Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,798
- 71,218
Hii mada inajengwa kama swali. Na kwa kuwa wapo humu wasemaji waliojipa cheo hicho basi ni vyema wakamjibia.
Mheshimiwa yeye kila mkutano nje ya nchi na mingine hata ya ndani ya kimataifa anakuwa anawakilishwa tuu, lakini shughuli ambazo sio muhimu kwa cheo chake yeye ni NEVER MISS.
Mfano mapokezi ya ndege, uzinduzi wa vitu mbalimbali, ufunguzi hata wa stand ya mabasi nk.
Sababu hasa ni nini? Kwanini anaikimbia mikutano ya nje na amekuwa anamtuma Makamu, PM au hata JK kesha wahi kutumwa wakati amestaafu na kujipumzikia?
Kwa nini hataki kwenda kumwaga cheche zake katika majukwaa ya kimataifa kuifanya nchi ishaini pande zote?
Hatutaki afanye utalii kama JK, lakini ili taifa lolote liheshimike lazima hata kiongozi wake awe hadharani na kuonyesha misimamo makini na ushawishi lakini sio kupokea ndege, kufungua soko au stand ya mabasi!
Kuzungumzia habari za mabeberu ukiwa Katavi au Nanjilinji nikupoteza muda, nenda kayaseme hayo huko huko kama Nyerere wanayekufananisha naye, au walikuwa wanakufananisha sura? Maana katika mengine huna hata moja mnafanana!
Au sababu nyingine mheshimiwa kaona amnyang'anye Makamu Mkasi wa uzinduzi ili afanye kazi zake na Makamu amfanyie zake?
Mheshimiwa yeye kila mkutano nje ya nchi na mingine hata ya ndani ya kimataifa anakuwa anawakilishwa tuu, lakini shughuli ambazo sio muhimu kwa cheo chake yeye ni NEVER MISS.
Mfano mapokezi ya ndege, uzinduzi wa vitu mbalimbali, ufunguzi hata wa stand ya mabasi nk.
Sababu hasa ni nini? Kwanini anaikimbia mikutano ya nje na amekuwa anamtuma Makamu, PM au hata JK kesha wahi kutumwa wakati amestaafu na kujipumzikia?
Kwa nini hataki kwenda kumwaga cheche zake katika majukwaa ya kimataifa kuifanya nchi ishaini pande zote?
Hatutaki afanye utalii kama JK, lakini ili taifa lolote liheshimike lazima hata kiongozi wake awe hadharani na kuonyesha misimamo makini na ushawishi lakini sio kupokea ndege, kufungua soko au stand ya mabasi!
Kuzungumzia habari za mabeberu ukiwa Katavi au Nanjilinji nikupoteza muda, nenda kayaseme hayo huko huko kama Nyerere wanayekufananisha naye, au walikuwa wanakufananisha sura? Maana katika mengine huna hata moja mnafanana!
Au sababu nyingine mheshimiwa kaona amnyang'anye Makamu Mkasi wa uzinduzi ili afanye kazi zake na Makamu amfanyie zake?