Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,433
- 11,747
Kusifiwa kwa Rais kuliasisiwa awamu ilopita na tukajua itakuwa nayo imezikwa rasmi kama jamaa kumbe bado inaendelea kufanyika bila kukemewa.
Haifai kiukweli.
Na inchangiwa na mapungufu ya kikatiba ya Viongozi wengi kupatikana Kwa kuteuliwa na mtu mmoja tu.
Kwa hiyo inachukuliwa kama vile ni hisani ya yule mtu alowateua.
Wengine hawajui kuwajibika vyema ktk kutumikia watanzania badala yake wanaficha udhaifu wao Kwa kujikita kwenye kumpamba na kumsifia alowateua kwa hisani.
Haifai kiukweli.
Na inchangiwa na mapungufu ya kikatiba ya Viongozi wengi kupatikana Kwa kuteuliwa na mtu mmoja tu.
Kwa hiyo inachukuliwa kama vile ni hisani ya yule mtu alowateua.
Wengine hawajui kuwajibika vyema ktk kutumikia watanzania badala yake wanaficha udhaifu wao Kwa kujikita kwenye kumpamba na kumsifia alowateua kwa hisani.