S
SII kisa lako ni madhara ya jina baya🤔Usijifanye kukwepesha mambo, sisi wote ni wana JF tunaofatilia kila kinachoandikwa humu jukwaani. Kamwe hauwezi kufananisha thread za Jinga lao na za kina Erythroctye, Mmawia nk. Hawa jamaa laiti kama wakiambiwa wachague mungu wa dunia hii basi mungu wao wa kwanza atakuwa Mbowe na mtume au nabii wao atakuwa Lisu. Jamaa siasa zimewafanya washindwe kujishughulisha na mambo mengine ya msingi, kutwa ni kuandika habari za Mbowe, Lisu Chadema nk utafikiri wao ndio wanalala, wanakula na kutembea na viongozi hao. Kusifu kwa Amos Makala ni mara moja moja anapopewa nafasi ya kuongea mbele ya raisi, ila sifa anazotoa hazimuondolei uhalali wa kusimamia sheria na maendeleo ya mkoa wake. Ila hawa chawa wa Mbowe sometimes sifa wanazompa mwenyekiti wao mpaka zinatia aibu. Huku ni sawa na kumuabudu binadamu mwenzako kwa sababu ya pesa zake nk, ni aibu kubwa kwa vijana kukubali kuuza utu wao kwa sababu ya njaa zao.
View attachment 2163647