Kuna wanawake ving'ang'anizi sana

Kuna wanawake ving'ang'anizi sana

Kichwa Ndio Mtu

JF-Expert Member
Joined
Jan 17, 2014
Posts
3,079
Reaction score
1,719
Kuna wanawake wengine ving'ang'anizi sana hata umfanyeje bado anaendelea kusumbua.

Hata kama huambiwi wazi kuwa umeachwa au mtu hakutaki dalili huoni uache kusumbua watu.

Unapiga simu wiki nzima haipokelewi, unatuma text hazijibiwi, unabadili simu bado unapuuzwa lakini bado huachi kusumbua.

Hata kama kusoma hujui hata macho huna?picha huoni?

Tujifunze kusoma dalili mbaya na tuchukue hatua.
 
Ulipobadili hiyo sim alijuaje tuko kama vidole vingine virefu vingine vifupi
 
Kumnyamaziakimya sio suruhu
Mwambie wewe huwezi kuendelea na mahusiano mpe sababu zako
hata akiendelea kukupigia ajue kabisa humtaki kwasababu zipi kukaa kimya sio busara

Sina utaratibu wa kumuacha mtu kwa kumwambia,kuna sababu nyingi za kufanya hivyo
 
sasa umepata mwingine, unamuona wa nini!

Kaa nae kikao cha dharura msuluhishe hilo msituletee mchezo wa bunge la katiba hapa!

Unataka awe UKAWA au?
 
Yaani wewe wa ajabu!!!
Akikupigia unajidai you are sorry ulikuwa busy,kisha unakuja kuitangaza talaka lf!
Man up,mwambie its over!!!
 
mbona ulvyomtongoza ulimwambia? y kumuacha umuache kimya kimya? kua mwanaume wewe! be straight.... mwenzako anapga hvyo anaweza akajua umekufa myb..... ndo maana haachi
 
Mwambie usoni usimuogope. Atapata mwingine ataziba pengo lako. Ila usijute baadaye kwa nini ulimwacha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom