Mbabe hunter
JF-Expert Member
- Jul 15, 2016
- 327
- 474
Huu uzi karibia kila aliecoment kala like watu wanajifanya kama huwa wanalike kila siku
UongoMimi ukipata like yangu ujue umeandika point.
Andika ukweli.Uongo
UkweliAndika ukweli.
Good shem, mm mzima wa afyaNiko salama salimini, hofu kwako
namimi Nipo kwenye vita ya kupambana na hill jinamizi....natumai nitalishindaShabikia na nafasi yangu ya ushabiki, kwa sasa nishaacha ushabiki wa mpira
KaturukaNgoja nijaribu japo ni me...hahaaaa
Update.......mleta mada uko Sawa 100%(check likes)