Kuna wana maombi humu?

Kuna wana maombi humu?

Jamani nimetoka kazini nipo hoi, nilikuwa busy sana leo. Sikupata hata nukta ya kupumzika. Nimefika home wife kaniudhi sana. Yaani nina hasira mpaka nimeshindwa kulala. Usingizi wote umeondoka. Sasa nimegundua mwenzangu anapenda ugomvi sana, nimefika mahali nimechoka sana naona siku si nyingi ntafanya kitu cha kuishangaza dunia. Naomba mniombee ili niwe na moyo wa uvumilivu, niepukane na mwovu shetani. Kila siku narudi home nimechoka lakini sipati hata nafasi ya kupumzika, nakuta maudhi ya ajabu.

Kwa hatua ulofikia na kutambua kuwa unahitaji kuombewa - ni hatua nzuri ambayo wewe mwenyewe unaweza kupiga magoti chumbani ukiwa peke yako na kutafakari nini chanzo; baada ya hapo mwombe Mungu aweze kukuondolea matatizo hayo. Kuwa serious wakati wa kuomba hakika maombi yako yatajibiwa. POLE SANA RAFIKI.
 
Kwa uzoefu wengi hawpendi kuzua ugomvi, ila kuna pando la hivyo, so unakuta haya huyo mwanamama baadae hujilaumu lakini huwa labda Mume akija, ANAJIKUTA hivyo. The spiritual realm (Godly and ungodly) is very real and it influences people unknowingly. and we dont even think of them as a source anyhow, But the evil spirit is really the stronghold.....
Pole sana mkuu hilo ni tatizo kubwa. Umesema mkeo anapenda ugomvi basi itabidi utafute muda muafaka mkae mzungumze ili aelewe wewe hupendelei hayo makitu ya kugombana. Ni kweli wako watu wanapenda sana ugomvi na imekua hobi kwao. Kubadili mtazamo wa mtu wa aina hii inatakiwa yeye mwenyewe kwanza ajitambue na atambue kuwa ugomvi sio dili.

Umeomba jambo jema maombi , tunakuombea lkn hiyo nia yako ya kufanya kitu dunia ishangae acha kabisa mawazo hayo kwani hakuna jipya chini ya jua sana sana wewe ndio utakua looser. Amini kwamba Mungu anaweza na yuko karibu nawe kuliko unavyofikiri na anakuwazia mema daima. Mungu anakupenda jinsi ulivyo na yuko tayari kubadili hali hali hapo nyumbani kwako.Naomba amani ya Kristo ipitayo akili zote ifurike kwa wingi moyoni mwako .
 
pole sana kaka yangu, kuishi na mwanamke asikuwa na hekima yataka moyo sana ndio maana katika kitabu kitakatifu kinawasihii wanaume kuishi na wanawake kwa akili, ili uweze kuishi na huyo mkeo inabidi utumie akili na sio mapenzi
 
haaa haaa poa lakini huyu jamaa hahitaji maombi wala nini anahitaji kujitahmini na kuangalia wapi alipojikwaa ili aondoe kisiki na kusonga mbele, tatizo hapa tuna story ya upande mmoja, uwe na mwanaume muadilifu tu, mwenyekutambua wajibu wake halafu uwe na kelele tu sidhani labda awe na upungufu wa akili

U a ryt Demba ndo maana mwanzoni nimemwambia anaweza akawa anahitaji ushauri tu na sio maombi
 
pole sana kaka..ila kiukweli hili ni suala la wewe kukaa chini na mkeo mpenzi,(mwaweza kuwa room kwenu au mkatoka out labda mkawa hotelini) mueleze kero zako (kwa upole lakini) kisha naye mpe nafasi ya kusema kero zake, ili mjue shida ipo wapi na umuweke wazi kuwa hali hiyo ya maudhi ndani ya nyumba sio nzuri, na huipendi, na baada ya hapo ni kila mmoja ajirekebishe na aishi kwa kumpendeza mwenzake ili kila mmoja wenu asiwe kero kwa mwenzake kwa namna yeyote ile...kaka kumbuka kuwa wewe ndio kichwa cha nyumba, na una mamlaka yote ya kuweka nyumba yako sawa na mkafurahia maisha yenu ya ndoa wewe na mkeo. Pia kumbuka kuwa sio matatizo yote mnakuwa mnashirikisha watu wa nje km marafiki au ndg, kwani hao nao at times huchangia kuvunja ndoa za watu, sasa kwa kuwa hilo ni tatizo kati yako na mkeo basi mkae chini wenyewe na mlimalize kwani ninaamini haijafika katika katua mbaya, na bado mna nafasi ya kurekebisha na kuendelea kuifurahia ndoa yenu..jamani haya maisha ni mafupi mno ukikaa na mistress kila siku unajipunguzia siku zako za kuishi...kama kweli unampenda mkeo PLEASE kaa naye chini mtatue shida hiyo. Inshaallah mambo yatakuwa muswano!
 
Jamani nimetoka kazini nipo hoi, nilikuwa busy sana leo. Sikupata hata nukta ya kupumzika. Nimefika home wife kaniudhi sana. Yaani nina hasira mpaka nimeshindwa kulala. Usingizi wote umeondoka. Sasa nimegundua mwenzangu anapenda ugomvi sana, nimefika mahali nimechoka sana naona siku si nyingi ntafanya kitu cha kuishangaza dunia. Naomba mniombee ili niwe na moyo wa uvumilivu, niepukane na mwovu shetani. Kila siku narudi home nimechoka lakini sipati hata nafasi ya kupumzika, nakuta maudhi ya ajabu.

Sio rahisi..
 
pole sana ila sijui maudhi ya ajabu ndo maudhi gani tena?
halafu angalia kuwa hasira ni hasara usijepelekwa lupango kwa yale utakayokuja fanya?
Jamani nimetoka kazini nipo hoi, nilikuwa busy sana leo. Sikupata hata nukta ya kupumzika. Nimefika home wife kaniudhi sana. Yaani nina hasira mpaka nimeshindwa kulala. Usingizi wote umeondoka. Sasa nimegundua mwenzangu anapenda ugomvi sana, nimefika mahali nimechoka sana naona siku si nyingi ntafanya kitu cha kuishangaza dunia. Naomba mniombee ili niwe na moyo wa uvumilivu, niepukane na mwovu shetani. Kila siku narudi home nimechoka lakini sipati hata nafasi ya kupumzika, nakuta maudhi ya ajabu.
 
Jamani nimetoka kazini nipo hoi, nilikuwa busy sana leo. Sikupata hata nukta ya kupumzika. Nimefika home wife kaniudhi sana. Yaani nina hasira mpaka nimeshindwa kulala. Usingizi wote umeondoka. Sasa nimegundua mwenzangu anapenda ugomvi sana, nimefika mahali nimechoka sana naona siku si nyingi ntafanya kitu cha kuishangaza dunia. Naomba mniombee ili niwe na moyo wa uvumilivu, niepukane na mwovu shetani. Kila siku narudi home nimechoka lakini sipati hata nafasi ya kupumzika, nakuta maudhi ya ajabu.

We ulidhani wanaokuwa na nyumba ndogo wanapenda? Pressure absorbers... Ila sijakushauri...
 
Jamani nimetoka kazini nipo hoi, nilikuwa busy sana leo. Sikupata hata nukta ya kupumzika. Nimefika home wife kaniudhi sana. Yaani nina hasira mpaka nimeshindwa kulala. Usingizi wote umeondoka. Sasa nimegundua mwenzangu anapenda ugomvi sana, nimefika mahali nimechoka sana naona siku si nyingi ntafanya kitu cha kuishangaza dunia. Naomba mniombee ili niwe na moyo wa uvumilivu, niepukane na mwovu shetani. Kila siku narudi home nimechoka lakini sipati hata nafasi ya kupumzika, nakuta maudhi ya ajabu.
ok!sasa chakufanya kila unaporudi kutoka kazini mbumbwinya kwanza mpaka achoke kisha ndipo upate wasaa wa kumpunzika bila shaka maudhi yatapungua,hakuna dawa nyingine.
 
Piga ndovu 2 baridi halafu kama una DSTV weka ile channel SONY michezo ya kijapan.

Taratibu ndovu ya pili ikiisha piga ya 3.

Tabasamu tu usiwaze wala nini. Muite mkeo mkae hapo, mpige chupa ya wine alainike. Mpe kitu roho inataka.

Ila kuwa makini na kunote kama yuko kwenye mzunguko wake kwa namna alivyoumbwa inawezekana ndio maana jazba.
 
Kwa uzoefu wengi hawpendi kuzua ugomvi, ila kuna pando la hivyo, so unakuta haya huyo mwanamama baadae hujilaumu lakini huwa labda Mume akija, ANAJIKUTA hivyo. The spiritual realm (Godly and ungodly) is very real and it influences people unknowingly. and we dont even think of them as a source anyhow, But the evil spirit is really the stronghold.....
Ni kweli kabisa mkuu unfortunately wengi tunaangalia juu juu tu na hata kama tukiangalia kwa jicho la ndani bado huwa hatupendi kutafuta permanent solution. Unaweza kumshauri mtoa mada kwamba amkaribishe nyumbani kwake mfalme wa amani na huyo akishaingia na kama atakabidhiwa kila kitu basi mambo lazima yawe safi lkn huenda mtoa mada asiwe radhi. Nakumbuka family flani ilikua ikitufurahia sana maisha yetu nasi hatukuwa wachoyo kwani tuliwaambia nyumba yetu anaishi mfalme wa amani na ni huyo tu ndiye anayetupa jeuri ya kuwa hivi tulivyo otherwise sisi ni binadamu kama wengine na tuna mapungufu mengi lkn huwa hatuyaoni sababu ya huyo mfalme anahodhi kila kitu.
 
You are right.

Nakufurahia maana kwa maneno yako mnaishi maisha yenye ushuhuda.

Bahati mbaya unafiki umezidi sana siku izi na injili imerahisishwa sana kiasi unakuta unamshuhudia mtu, anaanza kukupa reference wa wapendwa au watumishi wenye tuhuma kibao za ulevi na kuchukua wake za watu na vibinti. Hata wewe mwenyewe inakua ngumu kukuamini kama uko tofauti au ni walewale. Its becoming harder to spread the good news.

Keep the going, people changes more by seeing/observing that from words though Faith comes by Hearing.

Ni kweli kabisa mkuu unfortunately wengi tunaangalia juu juu tu na hata kama tukiangalia kwa jicho la ndani bado huwa hatupendi kutafuta permanent solution. Unaweza kumshauri mtoa mada kwamba amkaribishe nyumbani kwake mfalme wa amani na huyo akishaingia na kama atakabidhiwa kila kitu basi mambo lazima yawe safi lkn huenda mtoa mada asiwe radhi. Nakumbuka family flani ilikua ikitufurahia sana maisha yetu nasi hatukuwa wachoyo kwani tuliwaambia nyumba yetu anaishi mfalme wa amani na ni huyo tu ndiye anayetupa jeuri ya kuwa hivi tulivyo otherwise sisi ni binadamu kama wengine na tuna mapungufu mengi lkn huwa hatuyaoni sababu ya huyo mfalme anahodhi kila kitu.
 
You are right.

Nakufurahia maana kwa maneno yako mnaishi maisha yenye ushuhuda.

Bahati mbaya unafiki umezidi sana siku izi na injili imerahisishwa sana kiasi unakuta unamshuhudia mtu, anaanza kukupa reference wa wapendwa au watumishi wenye tuhuma kibao za ulevi na kuchukua wake za watu na vibinti. Hata wewe mwenyewe inakua ngumu kukuamini kama uko tofauti au ni walewale. Its becoming harder to spread the good news.

Keep the going, people changes more by seeing/observing that from words though Faith comes by Hearing.
Ni kweli ushuhuda umekua mgumu hasa wanapotazamwa viongozi. Cha msingi sisi tuwashuhudie tu habari za huyu mfalme na wakitaka proof tuwape na hasa tuwaulize wao wanataka kifanyike nini ili waamini. Nakumbuka wakati flani nilihamia mahala flani hivyo nilikua mgeni eneo lile na kama kawaida yetu watu kadhaa wanaotufahamu walikuja kutaka huduma kwetu. Basi kupitia watu wale watu walitangaziana habari na wengi walikuja kutaka huduma.

Tulipohamia eneo lile Kuna watu flani walisema wamezoea kuona wengi na huwa mambo yanakufa. Hatukujali Tulizidi kumtangaza huyu Bwana wa mabwana na tena eneo lile watu waliona miujiza mingi na Mungu aliwafungua wengi mpaka tulipohama . So sisi tuwashuhudie tu wapo watakaoamini mimi huwa nasema wasiweke imani kwenye majina ya watu kwani hata hao ni wanadamu wao waweke imani kwa huyo mfalme asiye na doa na wafocus kwake tu na hasa kujenga personal relationship na huyo Mfalme.
 
Jamani nimetoka kazini nipo hoi, nilikuwa busy sana leo. Sikupata hata nukta ya kupumzika. Nimefika home wife kaniudhi sana. Yaani nina hasira mpaka nimeshindwa kulala. Usingizi wote umeondoka. Sasa nimegundua mwenzangu anapenda ugomvi sana, nimefika mahali nimechoka sana naona siku si nyingi ntafanya kitu cha kuishangaza dunia. Naomba mniombee ili niwe na moyo wa uvumilivu, niepukane na mwovu shetani. Kila siku narudi home nimechoka lakini sipati hata nafasi ya kupumzika, nakuta maudhi ya ajabu.

Dawa ya wanawake kama hao ni mgegedo wa uhakika sio kugusa gusa na kujilaza,hilo ndio tatizo lako kijana acha kujilegeza.
 
Am humbled to hear that!!

Mungu aendee kuwatumia kwa utukufu wa jina lake.

Bahati mbaya wakristo wa leo wanaamini mno, kila wanachoambiwa na walishaji wao (wachungaji/manabii/mitume) wamekuwa wakitii bila hata kufikiri mara ya pili (Sio mbaya lakini inakuwaje pale wanapopotoshwa???)

Si umeona wengi siku izi akipata tu issue yoyote amaeshaaminishwa only mchungaji ana nguvu ya kumuombea, so yeye haombi au akiomba haamnini nguvu iliyo ndani yake (Mungu hutenda kazi kwa kadiri ya nguvvu iliyo ndani mwetu)

Mungu atusaidie kwa kweli.

Forward ever, backward never.


Ni kweli ushuhuda umekua mgumu hasa wanapotazamwa viongozi. Cha msingi sisi tuwashuhudie tu habari za huyu mfalme na wakitaka proof tuwape na hasa tuwaulize wao wanataka kifanyike nini ili waamini. Nakumbuka wakati flani nilihamia mahala flani hivyo nilikua mgeni eneo lile na kama kawaida yetu watu kadhaa wanaotufahamu walikuja kutaka huduma kwetu. Basi kupitia watu wale watu walitangaziana habari na wengi walikuja kutaka huduma.

Tulipohamia eneo lile Kuna watu flani walisema wamezoea kuona wengi na huwa mambo yanakufa. Hatukujali Tulizidi kumtangaza huyu Bwana wa mabwana na tena eneo lile watu waliona miujiza mingi na Mungu aliwafungua wengi mpaka tulipohama . So sisi tuwashuhudie tu wapo watakaoamini mimi huwa nasema wasiweke imani kwenye majina ya watu kwani hata hao ni wanadamu wao waweke imani kwa huyo mfalme asiye na doa na wafocus kwake tu na hasa kujenga personal relationship na huyo Mfalme.
 
Pole sana! Hiyo hali ni ngumu sana na inaweza kukufanya ukachukuwa maamuzi mgumu ila kama unamwamini Mungu lazima uwe mvumilivu na kukazana kuomba, unapotaka kitu ambacho ujawahi pata lazima ufanye kitu ambacho ujawahi fanya.
 
Am humbled to hear that!!

Mungu aendee kuwatumia kwa utukufu wa jina lake.

Bahati mbaya wakristo wa leo wanaamini mno, kila wanachoambiwa na walishaji wao (wachungaji/manabii/mitume) wamekuwa wakitii bila hata kufikiri mara ya pili (Sio mbaya lakini inakuwaje pale wanapopotoshwa???)

Si umeona wengi siku izi akipata tu issue yoyote amaeshaaminishwa only mchungaji ana nguvu ya kumuombea, so yeye haombi au akiomba haamnini nguvu iliyo ndani yake (Mungu hutenda kazi kwa kadiri ya nguvvu iliyo ndani mwetu)

Mungu atusaidie kwa kweli.

Forward ever, backward never.
Yaani unayosema ni kweli kabisa , tatizo kubwa la waamini wa leo hawapendi kusoma neno la Mungu na hata kuliweka kwenye matendo . Na ndio maana wanatajirika sana hawa viongozi manake wanawakamua wenzao kwa kutumia mistari inayohalalisha matakwa yao, wanahubiriwa enjili za vitisho na wao wanatishika. Kwa bahati mbaya hakuna excuse kwenye hili manake ni wajibu wa kila mwamini binafsi kuwa na personal relationship na Jesus. Nakumbuka nilikua nawaencourage wapendwa flani kujisomea neno lkn waliishia njiani.
 
Yap, More believers than thinkers, Full of power with no wisdom,,,,, greedy competing with the world buying expensive cars, building mansions ans buying private jets. boosting themselves thet are better than others, they forget they are not of here, (Not that thet are not entittled to worthy living, I consider it as a considerate living)

Refering the first Church in book of acts, that they sold their possession just to share their fortunes with the have nots. they ensured none was left in need. Which preacher today is sharing back to the poor and the needy in their churches today? Which one do care for the ophans in the churches today? what is the value of owning a hummer/BMW/Vogue while you have people in your congregation who can even afford fees, shoes, cloths and the aged elders who needs supplies???

Yoko wapi Elia wa leo, Yuko wapi Cornelio wa leo? Yuko wapi Musa wa leo, yuko wapi................


Yaani unayosema ni kweli kabisa , tatizo kubwa la waamini wa leo hawapendi kusoma neno la Mungu na hata kuliweka kwenye matendo . Na ndio maana wanatajirika sana hawa viongozi manake wanawakamua wenzao kwa kutumia mistari inayohalalisha matakwa yao, wanahubiriwa enjili za vitisho na wao wanatishika. Kwa bahati mbaya hakuna excuse kwenye hili manake ni wajibu wa kila mwamini binafsi kuwa na personal relationship na Jesus. Nakumbuka nilikua nawaencourage wapendwa flani kujisomea neno lkn waliishia njiani.
 
Heshima ya mtu hujengwa na mtu mwenyewe! kama huwezi kujenga heshima ndani ya familia yako ndio maana unarudi nyumbani ukiwa umechoka sana! tumia akili kufanya kazi sio nguvu ili usichoke sana! pia use brain kujenga heshima sio hasira na minguvu yako relax ongea na mwenzio kimahaba, hasira haizai jema!!!!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom