Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 31,823
- 33,207
Huyo jama kiukweli alitakiwa kupimwa urineRais anapoteua wasaidizi, hateui wawe kazi yao kumsifia na kumpamba kupitiliza. Bali huwateua kwa lengo la kumsaidia kazi na kuleta maendeleo.
Amos Makalla kwa muda mrefu amekuwa akitumia nguvu na sifa kwa Rais na pengine hata Rais mwenyewe hafurahishwi na hilo Ila tu hawezi kusema. Ili Rais afanye vizuri zaidi anapaswa kuelezwa zaidi changamoto kuliko sifa.