda Sabaya atoke lakini ndiyo hivyo tena ushahidi umemfunga. Atoke wa nini?
 
Naona unahangaika sana na waliopo. Hivi jiwe alikua ana share mawazo na mtu? Wakati watu wanapiga kelele juu ya maovu ya Sabaya ulikuwepo?? Moyo wako unapenda Sabaya atoke lakini ndiyo hivyo tena ushahidi umemfunga. Atoke wa nini?
Wapi nimeandika atoke?
Hukuelewa nilichoandika
 
Baada ya jambazi Lengai Ole Sabaya kuhukumiwa kifungo cha miaka 30 jela, limejitokeza kundi la WANAFIKI wanaotaka Sabaya aonewe huruma.

Lakini ni watu haohao walikaa kimya Sabaya alipovunja miguu vijana wa Chadema kule Hai. Ni watu haohao waliokaa kimya Sabaya alipomkata sikio mtoto wa diwani wa Narumu. Ni watu haohao waliokaa kimya Sabaya alipovamia hoteli ya Weruweru na kutaka aoneshwe chumba alicholala Nandy. Leo wanataka Sabaya aonewe huruma. Unafiki ni mbaya sana.

Sabaya alipovamia nyumba ya Nicodemus Mbowe akiwa na genge lake, akatembeza kipigo nyumba nzima, baba akavunjwa mguu, mtoto akakatwa sikio, na mama akatenguliwa nyonga hawa wanafiki walikua wapi? NIcodemus alilalamika lakini hakuna anayemsikiliza. Aliripoti polisi lakini kesi yake ikatupwa. Ukabaki kumlilia Mungu.

Mtu yuleyule aliyesababisha ulemavu kwa familia nzima (baba kavunjwa mguu, mtoto kakatwa sikio, mama katenguliwa nyonga) anahukumiwa kifungo, halafu wanajitokeza watu kumuonea huruma. Lakini watu hao hawakumuonea huruma Nicodemus wakati ukifanyiwa unyama huo. Hiki ni kiwango kikubwa sana cha unafiki.

Mtu anasimama hadharani na meno 32 yaliyooza, anaropoka eti usifurahie matatizo ya Sabaya. Huyo Sabaya alipopiga watu, alipotesa watu, alipoharibu biashara za watu mbona mlikaa kimya? Ina maana mlifurahia sio?

Mlifurahia Nandy kuvamiwa hotelini? Mlifurahia mzee Eliot Lyimo kuporwa 25M? Mlifurahia dada zetu kudhalilishwa kingono na genge la Sabaya? Mlifurahia Cuthbert Swai kufunga biashara zake na kukimbilia Kenya sababu ya Sabaya. Mlifurahia hoteli za kitalii Arusha kujiendesha kwa hasara sababu ya Sabaya kulala bure? Leo mnasema tusifurahie Sabaya kufungwa? Acheni unafiki muende mbinguni.

Eti Mungu hapendi kufurahia matatizo ya mwenzako. Kwahiyo Mungu alipenda watu waonewe, wapigwe, wavunjwe miguu, wakatwe masikio bila hatia? Ni "mungu" gani huyo ambaye anaonekana tu Sabaya akipata matatizo na sio wengine wakipata matatizo? Mungu ninayemuabudu mimi ni Mungu wa haki (Jehovah) ambaye husimama katika haki wakati wote.

Mnajifanya kumuonea huruma Sabaya, je wale waliofanyiwa unyama sio binadamu? Au kwa sababu huyu alikua DC ndio anatakiwa aonewe huruma kuliko wengine? Mnamaanisha raia kufanyiwa unyama si kitu, ila DC kufungwa ndio inawauma? Wajinga nyie.

Ndugu Swai (Katibu wa Chadema Machame) alitumiwa ujumbe na Sabaya akimwambia aache kuitisha vikao vya Chadema kwenye kata yake kwa sababu eti vikao hivyo ni vya kumtukana JPM. Swai akamjibu vikao vitaendelea kwa sababu vipo kwa mujibu wa sheria na hawamtukani JPM bali wanapanga mipango yao ya kichama.

Sabaya akaona jamaa kamdharau. Kilichofuatia ni kutekwa. Kwa siku 3 hakujulikana alipo. Alikuja kuokotwa huko Nduruma Arusha akiwa amepoteza fahamu. Akakimbizwa hospitali Mt.Meru ambapo alitibiwa kwa siku 3 ndipo fahamu zikarudi.

Katika maelezo yake anasema alitekwa na kundi la vijana watano waliokua na gari aina ya Toyota Landcruzer yenye namba za umoja wa mataifa (UN). Alifungwa kitambaa cheusi na kupelekwa mahali asipopajua. Alipofika alifunguliwa kitambaa na akamuona Sabaya mbele yake amevaa miwani nyeusi. Sabaya akamdhihaki na kumwambia "ulisema unaye Mungu, sasa leo utamuita aje kukusaidia"

Kilichofuatia ni kipigo kikali cha marungu, mateke, vitako vya bunduki na kuwekewa short ya umeme. Alilia sana akiomba Sabaya amsamehe lakini mateso yaliendelea hadi akapoteza fahamu. Hakujua kilichoendelea hadi alipookotwa huko mto Nduruma na kukimbizwa hospitali.

Alipotoka alifungua jalada la uchunguzi kituo cha polisi Bomang'ombe na kueleza waziwazi kuwa alivamiwa na Sabaya na genge lake. Lakini hakuna aliyejali. OCD gani anathubutu kumuita DC na kumhoji? Kesi ikapotezewa.

Swai akaita waandishi wa habari na kueleza kisa kamili lakini hakuna aliyejali. Halafu leo watu wanapanua pua zenye makamasi kupayaka eti usifurahie mateso ya Sabaya. Mlikua wapi wakati hao wengine wakiteseka?

Mimi ni mhanga wa Sabaya, niliyeponea chupuchupu kuingia mikononi mwake mara mbili. Mara ya kwanza alipomwambia binamu yangu (ambaye ni rafiki yake) anipigie simu bila kuniambia yupo na Sabaya, ili nikienda anikamate. Ndugu yangu huyo akagoma kufanya hivyo. Sabaya akamgeuzia kibao kwa kumpiga na kumuweka rumande kituo cha polisi Bomang''ombe. Urafiki wao ukafa. Hata baada ya kutoka polisi hakurudishiwa simu zake hadi leo.

Mara ya pili ni alipovamia kwenye eneo moja tulilokua mimi na Don J Mbowe akitutafuta na baada ya kutukosa akapiga fisasi hewani, bila kujali eneo hilo ni sehemu ya starehe na anaharibu biashara ya watu. Alilazimisha aonwshwe tulipo akiamini tumejifucha. Akaambiwa wameshaondoka lakini hakuamini. Yeye na genge lake wakatusaka kuanzia jikoni, counter hadi chooni. Hatukuwepo. Akalazimisha baadhi ya magari yafunguliwe, hakutupata. Kwa hasira akapiga risasi kadhaa hewani na kuondoka.

Nilieleza matukio yote hapa. Hawa wanafiki wanaotaka tumuonee huruma Sabaya leo, hawakujaribu hata kumuonya, instead leo wanataka tumuonee huruma. Idiots.!

Jeff wa Speshoz alinyanyaswa kwenye kiwanda chake cha uzalishaji wa pombe kali pale Hai. Akawekwa hadi mahabusu bila hatia, kisa Sabaya alitaka kiwanda hicho kimpe "mamilioni ya pesa" kwa ajili ya Mwenge. Hivi nyie mmewahi kumpa Jeff pole ya kinafiki kwa yaliyompata, au yeye hatakiwi kuonewa huruma? Anayetakiwa kuonewa huruma ni Sabaya tu.

Kuna wanawake wanaodai kulazimishwa ngono kwa nguvu na wengine kulawitiwa na genge la Sabaya. Wengine ni wake za watu. Sabaya akikukuta na "pisi kali" unapigwa halafu mpenzi wako anachukuliwa na kwenda kufanyiwa vitendo vya kinyama. Sasa jiulize kabla hujapayuka kuwa Sabaya aonewe huruma, jiulize ingekua mkeo, mwanao au mama yako amelawitiwa na genge la Sabaya ungekua na nguvu za kusema aonewe huruma? Hivi mnajua maumivu wanayopitia watu kabla hamjaomba huruma zao?

Mnaotaka Sabaya aonewe huruma, mnafanya makosa yafuatayo;

1. Mnataka kujenga matabaka, kwamba wanaotakiwa kuonewa huruma ni viongozi tu na sio raia. Ujinga.

2. Mnataka kuwapa kinga viongozi kwamba wanaweza kuwafanya raia chochote, na ikitokea wameshtakiwa basi nchi iwaonee huruma. Upuuzi.

3. Mnataka ionekane kama Sabaya alionewa au alisingiziwa makosa yake, wakati ushahidi wa wazi upo hadi wa CCTV. Wehu.!

4. Mnataka kumuondoa Sabaya kwenye lawama ionekane alikua anatekeleza maagizo ya mwendazake. Upumbavu.!

5. Moyoni mnajua Sabaya alikosea lakini mnamtetea kwa sababu tu alikua mwanaCCM mwenzenu, au DC mwenzenu, au alumni mwenzenu chuoni. Upoyoyo.

Action points kwa viongozi mliopo madarakani sasa;

1. Tenda haki kwa wote. Usitumie madaraka yako kuumiza watu, kutesa watu au kuonea watu bila hatia. Ipo siku utalipa, kama si hapa basi mbinguni.

2. Usikubali kutumika na "mamlaka za juu" kunyanyasa watu bila hatia. Mamalaka za juu zina kinga, lakini wewe huna kinga. Za kuambiwa changanya na zako.

3. Siasa si uadui ni utofauti tu wa mawazo. Usimchukie mtu kwa sababu ya siasa. Vyama visiwe msingi wa kunyanyasana bila sababu. Waliotuletea hivi vyama hawafanyiani unyama kama tunaofanyiana sisi. Wanatushangaa.

4. Unaweza kuwa na wapambe wengi ukiwa na madaraka, lakini mambo yakikugeuka utajikuta peke yako. Sabaya alikua na wapambe hadi wa kumbebea glass akiwa club. Mmoja kabeba glass ya Henessy, mwingine glass ya red wine. Anachukua moja anakunywa anamrudishia mpambe abebe. Aliishi kama peponi. Lakini leo yupo peke yake Kisongo, akisubiri kupangiwa kazi ngumu na nyapara kuanzia kesho.

5. Usinyanyase watu kwa sababu kuna "godfather" anakulinda. Ni dhambi kubwa kuishi kwa kumtegemea mtu. Mtegemee Mungu pekee. Ishi na watu vizuri sponsor hufariki.

6. Ukiona mwenzako amekosea muonye ajirekebishe. Usipomuonya it means na wewe umeshiriki katika makosa yake. Marafiki wa Sabaya mnaotaka aonewe huruma leo, je wakati ananyanyasa watu mlitumia urafiki wenu kumuonya? Au mlimsifia kinafiki huku mkijua anaumiza watu, halafu leo mnataka aonewe huruma.

7. Ishi na watu vizuri, siku ukipata tatizo watakukimbilia kukufariji. Lakini usinyanyase watu halafu ukipata tatizo uanze kutafuta huruma. Wahenga walisema mwenda tezi na omo marejeo ngamani.!

8. Kilichotokea kwa Sabaya sio jambo jipya. Mfalme Herode (aliyemkata kichwa Yohana mbatizaji) alipokufa nchi yote ya Israel ilipaza sauti za shangwe na kumtukuza Mungu. Kwahiyo ukitaka watu wasifurahie matatizo yako ishi nao vizuri. Siku ukiomboleza wataomboleza na wewe, siku ukifurahi watafurahi na wewe. Lakini unanyanayasa watu, unateka watu, unavunja watu miguu, halafu unataka watu haohao waomboleze na wewe ukiwa kwenye dhiki? Never.!

9. Kila unachokifanya kifanyie kwanza tathmini, usijifanyie tu. Pima faida na hasara zake kwanza. Socrates aliwahi kusema maisha yasiyo na tathmini ni maisha yasiyofaa kuishi "unexamined life is not worth living"

10. Unaweza kutumia cheo chako kunyanyasa watu, ukawapakazia kesi za ugaidi na kesi nyinginezo. Pengine kwa sababu una kinga ya kutoshtakiwa ukadhani hakuna wa kukufanya kitu. Lakini amin, amin nakuambia MUNGU YUPO KAZINI. Machozi ya watu yakizidi, yeye atafanya.!

Malisa GJ
Anawivu huyo Jamaa

Sasa hataki atetewe au??
 
Baada ya jambazi Lengai Ole Sabaya kuhukumiwa kifungo cha miaka 30 jela, limejitokeza kundi la WANAFIKI wanaotaka Sabaya aonewe huruma.

Lakini ni watu haohao walikaa kimya Sabaya alipovunja miguu vijana wa Chadema kule Hai. Ni watu haohao waliokaa kimya Sabaya alipomkata sikio mtoto wa diwani wa Narumu. Ni watu haohao waliokaa kimya Sabaya alipovamia hoteli ya Weruweru na kutaka aoneshwe chumba alicholala Nandy. Leo wanataka Sabaya aonewe huruma. Unafiki ni mbaya sana.

Sabaya alipovamia nyumba ya Nicodemus Mbowe akiwa na genge lake, akatembeza kipigo nyumba nzima, baba akavunjwa mguu, mtoto akakatwa sikio, na mama akatenguliwa nyonga hawa wanafiki walikua wapi? NIcodemus alilalamika lakini hakuna anayemsikiliza. Aliripoti polisi lakini kesi yake ikatupwa. Ukabaki kumlilia Mungu.

Mtu yuleyule aliyesababisha ulemavu kwa familia nzima (baba kavunjwa mguu, mtoto kakatwa sikio, mama katenguliwa nyonga) anahukumiwa kifungo, halafu wanajitokeza watu kumuonea huruma. Lakini watu hao hawakumuonea huruma Nicodemus wakati ukifanyiwa unyama huo. Hiki ni kiwango kikubwa sana cha unafiki.

Mtu anasimama hadharani na meno 32 yaliyooza, anaropoka eti usifurahie matatizo ya Sabaya. Huyo Sabaya alipopiga watu, alipotesa watu, alipoharibu biashara za watu mbona mlikaa kimya? Ina maana mlifurahia sio?

Mlifurahia Nandy kuvamiwa hotelini? Mlifurahia mzee Eliot Lyimo kuporwa 25M? Mlifurahia dada zetu kudhalilishwa kingono na genge la Sabaya? Mlifurahia Cuthbert Swai kufunga biashara zake na kukimbilia Kenya sababu ya Sabaya. Mlifurahia hoteli za kitalii Arusha kujiendesha kwa hasara sababu ya Sabaya kulala bure? Leo mnasema tusifurahie Sabaya kufungwa? Acheni unafiki muende mbinguni.

Eti Mungu hapendi kufurahia matatizo ya mwenzako. Kwahiyo Mungu alipenda watu waonewe, wapigwe, wavunjwe miguu, wakatwe masikio bila hatia? Ni "mungu" gani huyo ambaye anaonekana tu Sabaya akipata matatizo na sio wengine wakipata matatizo? Mungu ninayemuabudu mimi ni Mungu wa haki (Jehovah) ambaye husimama katika haki wakati wote.

Mnajifanya kumuonea huruma Sabaya, je wale waliofanyiwa unyama sio binadamu? Au kwa sababu huyu alikua DC ndio anatakiwa aonewe huruma kuliko wengine? Mnamaanisha raia kufanyiwa unyama si kitu, ila DC kufungwa ndio inawauma? Wajinga nyie.

Ndugu Swai (Katibu wa Chadema Machame) alitumiwa ujumbe na Sabaya akimwambia aache kuitisha vikao vya Chadema kwenye kata yake kwa sababu eti vikao hivyo ni vya kumtukana JPM. Swai akamjibu vikao vitaendelea kwa sababu vipo kwa mujibu wa sheria na hawamtukani JPM bali wanapanga mipango yao ya kichama.

Sabaya akaona jamaa kamdharau. Kilichofuatia ni kutekwa. Kwa siku 3 hakujulikana alipo. Alikuja kuokotwa huko Nduruma Arusha akiwa amepoteza fahamu. Akakimbizwa hospitali Mt.Meru ambapo alitibiwa kwa siku 3 ndipo fahamu zikarudi.

Katika maelezo yake anasema alitekwa na kundi la vijana watano waliokua na gari aina ya Toyota Landcruzer yenye namba za umoja wa mataifa (UN). Alifungwa kitambaa cheusi na kupelekwa mahali asipopajua. Alipofika alifunguliwa kitambaa na akamuona Sabaya mbele yake amevaa miwani nyeusi. Sabaya akamdhihaki na kumwambia "ulisema unaye Mungu, sasa leo utamuita aje kukusaidia"

Kilichofuatia ni kipigo kikali cha marungu, mateke, vitako vya bunduki na kuwekewa short ya umeme. Alilia sana akiomba Sabaya amsamehe lakini mateso yaliendelea hadi akapoteza fahamu. Hakujua kilichoendelea hadi alipookotwa huko mto Nduruma na kukimbizwa hospitali.

Alipotoka alifungua jalada la uchunguzi kituo cha polisi Bomang'ombe na kueleza waziwazi kuwa alivamiwa na Sabaya na genge lake. Lakini hakuna aliyejali. OCD gani anathubutu kumuita DC na kumhoji? Kesi ikapotezewa.

Swai akaita waandishi wa habari na kueleza kisa kamili lakini hakuna aliyejali. Halafu leo watu wanapanua pua zenye makamasi kupayaka eti usifurahie mateso ya Sabaya. Mlikua wapi wakati hao wengine wakiteseka?

Mimi ni mhanga wa Sabaya, niliyeponea chupuchupu kuingia mikononi mwake mara mbili. Mara ya kwanza alipomwambia binamu yangu (ambaye ni rafiki yake) anipigie simu bila kuniambia yupo na Sabaya, ili nikienda anikamate. Ndugu yangu huyo akagoma kufanya hivyo. Sabaya akamgeuzia kibao kwa kumpiga na kumuweka rumande kituo cha polisi Bomang''ombe. Urafiki wao ukafa. Hata baada ya kutoka polisi hakurudishiwa simu zake hadi leo.

Mara ya pili ni alipovamia kwenye eneo moja tulilokua mimi na Don J Mbowe akitutafuta na baada ya kutukosa akapiga fisasi hewani, bila kujali eneo hilo ni sehemu ya starehe na anaharibu biashara ya watu. Alilazimisha aonwshwe tulipo akiamini tumejifucha. Akaambiwa wameshaondoka lakini hakuamini. Yeye na genge lake wakatusaka kuanzia jikoni, counter hadi chooni. Hatukuwepo. Akalazimisha baadhi ya magari yafunguliwe, hakutupata. Kwa hasira akapiga risasi kadhaa hewani na kuondoka.

Nilieleza matukio yote hapa. Hawa wanafiki wanaotaka tumuonee huruma Sabaya leo, hawakujaribu hata kumuonya, instead leo wanataka tumuonee huruma. Idiots.!

Jeff wa Speshoz alinyanyaswa kwenye kiwanda chake cha uzalishaji wa pombe kali pale Hai. Akawekwa hadi mahabusu bila hatia, kisa Sabaya alitaka kiwanda hicho kimpe "mamilioni ya pesa" kwa ajili ya Mwenge. Hivi nyie mmewahi kumpa Jeff pole ya kinafiki kwa yaliyompata, au yeye hatakiwi kuonewa huruma? Anayetakiwa kuonewa huruma ni Sabaya tu.

Kuna wanawake wanaodai kulazimishwa ngono kwa nguvu na wengine kulawitiwa na genge la Sabaya. Wengine ni wake za watu. Sabaya akikukuta na "pisi kali" unapigwa halafu mpenzi wako anachukuliwa na kwenda kufanyiwa vitendo vya kinyama. Sasa jiulize kabla hujapayuka kuwa Sabaya aonewe huruma, jiulize ingekua mkeo, mwanao au mama yako amelawitiwa na genge la Sabaya ungekua na nguvu za kusema aonewe huruma? Hivi mnajua maumivu wanayopitia watu kabla hamjaomba huruma zao?

Mnaotaka Sabaya aonewe huruma, mnafanya makosa yafuatayo;

1. Mnataka kujenga matabaka, kwamba wanaotakiwa kuonewa huruma ni viongozi tu na sio raia. Ujinga.

2. Mnataka kuwapa kinga viongozi kwamba wanaweza kuwafanya raia chochote, na ikitokea wameshtakiwa basi nchi iwaonee huruma. Upuuzi.

3. Mnataka ionekane kama Sabaya alionewa au alisingiziwa makosa yake, wakati ushahidi wa wazi upo hadi wa CCTV. Wehu.!

4. Mnataka kumuondoa Sabaya kwenye lawama ionekane alikua anatekeleza maagizo ya mwendazake. Upumbavu.!

5. Moyoni mnajua Sabaya alikosea lakini mnamtetea kwa sababu tu alikua mwanaCCM mwenzenu, au DC mwenzenu, au alumni mwenzenu chuoni. Upoyoyo.

Action points kwa viongozi mliopo madarakani sasa;

1. Tenda haki kwa wote. Usitumie madaraka yako kuumiza watu, kutesa watu au kuonea watu bila hatia. Ipo siku utalipa, kama si hapa basi mbinguni.

2. Usikubali kutumika na "mamlaka za juu" kunyanyasa watu bila hatia. Mamalaka za juu zina kinga, lakini wewe huna kinga. Za kuambiwa changanya na zako.

3. Siasa si uadui ni utofauti tu wa mawazo. Usimchukie mtu kwa sababu ya siasa. Vyama visiwe msingi wa kunyanyasana bila sababu. Waliotuletea hivi vyama hawafanyiani unyama kama tunaofanyiana sisi. Wanatushangaa.

4. Unaweza kuwa na wapambe wengi ukiwa na madaraka, lakini mambo yakikugeuka utajikuta peke yako. Sabaya alikua na wapambe hadi wa kumbebea glass akiwa club. Mmoja kabeba glass ya Henessy, mwingine glass ya red wine. Anachukua moja anakunywa anamrudishia mpambe abebe. Aliishi kama peponi. Lakini leo yupo peke yake Kisongo, akisubiri kupangiwa kazi ngumu na nyapara kuanzia kesho.

5. Usinyanyase watu kwa sababu kuna "godfather" anakulinda. Ni dhambi kubwa kuishi kwa kumtegemea mtu. Mtegemee Mungu pekee. Ishi na watu vizuri sponsor hufariki.

6. Ukiona mwenzako amekosea muonye ajirekebishe. Usipomuonya it means na wewe umeshiriki katika makosa yake. Marafiki wa Sabaya mnaotaka aonewe huruma leo, je wakati ananyanyasa watu mlitumia urafiki wenu kumuonya? Au mlimsifia kinafiki huku mkijua anaumiza watu, halafu leo mnataka aonewe huruma.

7. Ishi na watu vizuri, siku ukipata tatizo watakukimbilia kukufariji. Lakini usinyanyase watu halafu ukipata tatizo uanze kutafuta huruma. Wahenga walisema mwenda tezi na omo marejeo ngamani.!

8. Kilichotokea kwa Sabaya sio jambo jipya. Mfalme Herode (aliyemkata kichwa Yohana mbatizaji) alipokufa nchi yote ya Israel ilipaza sauti za shangwe na kumtukuza Mungu. Kwahiyo ukitaka watu wasifurahie matatizo yako ishi nao vizuri. Siku ukiomboleza wataomboleza na wewe, siku ukifurahi watafurahi na wewe. Lakini unanyanayasa watu, unateka watu, unavunja watu miguu, halafu unataka watu haohao waomboleze na wewe ukiwa kwenye dhiki? Never.!

9. Kila unachokifanya kifanyie kwanza tathmini, usijifanyie tu. Pima faida na hasara zake kwanza. Socrates aliwahi kusema maisha yasiyo na tathmini ni maisha yasiyofaa kuishi "unexamined life is not worth living"

10. Unaweza kutumia cheo chako kunyanyasa watu, ukawapakazia kesi za ugaidi na kesi nyinginezo. Pengine kwa sababu una kinga ya kutoshtakiwa ukadhani hakuna wa kukufanya kitu. Lakini amin, amin nakuambia MUNGU YUPO KAZINI. Machozi ya watu yakizidi, yeye atafanya.!

Malisa GJ
Aliyeandika jana tu alifanya dhambi kubwa sana MUNGU ANAJUA POLE SANA

kufa kwa yesu musalabani pia kuna kuhitaji wewe unayetia mafuta ya taa ili utambi mchome sabaya utazani wewe alikupora mimi sidhani kama nikwel

Hakuna kwel hata kidogo


Wengi wanafungwa kwa kuonewa huyo jamaa alikuwa na njaa kiasi cha kwenye kupora LAKI TATU HUU NI UONGO SANA
SIASA IS A DIRTY GAME

BAD GAME IPO SIKU KAMA SIO WATOTO WAKO WAJUKUU

WAKO WATALIPA HICHO


MIMI SINA IMANI NA HICHO KIFUNGO CHAKE SIASA KUNA KINACHO TAFUTWA HAPO NADHANI

ALIGUSA WATU WAZITO KWENYE MASILAHI YAO NDIO MAANA NDICHO KINACHOMTAFUNA
 
Jamaa hasafishiki,heri akae huko huko ndichi hasira za raia zitawaisha ila akaachiwa kijanja janja tu tegemea yale ya Iringa miaka ile kutokea tena..
 
Back
Top Bottom