Mr.Thinker
Senior Member
- Dec 13, 2013
- 125
- 137
Habari zenu wakuu,
mbona ktk karne hii WACHINA wanazidi kumiminika AFRICA? Na hasa katika suala la uwekezaji?. sikatai kwamba kuna nchi zingine nyingi tu za magharibi.Lakini kwa hii kasi ya hawa WACHINA mmmh??
wakuu,What are the reasons behind?
mbona ktk karne hii WACHINA wanazidi kumiminika AFRICA? Na hasa katika suala la uwekezaji?. sikatai kwamba kuna nchi zingine nyingi tu za magharibi.Lakini kwa hii kasi ya hawa WACHINA mmmh??
wakuu,What are the reasons behind?