Kuna wanawake wa aina hii tena miaka hii...?

Kama yupo mdada wa kariba ya hivyo kuja hapa ndoa bil masharti yoyote you have to be a Christian...!

Angalizo sina Pesa...!
 
Mi nitakwambia live uchague mwenyewe. Kufeki feki sina i go straight to the point.
All in all hizi ndoa zetu tuweke maombi sana, binadamu tuna mapungufu mengi, ili tuishi kwa kupendana na kuheshimiana Mungu lazima awe kimbilio letu sio wakina sangoma
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom