MLA PANYA SWANGA
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 5,159
- 5,399
Huwa wanajipiga viroba kabla ya kusaini kujiongezea ujasiri kama yule jamaa wa mwanza bungeni.
Hata pilato mwenyewe ni wale wale maana yupo kwenye kapu moja. Kukamatwa kwa mwewe wetu ni matokeo ya kusaini bila kusoma. Ni mengi mno. Aache kukurupuka.
Hata pilato mwenyewe ni wale wale maana yupo kwenye kapu moja. Kukamatwa kwa mwewe wetu ni matokeo ya kusaini bila kusoma. Ni mengi mno. Aache kukurupuka.