Paul Kijoka
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 1,399
- 255
Ni jambo la kutia huruma kwa jinsi walimu wanaosimamia na kusahihisha mitihani ya f2 wanavyo zalilishwa. Kwanza malipo kwa karatasi ni 200/ tu. Afu tenda ya kusahihisha hufanyika kwa moja ya shule ya mbunge mmoja wa CCM kwa DSM zamani ikiwa kanda ya Pwani.
Wadau, naomba tuijadili bila woga.
Wadau, naomba tuijadili bila woga.