johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,934
- 141,907
Bunge la Bajeti mwaka huu limetuonyesha uwezo wa kiakili wa Wabunge takribani wote
Swali ninalojiuliza ni Je Wagombea Ubunge wa CCM huteuliwa na Kamati kuu ya CCM au NGUVU ya Mwenyekiti ndio huamua?
Swali ninalojiuliza ni Je Wagombea Ubunge wa CCM huteuliwa na Kamati kuu ya CCM au NGUVU ya Mwenyekiti ndio huamua?