Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
Nimejaribu kuzungukia maofisi ya umma na binafsi tz hasa hapa bongo nikaona ofisi hizo zina bajeti ya magazeti ilihali zina mtandao wa internet!
Binafsi siamini kama mfanyakazi wa ofisi ya umma au binafsi anayatumia kikamilifu magazeti hayo zaidi ya mtandao wa internet.
Ndugu wana jf, kunaulazima wa kuwa na bajeti za magazeti ofisini? Na je mfanyakazi akiwa ofisini ni haki kutumia mtandao wa internet kwa shughuli zake?
Binafsi siamini kama mfanyakazi wa ofisi ya umma au binafsi anayatumia kikamilifu magazeti hayo zaidi ya mtandao wa internet.
Ndugu wana jf, kunaulazima wa kuwa na bajeti za magazeti ofisini? Na je mfanyakazi akiwa ofisini ni haki kutumia mtandao wa internet kwa shughuli zake?