Kuna Watu ni " Marriage Material" Na Kuna Wengine ni " Dating Material Only"

Kina dada gani hao uliokaa nao kitako mkafikia hitimisho hilo?

Si mpaka ukae kitako na akina dada na kuhitimisha hilo, hayo ni mawazo yangu kwa jinsi ninavyowaona akina dada wengi wanavyokuwa before and after, yanaweza kuwa sawa au si sawa ndio maana nimesema ninavyoona mimi hiyo ni a Tanzanian Dream

Unaweza kuona hivyo, sivyo, vyovyote pia ni mawazo yako, you don't have to sit with people to justify your thinking ndio maana observation is allowed also wakati wa kutoa opinion
 
My thoughts...

I know that already.

I'm just asking how and why?

Is it because they want the title of being called 'mrs'. so and so?

Is it because it is a respectable thing/ status to have?

Or is it because of some other reason(s)?

So why do you think it is a dream?
 
Si mpaka ukae kitako na akina dada na kuhitimisha hilo, hayo ni mawazo yangu kwa jinsi ninavyowaona akina dada wengi wanavyokuwa before and after,

Kama hayo ni mawazo yako binafsi yaliyofikiwa na observation zako tu, ulipaswa uweke hivyo, sio unaandika kama ni ukweli usio shaka

.... ndio maana nimesema ninavyoona mimi hiyo ni a Tanzanian Dream

Unaweza kuona hivyo, sivyo, vyovyote pia ni mawazo yako, you don't have to sit with people to justify your thinking ndio maana observation is allowed also wakati wa kutoa opinion

Hukusema kama ni mawazo yako binafsi na ndicho kilichopelekea kuuliza suali nililouluza

Maneno kama "ninadhani," "kwa mawazo yangu," na "nafikiri," na mengineyo kama hayo, yapo kueleweshana kuwa haya ni mawazo binafsi baada ya observation ya watu kadhaa, ungetumia ukarleweka sio kurundika "kina dada" wote kwenye observations zenu za wachache
 
Kama hayo ni mawazo yako binafsi yaliyofikiwa na observation zako tu, ulipaswa uweke hivyo, sio unaandika kama ni ukweli usio shaka



Hukusema kama ni mawazo yako binafsi na ndicho kilichopelekea kuuliza suali nililouluza

Maneno kama "ninadhani," "kwa mawazo yangu," na "nafikiri," na mengineyo kama hayo, yapo kueleweshana kuwa haya ni mawazo binafsi baada ya observation ya watu kadhaa, ungetumia ukarleweka sio kurundika "kina dada" wote kwenye observations zenu za wachache

Sawa wamerundikwa huko kwa observation yangu mmoja, sio ya watu wachache...

I still say that is a Tanzanian Dream, you have a better version or something else, sawa kabisa, to me that is a TZ Dream

Uliona ni 'ukweli usio shaka' maybe gospel according to Nsiande
 
I know that already.

I'm just asking how and why?

Is it because they want the title of being called 'mrs'. so and so?

Is it because it is a respectable thing/ status to have?

Or is it because of some other reason(s)?

So why do you think it is a dream?

Nitazua mijadala sana humu , lakini naona ni ile 'title' nionavyo mimi

Mifano michache nachelea kutoa , lakini yeah I stay in a queue to see a doc and yeah I see it ( gives me an inward smirk ) so yeah niishie tu hapo kwakweli
 
Sawa wamerundikwa huko kwa observation yangu mmoja, sio ya watu wachache...

I still say that is a Tanzanian Dream, you have a better version or something else, sawa kabisa, to me that is a TZ Dream

Uliona ni 'ukweli usio shaka' maybe gospel according to Nsiande

Maskin'

..so sad
 
Wadada wengi wanafagilia sana kuolewa, kuliko wanaume wanavyofagilia kuoa!!! (inawezekana nimekurupuka). Wako radhi hata waolewe na gumegume ili mradi tu nae aitwe mama fulani!!!
 
well said mkuu, but kuna wengine huwa kunguru ktk dates ila baada ya ndoa akatulia mpaka ukashangaa. na watu wakasema dada/kaka flan kabla hajaolewa/oa alikuwa hashikiki ila baada ya ndoa katulia ajabu. kuwapata hawa ni nadra sana kwani huwezi kumbadili mtu bali mtu mwenyewe huamua kubadilika. na kuna wengine huwa njiwa "hasa sie kinadada ili tu kupata ndoa" na akishaingia tu mwanaume utajuta, hawa wapo wengi tu. .dawa ni kumwomba Mwenyezi Mungu atusaidie katika hili,ukizingatia twatoka ktk malezi tofauti!


True indeed, True indeed! Very constructive analysis.
 
Afu 'vyunguru' wana mivuto balaa. Kuna mdada design hiyo ya kunguru alikuwa anatuambia "yani na huu uzuri wangu wote eti nimilikiwe na mwanaume mmoja; huyo mwanaume atakuwa mchoyo, wenzie je?". Japo alikuwa anasema kama matani...ndivyo alivyokuwa anawapanga.

Ila kwa sasa ameolewa ...na sijuhi kama bado ni kunguru au kachenji kuwa njiwa.

Ni kweli kunguru huwa ni watamu vibaya vibaya. Na hata ukimuacha hutasahau manjonjo aliyokupa.
 
Ni kweli aisee. Hata wanaume kuna wa kuuzia sura tu. yaani unakutana na mtu hana hata focus ya maisha, hadi unamshangaa ana mpango gani na miaka hii michache aliyopangishwa na mwenye enzi Mungu.
ni kosa kubwa kumuona mtu ana kasoro na kutegemea ndoa itambadilisha.


True indeed. The reason nimeandika hii post ni kwasababu kuna rafiki yangu jamaa ni HB na wadada huwa wanamfia kishenzi ila jamaa huwa hadumu katika uhusiano for more than three months hata iweje kwakuwa always huwa anafumaniwa. Every time akini introduce kwa girlfriend mpya huwa naanza kumuonea huyo dada huruma niki imagine ushenzi atakaokuja kufanyiwa. Ila siwezi kumuonya huyo dada kwakuwa huwa sipendi kuingilia personal issues za jamaa yangu.
 
Hahah

Inanikumbusha hadithi ya Alice, Alice alifika kwenye njia panda akaulizia njia, akaulizwa unataka kwenda wapi? Akajibu sijui ninakoenda, akaambiwa kama hujui unakoenda, njia yoyote itakupeleka

So you can find love kwa mtu ambaye unahisi ulikuwa ni wa kumchezea tu au wa kupitisha naye muda

Na unaweza usioe au kuolewa na huyo 'marriage material' wako for the same reasons

Nadhani wale ambao umri umekimbia sana ndio desparate(sp) to get married for the sake of it, hivyo tangu wanaanza dating hiyo agenda ipo, ila wengi inatokea tu humo naturally

True indeed!
 
wife/husband material.....kwani wapi siku hizi?? mhhhh nimepita mie!
 
Nimesoma comment zote nimefikia conclusion kwamba ukiambiwa kitu changanya na akili zako, natafakari bado
 
Wadada wengi wanafagilia sana kuolewa, kuliko wanaume wanavyofagilia kuoa!!! (inawezekana nimekurupuka). Wako radhi hata waolewe na gumegume ili mradi tu nae aitwe mama fulani!!!

Mkuu

Umetoa analysis nzuri na ya kweli. Can you please go further and expalin sababu ni nini inayofanya wadada wafagilie kuolewa wakati kina kaka hawafagilii . I think there is technical education in your observation
 
Back
Top Bottom