Kuna watu wanaamini Brahim Diaz alijikosesha penati!!

Kuna watu wanaamini Brahim Diaz alijikosesha penati!!

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2017
Posts
25,012
Reaction score
56,294
Kuna watu wa soka wanaamini Brahim Diaz aliamua kujikosesha makusudi ile penati ili kuwarudisha mchezoni Senegal na isionekane kama wamefanyiwa hujuma.

Mimi nakataa, Diaz kakosa kiuhalisia kabisa. Golikipa Mendy sio mara yake ya kwanza kudaka penati ya panenka.

Alishawahi kudaka penati ya Aguero kwenye EPL kama alivyofanya jana.
IMG_8944.jpeg
 
kama unakataa kwamba penalty ile haikupangwa jiulize yafuatayo

1. Kwa nini wachezzaji wa Senegal hawakuja kumpongeza kipa kwa kudaka ukizingatia mpira ulikuwa dikika za mwisho? katika hali ya kawaida wangekuja kumbeba juu juu
2. Kwa nini Senegal hawakushangilia?
3. Kwa nini wachezaji wa Senegal hawakukimbia golini kuondoa mpira kama kipa atapangua?
4. Kwa nini mchezaji aliyekosa penalt dakika za lala salama hakuonyesha kusikitika?
5. Kwa nini wachezaj wa Morroco walionyesha kukubaliana na penalty ile?
 
kama unakataa kwamba penalty ile haikupangwa jiulize yafuatayo

1. Kwa nini wachezzaji wa Senegal hawakuja kumpongeza kipa kwa kudaka ukizingatia mpira ulikuwa dikika za mwisho? katika hali ya kawaida wangekuja kumbeba juu juu
2. Kwa nini Senegal hawakushangilia?
3. Kwa nini wachezaji wa Senegal hawakukimbia golini kuondoa mpira kama kipa atapangua?
4. Kwa nini mchezaji aliyekosa penalt dakika za lala salama hakuonyesha kusikitika?
5. Kwa nini wachezaj wa Morroco walionyesha kukubaliana na penalty ile?
Unampongeza kwa penalt gani iliyopigwa pale wewe mzee mboa mnaingia king kwa ishu ndogo saana..
 
Kuna watu wa soka wanaamini Brahim Diaz aliamua kujikosesha makusudi ile penati ili kuwarudisha mchezoni Senegal na isionekane kama wamefanyiwa hujuma.

Mimi nakataa, Diaz kakosa kiuhalisia kabisa. Golikipa Mendy sio mara yake ya kwanza kudaka penati ya panenka.

Alishawahi kudaka penati ya Aguero kwenye EPL kama alivyofanya jana.View attachment 3531862

SISI WAARABU WA MCHAMBAWIMA NA MAKUNDUUCHI.
 
kama unakataa kwamba penalty ile haikupangwa jiulize yafuatayo

1. Kwa nini wachezzaji wa Senegal hawakuja kumpongeza kipa kwa kudaka ukizingatia mpira ulikuwa dikika za mwisho? katika hali ya kawaida wangekuja kumbeba juu juu
2. Kwa nini Senegal hawakushangilia?
3. Kwa nini wachezaji wa Senegal hawakukimbia golini kuondoa mpira kama kipa atapangua?
4. Kwa nini mchezaji aliyekosa penalt dakika za lala salama hakuonyesha kusikitika?
5. Kwa nini wachezaj wa Morroco walionyesha kukubaliana na penalty ile?
Mkuu upo sahihi, situation ya Senegal kugoma kuendelea na mchezo ingeleta fedheha kubwa kwa Morocco na CAF, sababu wamebebwa sana. Akashawishiwa Mane awaambie wenzake warudi ili ipigwe penalty feki ziongezwe dk 30 pambano lianze upya. Ndo maana alipiga vibaya makusudi kuua soo. Baada ya pale refa akaanza kuwa fare hadi mwisho. Illa mara nyingi watu wanaojionaga wanajua ndo hua hawajui kama mleta mada.
 
Kuna watu wa soka wanaamini Brahim Diaz aliamua kujikosesha makusudi ile penati ili kuwarudisha mchezoni Senegal na isionekane kama wamefanyiwa hujuma.

Mimi nakataa, Diaz kakosa kiuhalisia kabisa. Golikipa Mendy sio mara yake ya kwanza kudaka penati ya panenka.

Alishawahi kudaka penati ya Aguero kwenye EPL kama alivyofanya jana.View attachment 3531862
Upo sahihi
 
Mkuu upo sahihi, situation ya Senegal kugoma kuendelea na mchezo ingeleta fedheha kubwa kwa Morocco na CAF, sababu wamebebwa sana. Akashawishiwa Mane awaambie wenzake warudi ili ipigwe penalty feki ziongezwe dk 30 pambano lianze upya. Ndo maana alipiga vibaya makusudi kuua soo. Baada ya pale refa akaanza kuwa fare hadi mwisho. Illa mara nyingi watu wanaojionaga wanajua ndo hua hawajui kama mleta mada.


UONGO MANE ALISHAWISHIWA SAA NGAPI NA NANI? UJUAJI WA KIPUUZI. JAMAA KAKOSA PENALTY. PERIOD.
 
Mkuu upo sahihi, situation ya Senegal kugoma kuendelea na mchezo ingeleta fedheha kubwa kwa Morocco na CAF, sababu wamebebwa sana. Akashawishiwa Mane awaambie wenzake warudi ili ipigwe penalty feki ziongezwe dk 30 pambano lianze upya. Ndo maana alipiga vibaya makusudi kuua soo. Baada ya pale refa akaanza kuwa fare hadi mwisho. Illa mara nyingi watu wanaojionaga wanajua ndo hua hawajui kama mleta mada.
morocco walivyokamia ushindi wafanye upuuzi kama huo? ile alikosa na baada ya kukosa hakuwa sawa mpaka akatolewa!
 
Kuna watu wa soka wanaamini Brahim Diaz aliamua kujikosesha makusudi ile penati ili kuwarudisha mchezoni Senegal na isionekane kama wamefanyiwa hujuma.

Mimi nakataa, Diaz kakosa kiuhalisia kabisa. Golikipa Mendy sio mara yake ya kwanza kudaka penati ya panenka.

Alishawahi kudaka penati ya Aguero kwenye EPL kama alivyofanya jana.View attachment 3531862
 
Mkuu upo sahihi, situation ya Senegal kugoma kuendelea na mchezo ingeleta fedheha kubwa kwa Morocco na CAF, sababu wamebebwa sana. Akashawishiwa Mane awaambie wenzake warudi ili ipigwe penalty feki ziongezwe dk 30 pambano lianze upya. Ndo maana alipiga vibaya makusudi kuua soo. Baada ya pale refa akaanza kuwa fare hadi mwisho. Illa mara nyingi watu wanaojionaga wanajua ndo hua hawajui kama mleta mada.
WEWE KILAZA HUJUI KITU.

 
Kuna watu wa soka wanaamini Brahim Diaz aliamua kujikosesha makusudi ile penati ili kuwarudisha mchezoni Senegal na isionekane kama wamefanyiwa hujuma.

Mimi nakataa, Diaz kakosa kiuhalisia kabisa. Golikipa Mendy sio mara yake ya kwanza kudaka penati ya panenka.

Alishawahi kudaka penati ya Aguero kwenye EPL kama alivyofanya jana.View attachment 3531862
Mimi ni miongoni mwao!
 
Brahim Diaz hapigagi penalty na mguu wa kulia kama hapo,iyo ni week foot kwake!
Halafu kama kweli alikua ana nia ya kufunga,ile penalty hawezi piga kwa dharau ivo,!
Yani penati ya ubingwa fainali kabisa upige Paneka kweli??!
 
Back
Top Bottom