pirabiriani
Member
- Mar 1, 2012
- 79
- 16
Nilikuwa nafuatilia kipindi kwenye Tv Tumain ghafla nikaona king'amuzi kinaji-update. Baada ya kujiupdate chennel hazikurudi zote.. STAR TV, ITV NA EATV siwaoni.. sijui ndo wamejitoa ivo au??😱😡
Nilikuwa nafuatilia kipindi kwenye Tv Tumain ghafla nikaona king'amuzi kinaji-update. Baada ya kujiupdate chennel hazikurudi zote.. STAR TV, ITV NA EATV siwaoni.. sijui ndo wamejitoa ivo au??😱😡
kuwa makini mh jaribu kutoa habari iliokamilika kama kuna watu wanaweza kukusaidia iwe rahisi
Mfano:ungetaja aina ya king'amuzi na mahali ulipo.
1.Wabongo kwa kuwa wengi wetu tunakurupuka tunachagia hata kujua aina ya kampuni kwa kulaumu tu
2.Location inamatter vilevile mfano mh wa moro hapo kasema kabisa moro ni mwezi wa 2 sasa mimi niko Tanga je nikikuambia huku mambo fresh je utaniamini ?
Nachotaka kukuambia unatakiwa uje na complete inf unapoleta taarifa
Elekeza antena kwenye mitambo ya Startimes kule Kisarawe!
kuwa makini mh jaribu kutoa habari iliokamilika kama kuna watu wanaweza kukusaidia iwe rahisi
Mfano:ungetaja aina ya king'amuzi na mahali ulipo.
1.Wabongo kwa kuwa wengi wetu tunakurupuka tunachagia hata kujua aina ya kampuni kwa kulaumu tu
2.Location inamatter vilevile mfano mh wa moro hapo kasema kabisa moro ni mwezi wa 2 sasa mimi niko Tanga je nikikuambia huku mambo fresh je utaniamini ?
Nachotaka kukuambia unatakiwa uje na complete inf unapoleta taarifa
Mkuu nimeshaelekezea antena huko na makongo ila hakuna kitu..
Niliwahi kukutana na tatizo kama lako japo mimi nilikuwa sioni channel za Kill package na nilikuwa nimelipia. Nilipowapigia simu wakaniambia nielekeze antenna huko, haikusaidia mpaka nilipopiga tena simu na nilipowatajia card number ya startimes wakarekebisha tatizo. Jaribu kuwasiliana nao
:thumbup::thumbup: Tatizo kwisha, thanx Wakuu..
Nilikuwa nafuatilia kipindi kwenye Tv Tumain ghafla nikaona king'amuzi kinaji-update. Baada ya kujiupdate chennel hazikurudi zote.. STAR TV, ITV NA EATV siwaoni.. sijui ndo wamejitoa ivo au??😱😡
unaona mambo hayo kaka ni vyema ulivyodadavua wajuzi wamekusaidia na tatizo kwisha ila ukileta habari isio kamilika. wengine wanapotezea .Nashukuru umekua mstaarabu. hukutoa maneno ya kashfa all the best bro.
Tatizo la wakazi wengi wa jiji la Dar ni 'watumwa' wa namna ya kuishi katika hii dunia.Kwa sababu wengi wao wanaishi maisha ya dhiki,kila aina ya shida na kushindwa kuwa na makazi ya kudumu,kutoa elimu kwa ndugu zao au kutembelea wazazi wao hata mara moja kwa mwaka kwa sababu ya huu utumwa.
Na sasa utumwa wa pili ni visimbuzi hivi vya digital,watu walioko mikoani wanakula life kama kawa kwa kutumia Ma-Dish amabpo wanapata channel zote za tanzania (ITV,Channel ten,TBC,Star TV,Clouds,EATV,Capital) na michannel kibao ya nje tena bure.
Sasa kwa sababu ya utumwa wao eti ni jiji la wajanja wapo wanalia kilio cha kusaga meno na huu utumwa.
jamani jitambue nyie,mtu unaishi maisha ya shida kisa eti best bite,mliman city nk.mtakomaje!
Sasa mkuu naomba unieleweshe hapa. Nan kati ya hawa anaishi maisha ya dhiki
ANAYELIPIA KING'AMUZI KILA MWEZI au MWENYE DISHI ANAYEANGALIA FREE MUDA WOTE??