Mtumishi Wetu
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 5,712
- 1,906
Wakuu wana jamvi bila shaka hamjambo!
Kama ilivyo ada hili ni jukwaa la great thinker sidhani kama ni other wise ! Kwa wakati huu ninapo andika haya kuna kundi dogo la watu wako kwenye mkakati wa kuiba na kudhulumu kwa nguvu saana wakikadiria muda uliobaki ikiwezekana wa wao kubaki kwenye madaraka!!!
Makusudi ya hili bandiko hapa ni kukufanya wewe Mtanzania mzalendo uweze kufikiri nje ya mzingo ( think beyond the perimeter), kundi hili linalojidai ni wana siasa wanadhibiti njia zoote za uchumi na utawala wa nchi hii!! Wameshikilia dora, kuanzia bunge, polisi, mahakama na vyombo vyote vya usalama!!
Nawaomba ndugu zangu hebu tufikiri nje ya ulingo tuliozungushiwa!! Tumewekwa kwenye kapu fulani eti ni siasa, eti dini, eti ni vyama vya siasa yoote hiyo ni kutufunga ili tupoteze malengo ya kujikwamua kwenye mikono yao ya ufisadi!!! Tumefungwa kwenye box, hawa watu wamepoka utawala wa nchi kupitia chama, wamekaa juu sasa wanatawala kila kitu, waniba bila kizuizi chochote, kuanzia kwenye serikali, migodi, gesi sasa, mikataba wanayoitaka wao, hadi kusafirisha wanyama hai!!!
Kwa hiyo inatubidi tusipumbazwe na hila zao, wanaleta sera za udini wana acha tugawanyike waendelee kufanya maovu yao, eti tugombanie kuchinja wao waendelee kufunga mikataba ya kuiba na kujinufaisha na mabillion ya dola!! Wanafanya watoto wetu mataahira ili wa kwao wasome kwenye shule za viwango, wakifeli shule eti wanalekebisha waendeleze ujinga kwa watoto, wanajenga himaya yao ili waendeleze utawala wa kifisadi!!
Kundi hili limepoka nchi kwa wizi kwenye kivuli cha siasa, fikiria ni serikali gani wezi wanasamehewa eti warudishe fedha walizo ibia taifa!!
Kumbe kuna tabaka la wezi wateule, na wezi uchwara!! Wezi wa EPA wanatamba mitaani, wezi wa RICHIMOND na DOWANS sasa wanataka kugombea Uraisi, BAADA YA MUDA WA MWENZAO KUISHA!!!
Waziri mkuu anasema eti tukiwakamata hao mafisadi nchi itayumba, kweli sisi bado tuna imani kuwa tunayo serikali makini???Hapo ndugu zangu sio dini wala siasa, wala kabila, maana wote sisi ni Watanzania, tunaelea kwenye nchi moja iliyopokwa na wezi wakitawala kwa mabavu kama tunavyoona kule Mtwara!!
Kwa nini mikataba ya GESI isiwekwe wazi kwenye bunge, magazeti, habari, ili tuone kama ina manufaa kwa nchi yetu???Hayo madeni wanayo ingia na kulimbikiza atayalipa nani???
Lazima tufikiri nje ya box, wanataka tufuate mkondo kama maji wanachimba mitaro ya udini, vyama, kabila ili tuelekee wanako taka tuende!! Tusikubali!!! Tanzania ni yetu bila kujali dini , kabila au chama cha siasa, woote tupigane kwa focus beyond the fence, out of the box, ili tuweze kujikomboa, tunaibiwa woote, tunadhurumiwa woote!!
Wenzetu wachache wanajilimbikizia mali, wanaficha fedha Uswiss, na sasa wamehamia uarabuni nadhani wamefungua ACCT zao huko!!!Ni lazima tupambane nao, wanajaribu kuzima mbinu zoote za kijikomboa, kama mnavyo ona, kila mahali, Media, kujieleza, kuandamana kudai haki!!
Ni lazima nchi yetu ikombolewe toka mikono ya mafisadi!!!
Tuepuke ushabiki kama wanavyotaka tufanye na kufuata!!
Nawasirisha!!
Kama ilivyo ada hili ni jukwaa la great thinker sidhani kama ni other wise ! Kwa wakati huu ninapo andika haya kuna kundi dogo la watu wako kwenye mkakati wa kuiba na kudhulumu kwa nguvu saana wakikadiria muda uliobaki ikiwezekana wa wao kubaki kwenye madaraka!!!
Makusudi ya hili bandiko hapa ni kukufanya wewe Mtanzania mzalendo uweze kufikiri nje ya mzingo ( think beyond the perimeter), kundi hili linalojidai ni wana siasa wanadhibiti njia zoote za uchumi na utawala wa nchi hii!! Wameshikilia dora, kuanzia bunge, polisi, mahakama na vyombo vyote vya usalama!!
Nawaomba ndugu zangu hebu tufikiri nje ya ulingo tuliozungushiwa!! Tumewekwa kwenye kapu fulani eti ni siasa, eti dini, eti ni vyama vya siasa yoote hiyo ni kutufunga ili tupoteze malengo ya kujikwamua kwenye mikono yao ya ufisadi!!! Tumefungwa kwenye box, hawa watu wamepoka utawala wa nchi kupitia chama, wamekaa juu sasa wanatawala kila kitu, waniba bila kizuizi chochote, kuanzia kwenye serikali, migodi, gesi sasa, mikataba wanayoitaka wao, hadi kusafirisha wanyama hai!!!
Kwa hiyo inatubidi tusipumbazwe na hila zao, wanaleta sera za udini wana acha tugawanyike waendelee kufanya maovu yao, eti tugombanie kuchinja wao waendelee kufunga mikataba ya kuiba na kujinufaisha na mabillion ya dola!! Wanafanya watoto wetu mataahira ili wa kwao wasome kwenye shule za viwango, wakifeli shule eti wanalekebisha waendeleze ujinga kwa watoto, wanajenga himaya yao ili waendeleze utawala wa kifisadi!!
Kundi hili limepoka nchi kwa wizi kwenye kivuli cha siasa, fikiria ni serikali gani wezi wanasamehewa eti warudishe fedha walizo ibia taifa!!
Kumbe kuna tabaka la wezi wateule, na wezi uchwara!! Wezi wa EPA wanatamba mitaani, wezi wa RICHIMOND na DOWANS sasa wanataka kugombea Uraisi, BAADA YA MUDA WA MWENZAO KUISHA!!!
Waziri mkuu anasema eti tukiwakamata hao mafisadi nchi itayumba, kweli sisi bado tuna imani kuwa tunayo serikali makini???Hapo ndugu zangu sio dini wala siasa, wala kabila, maana wote sisi ni Watanzania, tunaelea kwenye nchi moja iliyopokwa na wezi wakitawala kwa mabavu kama tunavyoona kule Mtwara!!
Kwa nini mikataba ya GESI isiwekwe wazi kwenye bunge, magazeti, habari, ili tuone kama ina manufaa kwa nchi yetu???Hayo madeni wanayo ingia na kulimbikiza atayalipa nani???
Lazima tufikiri nje ya box, wanataka tufuate mkondo kama maji wanachimba mitaro ya udini, vyama, kabila ili tuelekee wanako taka tuende!! Tusikubali!!! Tanzania ni yetu bila kujali dini , kabila au chama cha siasa, woote tupigane kwa focus beyond the fence, out of the box, ili tuweze kujikomboa, tunaibiwa woote, tunadhurumiwa woote!!
Wenzetu wachache wanajilimbikizia mali, wanaficha fedha Uswiss, na sasa wamehamia uarabuni nadhani wamefungua ACCT zao huko!!!Ni lazima tupambane nao, wanajaribu kuzima mbinu zoote za kijikomboa, kama mnavyo ona, kila mahali, Media, kujieleza, kuandamana kudai haki!!
Ni lazima nchi yetu ikombolewe toka mikono ya mafisadi!!!
Tuepuke ushabiki kama wanavyotaka tufanye na kufuata!!
Nawasirisha!!