Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahaha mnawapa sana attentionTunawaleaje eti
Anakwama wapi kukufanya ucheke ?Huyu mtu hajawahi kunichekesha
Sijui hata anakwama wapiAnakwama wapi kukufanya ucheke ?
Kwa vipiHalafu asilimia kubwa nyie wadada ndo mnawalea vibaya hawa jamaaa
teacher mpamire, YY, anko zumo, braza K na photogenic mtoto hao ndio wachekeshaj wengine naona ni kuforce tu
Nimekumbuka ule usemi wa "Kombi zimegoma"Hata kama hatuchekeshi lakini ukweli usemwe alikua ni Mwl Wa Secondary sio shule ya msingi.
Halafu kikubwa zaidi sisi walimu Wa shule ya msingi sio kama tulifeli hapana Noo ni marks tu hazikutosha ndo maana tukapewa majukumu mengine.
Ahsante.
Wewe ni mbena???Huwa simuelewagi anachoongeaga.
Kwa hiyo wanaovaa vizuri na smart kichwani tayari wanapata sifa ya kuwa comedians?mimi nampenda kwakuwa yupo smart kichwani, havai rough wala manguo ya kike