Mr.Thinker
Senior Member
- Dec 13, 2013
- 125
- 137
nasikia waziri anaeshuhulikia ajira ya watanzania hana habari bado amevimbiwa
waziri wa mambo ya ndani ya ncji anaona ni ujiko vijana wake wa uhamiaji wakichukua rushwa kuwapa wachina vibali vya kukaa nchini waue tembo zaidi. hamwoni tembo wameangamia zaidi baada ya influx ya wachina.
Kuna mpaka Mchina dalali wa mashamba bagamoyo.
Kuna mpaka Mchina dalali wa mashamba bagamoyo.
wanakuja kumalizia kile walichobakiza wadhungu
Duh kweli hii?
Wameona kuna fursa.
Wanatumia kauli mbiu ya kamata fursa twenzetu.