Kuna wanawake wana dharau acheni kabisa

Jstar1

JF-Expert Member
Aug 1, 2019
1,389
1,337
Yaani mtu, anadai hawezi kutumia jiko kupika wali, eti ilo jiko haliwezi, jiko mmenunua zaidi ya laki 7, linaoza, unamwachia, elfu 10K, ya kula ukitoka kuangaika jioni unamwambia unakula nini, kununue ata chips, anasema amechoka hatoki nje.

Basi unamwambia kama umebakiza ata elfu 1, leta nimpgie simu boda akuletee chakula, mi ntakununulia alafu nauli mpe boda ata buku, anakwambia hana ata mia, na apo ulimwachia elfu 10, unakuta wewe unakula yule mdudu na yeye hali, basi unanunua mdudu wako unampa elfu 3, kanunue viazi anakwambia mimi nje sitoki nmechoka, na apo kashinda amekaa tu.

Basi unaona jau kula huku mwenzio kakakaa tu, unaamua kwenda kununua, asbui nmemwambia kuna mdogo wangu anakuja kulala, na nmechukia bora asirudi kabisa.

Eti demu ambae hana elimu, ana heshima weeeee hujawakuta.
 
Mkuu kwani hujui kupiga wewe..?
Kuna mitama Kuna vichwa Tena vipo dizaini nyingi Kuna kichwa kinaitwa "cheza na karungu yeye" hicho hupigwa maeneo ya jichoni Kuna kichwa kinaitwa "ulipo tupo" hicho hupiga popote lkn haswa hulenga maeneo ya pua!.. mkuu kuna kabari ipo kabari inaitwa "usiempenda kaja" hii inapigwa unahakikusha aliepigwa kabari hiyo anatumbua jicho na misuli ya uso yote Inaonekana hapo bado kumuachia mpk anyampe ndo unamuacha!

Yapo mapigo mengi sijui unakwama wapi..??
 
Mkuu kwani hujui kupiga wewe..?
Kuna mitama Kuna vichwa Tena vipo dizaini nyingi Kuna kichwa kinaitwa "cheza na karungu yeye" hicho hupigwa maeneo ya jichoni Kuna kichwa kinaitwa "ulipo tupo" hicho hupiga popote lkn haswa hulenga maeneo ya pua!.. mkuu kuna kabari ipo kabari inaitwa "usiempenda kaja" hii inapigwa unahakikusha aliepigwa kabari hiyo anatumbua jicho na misuli ya uso yote Inaonekana hapo bado kumuachia mpk anyampe ndo unamuacha!

Yapo mapigo mengi sijui unakwama wapi..??
ulichokiongea ndo nilitaka kuandika, nliwai kusema sitakuja kupiga demu ata mke ila jana kidogo nivunje amri, but sikuonesha kukasrika, nlifata chips yai, na mishikaki tena nkaja nacheka tu ila hawa watu wanakera, nilisubili asbui ifke ili nitafte namna ya kumwambia aondoke
 
ulichokiongea ndo nilitaka kuandika, nliwai kusema sitakuja kupiga demu ata mke ila jana kidogo nivunje amri, but sikuonesha kukasrika, nlifata chips yai, na mishikaki tena nkaja nacheka tu ila hawa watu wanakera, nilisubili asbui ifke ili nitafte namna ya kumwambia aondoke
Mimi Hilo la kutokupiga ke nililiacha toka nilipokuta nimeseviwa jina "KIBERENGE" wakati mi najina zuri tu..😂
 
Yaani mtu, anadai hawezi kutumia jiko kupika wali, eti ilo jiko haliwezi, jiko mmenunua zaidi ya laki 7, linaoza, unamwachia, elfu 10K, ya kula ukitoka kuangaika jioni unamwambia unakula nini, kununue ata chips, anasema amechoka hatoki nje.

Basi unamwambia kama umebakiza ata elfu 1, leta nimpgie simu boda akuletee chakula, mi ntakununulia alafu nauli mpe boda ata buku, anakwambia hana ata mia, na apo ulimwachia elfu 10, unakuta wewe unakula yule mdudu na yeye hali, basi unanunua mdudu wako unampa elfu 3, kanunue viazi anakwambia mimi nje sitoki nmechoka, na apo kashinda amekaa tu.

Basi unaona jau kula huku mwenzio kakakaa tu, unaamua kwenda kununua, asbui nmemwambia kuna mdogo wangu anakuja kulala, na nmechukia bora asirudi kabisa.

Eti demu ambae hana elimu, ana heshima weeeee hujawakuta.
Kumbe demu tu!! huyo usimpeleke nyumbani atakuletea matatizo.
 
Yaani mtu, anadai hawezi kutumia jiko kupika wali, eti ilo jiko haliwezi, jiko mmenunua zaidi ya laki 7, linaoza, unamwachia, elfu 10K, ya kula ukitoka kuangaika jioni unamwambia unakula nini, kununue ata chips, anasema amechoka hatoki nje.

Basi unamwambia kama umebakiza ata elfu 1, leta nimpgie simu boda akuletee chakula, mi ntakununulia alafu nauli mpe boda ata buku, anakwambia hana ata mia, na apo ulimwachia elfu 10, unakuta wewe unakula yule mdudu na yeye hali, basi unanunua mdudu wako unampa elfu 3, kanunue viazi anakwambia mimi nje sitoki nmechoka, na apo kashinda amekaa tu.

Basi unaona jau kula huku mwenzio kakakaa tu, unaamua kwenda kununua, asbui nmemwambia kuna mdogo wangu anakuja kulala, na nmechukia bora asirudi kabisa.

Eti demu ambae hana elimu, ana heshima weeeee hujawakuta.
Unaroho ya huruma aseeh... mm ningemchangamsha tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom