TOHATO
JF-Expert Member
- Dec 18, 2016
- 1,170
- 3,775
Kunakoitwa kaskazini ndo elimu ilipo hata maendeleo pia,japo yote ni Tanzania basi ni vema wengine wakajifunze kwa kule kuliko inuka..
Kwa idadi hiyo ya shule kikawaida ingetakiwa ndo mikoa ya mwisho ila ni tofauti kidogo kwani huko wazazi na wanafunzi wenyewe wanajua umuhimu wa elimu
Povu ruksa.Ila iwe ndani ya sheria za JF