Jamaa_Mbishi
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 10,185
- 7,368
Jamani nimetoka kazini nipo hoi, nilikuwa busy sana leo. Sikupata hata nukta ya kupumzika. Nimefika home wife kaniudhi sana. Yaani nina hasira mpaka nimeshindwa kulala. Usingizi wote umeondoka. Sasa nimegundua mwenzangu anapenda ugomvi sana, nimefika mahali nimechoka sana naona siku si nyingi ntafanya kitu cha kuishangaza dunia. Naomba mniombee ili niwe na moyo wa uvumilivu, niepukane na mwovu shetani. Kila siku narudi home nimechoka lakini sipati hata nafasi ya kupumzika, nakuta maudhi ya ajabu.
Chonde mshikaji usije kuacha haibu ya kina Ufoo. Jifunze na matukio na kuombewa, utaombewa na wale wanaokujali humu JF, hivyo usiwe na hofu.