kuna wanawake hawakatai

kuna wanawake hawakatai

Status
Not open for further replies.
Usipende kufunua tupu za
wanawake ovyo, nyingine zina nuksi, wanakuachia! Wengine wanachukua
nyota zako, unakuwa wa ivyo ivyo tu, unaona wenzako wanaprosper wewe upo
palepale!

Nalo hili neno!
 
Malaya umpe cheki si bora nikampe mama watoto afaidike na watoto na familia kwa ujumla
We hujui tabia ya ma vempire yanapenda harufu tofauti tofauti ya K
Waliokukubalia ni hao hao tuuu wengine wagumu mpaka utoe cheki
 
Usipende kufunua tupu za wanawake ovyo, nyingine zina nuksi, wanakuachia! Wengine wanachukua nyota zako, unakuwa wa ivyo ivyo tu, unaona wenzako wanaprosper wewe upo palepale!


Kumbe nyingine zina nuksi eee
 
mtoto akililia wembe(papuchi) mpe akijikata(diseased) shauri zake?
 
Mkuu hata ukiomba kwa mungu lazima uangalie mazingira ukijichanganya tu kazi bure nipo saizi job nimetest kuimbisha mfanyakazi mwenzangu nimekubaliwa yaani wanawake ni pasua kichwa[/QUOTE]

Kwa hiyo huyo mfanyakazi mwenzio anatosha kuwakilisha wanawake?
Wewe na yeye nyote wale wale kasoro majina tu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom