Kuna wazee walionunuliwa tayari

Kuna wazee walionunuliwa tayari

comrade_kipepe

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2019
Posts
6,456
Reaction score
11,517
Kulingana na press ya mwisho ya slowslow anasema kuna wazee ambao walikua na misimamo ila nao washalambishwa asali, baada ya uchaguzi watasimamia maridhiano ya kitaifa ili kuhalalisha yaliyotokea yote.

Na moja ya mzee huyo jana kaonyesha kweli kalamba asali, na siku za nyuma polepole alishawahi kusema huyo mzee na mwingne kama wawili hivi ndio kama walezi wake.

Je?! inawezekana wazee/Mzee huyo baada ya kulamba asali alikua anajua location alipo bwana slowslow akamuuza??
 
Kulingana na press ya mwisho ya slowslow anasema kuna wazee ambao walikua na misimamo ila nao washalambishwa asali, baada ya uchaguzi watasimamia maridhiano ya kitaifa ili kuhalalisha yaliyotokea yote.

Na moja ya mzee huyo jana kaonyesha kweli kalamba asali, na siku za nyuma polepole alishawahi kusema huyo mzee na mwingne kama wawili hivi ndio kama walezi wake.

Je?! inawezekana wazee/Mzee huyo baada ya kulamba asali alikua anajua location alipo bwana slowslow akamuuza??
Alikosea sana kuamini watu kwenye mission yake...alitakiwa apambane pekeake
 
Inaonekana hata wengine waliolalamima ni kwavile hawamo kwenye buyu la asali...

Sasa wazee wote wadumbukizwe kwenye buyu la asali halafu atakaetoa mlio wa kukemea akiwa ndani ya buyu la asali ndo mzalendo wa kweli. Au mnasemaje wadau
 
Alikosea sana kuamini watu kwenye mission yake...alitakiwa apambane pekeake
Kauzwa, wabongo wengi tuna tamaa ya hela na umaskin ni shida, TUJITAFAKARI kwa mfano mimi natafutwa na wanamtandao, hawajui nilipo, wewe ni mzee wangu mlezi,wakakuwekea begi la b5 mezani utaje location tu nilipo utakataa kweli?
 
Inaonekana hata wengine waliolalamima ni kwavile hawamo kwenye buyu la asali...

Sasa wazee wote wadumbukizwe kwenye buyu la asali halafu atakaetoa mlio wa kukemea akiwa ndani ya buyu la asali ndo mzalendo wa kweli. Au mnasemaje wadau
Kuna reply hapo chin nimeandika kitu kinafanana na hichi, mtanzania yoyote hata au mzazi wako, usimuamin, mtanzania akishawekewe beg la hela mezani hawazi marambili anakuuza halafu anaenda kutubu
 
Kuna reply hapo chin nimeandika kitu kinafanana na hichi, mtanzania yoyote hata au mzazi wako, usimuamin, mtanzania akishawekewe beg la hela mezani hawazi marambili anakuuza halafu anaenda kutubu
Hela haikataliwi. Kuna wajumbe wa chama kile wanakula hela yako halafu kwenye kura za maoni wanakushangaza.
Naamini kuna wengine wanakula ila wanatafuta t namna na wengine tufaidi mema
 
Back
Top Bottom