Kuna watu wanamshindanisha Diamond Platnumz na Cristiano Ronaldo

instagram

JF-Expert Member
May 27, 2014
2,091
4,715
Tangu Mondi anunue Rolls-Royce kuna watu wamekuwa wanasema eti Mondi ndiyo next Bill Gates, wengine eti wametupia picha za Diamond na Rolls Royce yake culinan na kufananisha na Christian Ronaldo na Rolls-royce yake Phantom bila kujua kuwa phantom ni ghali zaidi ya culinan, na ukizingatia Ronaldo ya kwake lazima itakua special order hivyo itakua ghali maradufu kuliko phantom za kawaida, kuliko culinan la jamaa yetu la kuvizia nani anauza mtumba anunue.

Haya sasa kwakuwa umaarufu gharama Christiano Ronaldo kaposti gari mpya leo wiki moja baada ya kuposti Rolls Royce, leo kapost SUV la bei mbaya kuliko yote Mercedes Benz G63 Brabus, bei mara mbili ya culinan kiwandani achilia mbali special edition ya Ronaldo na ofa zake.

Nilisema huyu msanii kaingia cha kike unavunja kibubu cha miaka 10 unanunua gari la billioni wiki moja watu wananunua jingine la billioni tatu haya basi nenda na wewe ukanunue tunakuangalia kama una pumzi.

IMG_20210803_010159.jpg
 
Hivi mbona kuna watu Matajiri wengi tu hapa Tz ambao Wana Utajiri kushinda Hata Ronaldo, Wote hawa kina MO, Rostam, Marehemu mengi, Bakhresa etc Wana Utajiri kushinda vipesa vinavyozungumziwa humu kila siku.
Kuwa serious blaza na moyo wako, ukimtoa Bakhresa, hao wengine seriously unaamini kabisa machapisho ya kubuni ya forbes Africa ambako hakuna namna ya uhakika ya kujua mali za mtu zaidi ya kauli yake, kweli bro unaamini hao jamaa wana hela ya Ronaldo?

Muandishi mwenyewe wa forbes Africa ni moja tu mfonabong yule wa kujitolea, tapeli Mo si anamhonga tuu amuite billionea ili apate credit score za kukopa hela kubwa benki kwa hela za baba zake wakubwa.

Eti mengi dah, Rostam jamani tusimkufuru Mungu. Nioneshe hela zao najua Rostam kauza shea za voda dola million 200 na ushee ila ana financial setbacks kama zotee.

Ronaldo hata Bakhresa hana hela yake broo tena Cash. Sijui Tanzania ipi unaongelea wewe labda babu magu hela yake.
 
Hivi mbona kuna watu Matajiri wengi tu hapa Tz ambao Wana Utajiri kushinda Hata Ronaldo, Wote hawa kina MO, Rostam, Marehemu mengi, Bakhresa etc Wana Utajiri kushinda vipesa vinavyozungumziwa humu kila siku.
Unanifanya nicheke sana eti mbona kuna matajiri wengi sana tu hapa Tz ndugu yangu sijui unaishi tz ipi
 
Kuwa serious blaza na moyo wako, ukimtoa bakhresa, hao wengine seriously unaamini kabisa machapisho ya kubuni ya forbes africa ambako hakuna namna ya uhakika ya kujua mali za mtu zaidi ya kauli yake, kweli bro unaamini hao jamaa wana hela ya Ronaldo? Muandishi mwenyewe wa forbea africa ni moja tu mfonabong yule wa kujitolea, tapeli mo si anamhonga tuu amuite billionea ili apate credit score za kukopa hela kubwa benki kwa hela za baba zake wakubwa.
Mfano mtu kama Rostam mbona Utajiri wake upo wazi tu?
-alikuwa na Hisa Vodacom Asilimia 35 kampuni yenye pato la zaidi ya Trilioni kwa mwaka, 2014 aliuza Asilimia 17 ya hisa za voda kwa $250m
-Ana Tenda za barick migodini mimachine kibao yake
-mabiashara mengine kibao kama Taifa Gas etc.

Ronaldo Ana networth ya $500m, Rostam kauza Asilimia 17 kwa 250M, ina maana 18 zilizobakia ni zaidi ya 250M hivyo Hisa za Voda tu tayari zina Thamani kuliko Utajiri wote wa Ronaldo, bado unafikiri ni Utajiri wa makaratasi?

Ukija kwa Mo ndio usiseme Anza Na LG Tanzania, Njoo TCL, njoo bajaji na mabrand kibao ya Kimataifa anaingiza yeye,

Sukari tu kwa mkupuo mmoja anaingiza mamia ya makontena,

Mafuta makumi ya makontena

Ana makampuni kibao unakuta bidhaa moja kama sabuni ana kampuni 3 Hadi 5 zinapambana zenyewe sokoni,

Vinywaji, mashamba, viwanda vya nguo, petroli na mambo kibao.

Kama Unahisi ule Utajiri hawana unaishi kwenye Ndoto mkuu,

Labda mtu aje aseme wanaficha Utajiri wao kidogo nitamulewa ila hawa jamaa wasikie tu hivi.
 
Mfano mtu kama Rostam mbona Utajiri wake upo wazi tu?
-alikuwa na Hisa Vodacom Asilimia 35 kampuni yenye pato la zaidi ya Trilioni kwa mwaka, 2014 aliuza Asilimia 17 ya hisa za voda kwa $250m
-Ana Tenda za barick migodini mimachine kibao yake
-mabiashara mengine kibao kama Taifa Gas etc.

Ronaldo Ana networth ya $500m, Rostam kauza Asilimia 17 kwa 250M, ina maana 18 zilizobakia ni zaidi ya 250M hivyo Hisa za Voda tu tayari zina Thamani kuliko Utajiri wote wa Ronaldo, bado unafikiri ni Utajiri wa makaratasi?

Ukija kwa Mo ndio usiseme Anza Na LG Tanzania, Njoo TCL, njoo bajaji na mabrand kibao ya Kimataifa anaingiza yeye,

Sukari tu kwa mkupuo mmoja anaingiza mamia ya makontena,

Mafuta makumi ya makontena

Ana makampuni kibao unakuta bidhaa moja kama sabuni ana kampuni 3 Hadi 5 zinapambana zenyewe sokoni,

Vinywaji, mashamba, viwanda vya nguo, petroli na mambo kibao.

Kama Unahisi ule Utajiri hawana unaishi kwenye Ndoto mkuu,

Labda mtu aje aseme wanaficha Utajiri wao kidogo nitamulewa ila hawa jamaa wasikie tu hivi.
Sipati hata $10 million dollar kwa hivyo vyote ulivyoorozesha kwa mwaka kwa Mo. Hizo trading business hazina hela kivile kushindana na endorsement za ronaldo.
Rostam hauzi mashine kila mwaka na return zake ni long term sioni faida ya kumshindanisha na Ronaldo hizo leseni za simu voda walipeana kisiasa ndo wameuza zimewapa nguvu ccm that's it.
Ronaldo income ni zaidi ya $1billion so far. Na ana guarantee$64million per year.
 
Mfano mtu kama Rostam mbona Utajiri wake upo wazi tu?
-alikuwa na Hisa Vodacom Asilimia 35 kampuni yenye pato la zaidi ya Trilioni kwa mwaka, 2014 aliuza Asilimia 17 ya hisa za voda kwa $250m
-Ana Tenda za barick migodini mimachine kibao yake
-mabiashara mengine kibao kama Taifa Gas etc.

Ronaldo Ana networth ya $500m, Rostam kauza Asilimia 17 kwa 250M, ina maana 18 zilizobakia ni zaidi ya 250M hivyo Hisa za Voda tu tayari zina Thamani kuliko Utajiri wote wa Ronaldo, bado unafikiri ni Utajiri wa makaratasi?

Ukija kwa Mo ndio usiseme Anza Na LG Tanzania, Njoo TCL, njoo bajaji na mabrand kibao ya Kimataifa anaingiza yeye,

Sukari tu kwa mkupuo mmoja anaingiza mamia ya makontena,

Mafuta makumi ya makontena

Ana makampuni kibao unakuta bidhaa moja kama sabuni ana kampuni 3 Hadi 5 zinapambana zenyewe sokoni,

Vinywaji, mashamba, viwanda vya nguo, petroli na mambo kibao.

Kama Unahisi ule Utajiri hawana unaishi kwenye Ndoto mkuu,

Labda mtu aje aseme wanaficha Utajiri wao kidogo nitamulewa ila hawa jamaa wasikie tu hivi.
Mkuu unapoteza Muda kumuelewesha kichaa
 
Mkuu unapoteza Muda kumuelewesha kichaa

Eti LG , TCL , bajaji, sabuni, sukari, udalali tuuu angekua ana manufacture sawa ila dalali. Kabla hajapewa kampuni baba zake kina azim dewji walikua walikuwa wanaingiza hela zaidi yake ila hasemi. Unamlinganisha ronaldo na dewji mtu anasimamia mali za gulam, Azim na baba zake wadogo kama woote na vijukuuu na ukoo mzima. Mtu kashindwa kununua Ferrari eti kisa simba, uchafu ronaldo anakohoa tuu, hivi wabongo maduwanzi kiasi cha kumuamini dewji?
Mashamba? anadai bilioni 8 miaka kumi hadi wakamteka na katani zake. Vinywaji yani energy, nguo zipi unavaa za mo? Kuwa na makampuni 100 ambayo wafanyakazi hawalipwi ni concept tu kujaza profile. Billionea anatembelea vogue la 2015 hadi wanemteka nalo.

Kuna watu hawajui hata hela ikoje. Namshangaa sana jamaa anasema eti bongo kuna matajiri wengi tuu wana hela kuliko ronaldo kuna watu wanaishi Tanzania ya kufikirika siyo hii tunayoifahamu sisi ndani nje. Hata rostam mwenyewe akisoma huu uzi anaweza akaanguka siyo kwa kilio kile alicholia mbele ya samia.
Eti mengi haya basi jakline ntuybalike ana hela kuliko ronaldo na ma v8 yake ya 2010
 
Kuwa serious blaza na moyo wako, ukimtoa Bakhresa, hao wengine seriously unaamini kabisa machapisho ya kubuni ya forbes Africa ambako hakuna namna ya uhakika ya kujua mali za mtu zaidi ya kauli yake, kweli bro unaamini hao jamaa wana hela ya Ronaldo?

Muandishi mwenyewe wa forbes Africa ni moja tu mfonabong yule wa kujitolea, tapeli Mo si anamhonga tuu amuite billionea ili apate credit score za kukopa hela kubwa benki kwa hela za baba zake wakubwa.

Eti mengi dah, Rostam jamani tusimkufuru Mungu. Nioneshe hela zao najua Rostam kauza shea za voda dola million 200 na ushee ila ana financial setbacks kama zotee.

Ronaldo hata Bakhresa hana hela yake broo tena Cash. Sijui Tanzania ipi unaongelea wewe labda babu magu hela yake.
Mo sijui ila Rostam anapesa chafu sana. Miaka kadhaa nyuma aliuza hisa zake asilimia kadhaa vodacom akalipwa almost dollar million 220 nadhani ilikuwa early 2015. Mkuu hizo ni shares tu za vodacom bado ana maela na mabiashara mengine. Ana kampuni ya ujenzi dubai. Unaweza kusoma kuhusu kuuza hisa zake hapa Bilionea Rostam Aziz amemalizana na Vodacom Tanzania (Auza hisa zote kwa Vodacom SA)

Ronaldo anakadiliwa ana utajiri wa $500 milioni, share za rostam tu alizouza ni almost nusu ya utajiri wa ronaldo.
Kuna wahindi TZ wana pesa chafu ila hawana matambo. Na africa matajiri wengi utakuta hawanunui private jets wala kutembea na magari makali. Wengi wanaofanya hayo mambo no fx traders ambao wanataka kuwaaminisha watu wako vzuri ili wakawapige na wanamziki.
Lakini matajiri wengi hawafanyi mambo hayo ya kushow off Africa.
 
Sipati hata $10 million dollar kwa hivyo vyote ulivyoorozesha kwa mwaka kwa Mo. Hizo trading business hazina hela kivile kushindana na endorsement za ronaldo.
Rostam hauzi mashine kila mwaka na return zake ni long term sioni faida ya kumshindanisha na Ronaldo hizo leseni za simu voda walipeana kisiasa ndo wameuza zimewapa nguvu ccm that's it.
Ronaldo income ni zaidi ya $1billion so far. Na ana guarantee$64million per year.
Watu naona wanachanganya Dola milioni na hizi za madafu.
Kuna mtu kamuongelea rostam kuwa aliuza hisa zake.just fanya conversation of currency.
Ila dogo Ana hela bana
 
Sipati hata $10 million dollar kwa hivyo vyote ulivyoorozesha kwa mwaka kwa Mo. Hizo trading business hazina hela kivile kushindana na endorsement za ronaldo.
Rostam hauzi mashine kila mwaka na return zake ni long term sioni faida ya kumshindanisha na Ronaldo hizo leseni za simu voda walipeana kisiasa ndo wameuza zimewapa nguvu ccm that's it.
Ronaldo income ni zaidi ya $1billion so far. Na ana guarantee$64million per year.
Lete ushahidi Ronaldo Ana income ya $1B
 
Lete ushahidi Ronaldo Ana income ya $1B

Ni mapato yake yote mpaka sasa. Skia kuna watu wanazani eti rostam aliwekeza mtaji wake voda sasa kauza $250m. Ccm wezi, wakati makampuni ya simu yanaingia bongo zilitangazwa leseni mnadani bongo, wadau wachache wanasiasa wakazificha kwapani kina rostam, edo, msoga etc. kwaiyo voda et al walipokuja walikosa leseni za ku operate nchini ikabidi waingie ubia na wenye leseni kina rostam na wenzake. Sasa unapoona mtu anauza shea zake voda $250m ujue kapauka na climate ilikua mbaya. Huwezi kumfananisha mtu kauza hisa zake za 30years kwa 250m na ronaldo ambaye kila mwaka hapungui $64m na ana lifetime earnings za over $1b.
 
Sipati hata $10 million dollar kwa hivyo vyote ulivyoorozesha kwa mwaka kwa Mo. Hizo trading business hazina hela kivile kushindana na endorsement za ronaldo.
Rostam hauzi mashine kila mwaka na return zake ni long term sioni faida ya kumshindanisha na Ronaldo hizo leseni za simu voda walipeana kisiasa ndo wameuza zimewapa nguvu ccm that's it.
Ronaldo income ni zaidi ya $1billion so far. Na ana guarantee$64million per year.
Kodi ya watu wa Soka pia ni kubwa wanakatwa 35 mpaka 45% ya kipato chao wasichokitumia. Na kila hela wanayolipwa haimaaanishi ni Thamani yao wanalipa mishahara, wanatumia na wao kama binadamu wengine, wanalipa kodi ya Nyumba etc. There is a reason hakuna Mwanasoka Bilionea so far.

Kuhusu MO mkuu Hebu twende Taratibu.

-MO ni exporter mkubwa wa mitiki, quality ndogo ya mitiki cubic meter ni $900 quality kubwa mpaka $1500 kontena la futi 20 ni Cubic meter 33, so tunaongelea milioni 60 mpaka 120 hivi kwa Container. Jamaa ana Yard nzima, kuna kipindi kila wiki zinaingia gari kama 10 toka mashambani huko Tanga ama Morogoro, so easily tunaongelea Mamia ya macontainer na Revenue makumi ya Bilioni.

-kwenye Katani jamaa ana Heka 40,000 na production yale ni Tani 10,000 kwa mwaka, bei ya Tani sasa hivi ni $850 mpaka $900 hivyo tunaongelea Dola milioni 8 ama 9 hivi ambayo ni zaidi ya bilioni 20.

-Njoo Pamba hapa napo tunaongelea Tani 30,000 mpaka 45,000 ambayo roughly ni hizo Bilioni 30 mpaka 45 haijakuja processed hapo, kiwanda cha nguo cha MO kina capacity ya kutengeneza Mita milioni 100 kwa mwaka, mita moja ya Fabric inategemea ya nini at minimum sokoni ni 1000 ila inaenda mpaka 8000 hivyo tunaongelea market ya mamia ya Bilioni.

Nikupe tu comparison moja hapa, Tanzania Nzima ina heka milioni 86, Metl mashamba wanayohudumia kwenye Pamba tu heka milioni 5.

-kwenye Mawese/crude oil jamaa anaingiza Tani 120,000 kwa mwaka bei ya Tani ni Around $600 hivyo anaspend around $72m kwenye hili, hii ni raw Material tu ya kiwanda ni around bilioni 200 bado haijatoka Final product ambayo ina Thamani zaidi.

Hivi Vyote mkuu, nimebase Kwenye kitu kimoja tu Agriculture, na sijamaliza mazao yote, kuna Korosho hapo, mbaazi, dengu na mengine mengi hata Sina ya Angalia ila tayari tunavuka Bilioni 500 tayari. Bado kuna viwanda na biashara etc. Na hio ni Tanzania tu jamaa yupo Nchi 12.

Naona uvivu kuweka source ya kila kitu, ukihitaji source ya data yoyote unayoitilia mashaka niambie nitakuekea.
 
Ni mapato yake yote mpaka sasa. Skia kuna watu wanazani eti rostam aliwekeza mtaji wake voda sasa kauza $250m. Ccm wezi, wakati makampuni ya simu yanaingia bongo zilitangazwa leseni mnadani bongo, wadau wachache wanasiasa wakazificha kwapani kina rostam, edo, msoga etc. kwaiyo voda et al walipokuja walikosa leseni za ku operate nchini ikabidi waingie ubia na wenye leseni kina rostam na wenzake. Sasa unapoona mtu anauza shea zake voda $250m ujue kapauka na climate ilikua mbaya. Huwezi kumfananisha mtu kauza hisa zake za 30years kwa 250m na ronaldo ambaye kila mwaka hapungui $64m na ana lifetime earnings za over $1b.
Ubilionea haupimwi na pato lako la zamani, kama Utajiri unapimwa hivyo basi wengi humu tungekuwa mamilionea. Unapimwa na thamani ya mwaka huu. Hivyo kama anaingiza $64M kwa mwaka haimaaanishi baada ya miaka 10 eti ile $64M bado itakuwepo tu, hizi ni hesabu za kitoto.

Jichukulie mfano wewe am mfanyakazi Serikalini analipwa 700,000 kwa mwezi, baada ya mwaka ni 8.4 milioni na baada ya miaka kumi ni milioni 84, haimaaanishi eti baada ya miaka 10 mfanyakazi atakuwa na milioni 84, Bali atakuwa vile vile kawaida tu, sababu ile Hela imeshaenda kwenye Ada, kodi za Nyumba, hela ya tuition, michepuko, etc.

Hivyo huwezi kuleta kigezo cha hela aliyoingiza zamani kwa Utajiri wa Leo, Utajiri unapimwa kwa pato la sasa. Kiasi cha benki, thamani za Asset etc.
 
Kodi ya watu wa Soka pia ni kubwa wanakatwa 35 mpaka 45% ya kipato chao wasichokitumia. Na kila hela wanayolipwa haimaaanishi ni Thamani yao wanalipa mishahara, wanatumia na wao kama binadamu wengine, wanalipa kodi ya Nyumba etc. There is a reason hakuna Mwanasoka Bilionea so far.

Kuhusu MO mkuu Hebu twende Taratibu.

-MO ni exporter mkubwa wa mitiki, quality ndogo ya mitiki cubic meter ni $900 quality kubwa mpaka $1500 kontena la futi 20 ni Cubic meter 33, so tunaongelea milioni 60 mpaka 120 hivi kwa Container. Jamaa ana Yard nzima, kuna kipindi kila wiki zinaingia gari kama 10 toka mashambani huko Tanga ama Morogoro, so easily tunaongelea Mamia ya macontainer na Revenue makumi ya Bilioni.

-kwenye Katani jamaa ana Heka 40,000 na production yale ni Tani 10,000 kwa mwaka, bei ya Tani sasa hivi ni $850 mpaka $900 hivyo tunaongelea Dola milioni 8 ama 9 hivi ambayo ni zaidi ya bilioni 20.

-Njoo Pamba hapa napo tunaongelea Tani 30,000 mpaka 45,000 ambayo roughly ni hizo Bilioni 30 mpaka 45 haijakuja processed hapo, kiwanda cha nguo cha MO kina capacity ya kutengeneza Mita milioni 100 kwa mwaka, mita moja ya Fabric inategemea ya nini at minimum sokoni ni 1000 ila inaenda mpaka 8000 hivyo tunaongelea market ya mamia ya Bilioni.

Nikupe tu comparison moja hapa, Tanzania Nzima ina heka milioni 86, Metl mashamba wanayohudumia kwenye Pamba tu heka milioni 5.

-kwenye Mawese/crude oil jamaa anaingiza Tani 120,000 kwa mwaka bei ya Tani ni Around $600 hivyo anaspend around $72m kwenye hili, hii ni raw Material tu ya kiwanda ni around bilioni 200 bado haijatoka Final product ambayo ina Thamani zaidi.

Hivi Vyote mkuu, nimebase Kwenye kitu kimoja tu Agriculture, na sijamaliza mazao yote, kuna Korosho hapo, mbaazi, dengu na mengine mengi hata Sina ya Angalia ila tayari tunavuka Bilioni 500 tayari. Bado kuna viwanda na biashara etc. Na hio ni Tanzania tu jamaa yupo Nchi 12.

Naona uvivu kuweka source ya kila kitu, ukihitaji source ya data yoyote unayoitilia mashaka niambie nitakuekea.
Sema mkuu una Muda wa kupoteza
 
Back
Top Bottom