Zombie S2KIZZY
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 823
- 1,616
Jana Azam na mastaa wao wote ( sopu,idrisu,feitoto,nado,lyanga,idrissa,bangala ) lakini wakadroo na Dodoma
Leo yanga na mastar wao wote(kundubela,yaoyao,masingeli,azizi kibukta,pakome kakoma,mudaumemuathir yahaya, liquid protector diara,Ibrahim kibaka,suraboy,kibamarage,morokoko,mzizi na kikosi A na B kwa ujumla) wamekumbatiwa na ihefu
Kesho simba na pira lao papatupapatu itakuwaje mbele ya maafande
Leo yanga na mastar wao wote(kundubela,yaoyao,masingeli,azizi kibukta,pakome kakoma,mudaumemuathir yahaya, liquid protector diara,Ibrahim kibaka,suraboy,kibamarage,morokoko,mzizi na kikosi A na B kwa ujumla) wamekumbatiwa na ihefu
Kesho simba na pira lao papatupapatu itakuwaje mbele ya maafande