Mtaani hakuwezi kupoa hadi wapate kichwa cha Dully.JF
Sijui kuhusu mitaa yenu, ila mitaa mingi nliyopita kunatokota sana. Watu wana machungu na hasira sana.
Kama wanadhani watu wameanza kusahau, wajue ardhi bado ni ya moto sana.
Haki huinua taifa.
stock imeisha wanataka kuiba tea?JF
Sijui kuhusu mitaa yenu, ila mitaa mingi nliyopita kunatokota sana. Watu wana machungu na hasira sana.
Kama wanadhani watu wameanza kusahau, wajue ardhi bado ni ya moto sana.
Haki huinua taifa.
Usichukulie masiharastock imeisha wanataka kuiba tea?
laiti mngejua ugumu watu wanapata kuanza biashara na sacrifise wanafanya basi mngelewaga kwann wezi wanachomwaUsichukulie masihara
Je unaijuaa sacrifice anayoaifanya mtanganyika ili viongoz wake waishi kama wapo peponi?laiti mngejua ugumu watu wanapata kuanza biashara na sacrifise wanafanya basi mngelewaga kwann wezi wanachomwa
sacrifise ipi na kodi hamtaki kulipa?Je unaijuaa sacrifice anayoaifanya mtanganyika ili viongoz wake waishi kama wapo peponi?
Mtaani kwetu pako shwari kabisa watu wanachapa kazi tu wala hawana habari na masiasa yenu!JF
Sijui kuhusu mitaa yenu, ila mitaa mingi nliyopita kunatokota sana. Watu wana machungu na hasira sana.
Kama wanadhani watu wameanza kusahau, wajue ardhi bado ni ya moto sana.
Haki huinua taifa.
Nyie ndo mliotufikisha oct 29Mtaani kwetu pako shwari kabisa watu wanachapa kazi tu wala hawana habari na masiasa yenu!
Tungekuwa hatulipi kodi mngeng’ang’ania madaraka? Majizi nyiesacrifise ipi na kodi hamtaki kulipa?
Nyie ndio mazombi ambayo abduli na mama yake anayapenda endelea kuchapa kazi kama punda huku ukiendelea kuishi kifukara pesa zote anachukia abduli 🤣🤣🤣🤣🤣Mtaani kwetu pako shwari kabisa watu wanachapa kazi tu wala hawana habari na masiasa yenu!
Tunawalaani wote waliondamana mmetusababishimmetusababishia hasara kubwa sisi watafutajiNyie ndo mliotufikisha oct 29
kazi ya chama ya siasa ni kushika dola basTungekuwa hatulipi kodi mngeng’ang’ania madaraka? Majizi nyie
Sawa.kazi ya chama ya siasa ni kushika dola bas
Watafutaji Gani nyie ni punda hamna mtafutaji anayetaka kuendeshwa kama boya endelea kutafuta nakuhakikishia huwezi kupata unachokitafuta 100% fanya kazi abduli na mama yake Aishi vizuri sababu wewe ni msukile wakeTunawalaani wote waliondamana mmetusababishimmetusababishia hasara kubwa sisi watafutaji
kama ya watu wengine tu, yaani december njooni tena tutakua tushawajengea miundo mbinu ingine muharibuSawa.
Hivi unajisikiaje? Una roho ya namna gani wewe?
Umjengee nani we fukara Kodi zetu ndio zinajenga hiyo miundombinukama ya watu wengine tu, yaani december njooni tena tutakua tushawajengea miundo mbinu ingine muharibu
Abdul na mama yake wapo ikulu daresalam sie wa huku kahama maandamano ya kazi gani? Nendeni ikulu mkapambane naye sie mtuache tuendelee na utafutaji, maandamano yenu ya kipuuzi yalituletea mdororo wa kiuchumi tena tunawaasa msirudie ujinga huo wa kuandamana.Nyie ndio mazombi ambayo abduli na mama yake anayapenda endelea kuchapa kazi kama punda huku ukiendelea kuishi kifukara pesa zote anachukia abduli 🤣🤣🤣🤣🤣
Mitaa gani hiyo mkuu?Mtaani kwetu pako shwari kabisa watu wanachapa kazi tu wala hawana habari na masiasa yenu!