julius mahinya
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 1,152
- 384
unaomba watoaji bro ndio maana hawakunyimi!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Acha umatonya Mkuu! Wenzio tunaomba kwa Mwenyezi Mungu we unaomba wanawake .......
Akiomba, eti ombaomba, akibaka m'bakaji, akiachana na nyie, mna mashaka na nguvu zake, .... Afanye lipi??Hujishangai we omba omba?
Yaani kuna wanawake hawakatai ukiomba tu hata ulikuwa unajaribu utasikia tu unaambiwa ni wewe tu na akija tena mwingine anakubaliwa hawariziki miili yao walishaitoa sadaka kama yesu msalabani
Akiomba, eti ombaomba, akibaka m'bakaji, akiachana na nyie, mna mashaka na nguvu zake, .... Afanye lipi??
imekugusa nn
Halooooo kama unaomba kwa kujaribu nami nakubali kwa kukujaribu......kabla hata hujahema nakupiga mzinga nikiona unashangaaaa nasepa!!!!
Mimi hunipigi mzinga wowote, nakuomba unanipa then nasepa nakuacha ukinikumbuka
Yaani kuna wanawake hawakatai ukiomba tu hata ulikuwa unajaribu utasikia tu unaambiwa ni wewe tu na akija tena mwingine anakubaliwa hawariziki miili yao walishaitoa sadaka kama yesu msalabani
Yaani kuna wanawake hawakatai ukiomba tu hata ulikuwa unajaribu utasikia tu unaambiwa ni wewe tu na akija tena mwingine anakubaliwa hawariziki miili yao walishaitoa sadaka kama yesu msalabani
Sijazidi mkuuu kuwa ombaomba ila yeye ndio kaanza eti ananitania baby lini unanitoa out wakati anajua ninamke kabisa kama yeye ndio hana akili nimemwambia alipie ghalama za out
Usipende kufunua tupu za wanawake ovyo, nyingine zina nuksi, wanakuachia! Wengine wanachukua nyota zako, unakuwa wa ivyo ivyo tu, unaona wenzako wanaprosper wewe upo palepale!