Ntajibu kuringana na Namba ya swali
1. Nipe Aya kwenye Koran inayopinga elimu, halafu usiseme western education sema elimu maana imeanza muda na watu wote au race zote wanasoma uarabuni Kuna vyuo vikuu vikubwa na vyenye Hadhi kuliko chochote kile hapana afrika( kasome history of education)
2. Ukisema ikitokea vita wanakimbilia west, je ushawah jiuliza wanasababisha ni wakina na nani hzo vita? Na kwann ukatae kugharamia mwanamke uliempa mimba? Vita ww ndo inasababisha wakija kujificha kwako uone tabu unataka kuwafukuza, HILI SWALI LIPO NJE YA UPEO WAKO NISIPOTEZE MUDA
3. Kwanini ulazimishe vitu ambavyo watu hawapendi na hawataki, bima haramu kwenye nchi gani? Kila jamii inasheria zake na utaratibu wake wao wapo kweny nchi zao kwann uwapangie wao hao west nan anawapangia kipi halala kipi si halal?
4. Hapa unaonesha chuki za wazi, watu wapo kweny nchi zao na tamaduni zao unataka wasikilizane na nani? Sharia law ni kwaajiri ya waislamu tu mbona hili lipo wazi au unataka kuleta uongo gani Yani?
5. Mashehe wote la Saba kutoa katika nchi Gani na gani mpaka ukasema wote? Au ndo ulivokariri