kunguni wa ulaya
JF-Expert Member
- Mar 16, 2014
- 4,131
- 6,125
Mnawaokotaga wapi madem wa hivyo?ulichokiongea ndo nilitaka kuandika, nliwai kusema sitakuja kupiga demu ata mke ila jana kidogo nivunje amri, but sikuonesha kukasrika, nlifata chips yai, na mishikaki tena nkaja nacheka tu ila hawa watu wanakera, nilisubili asbui ifke ili nitafte namna ya kumwambia aondoke
Ndio wale kila kitu cha bandia nini mwilini mwake.
Makucha marefu,makope ya bandia etc..


