Kuna wadada wengine wanashangaza kweli

Kuna wadada wengine wanashangaza kweli

Tatizo la wanawake wengi wakati wa uchumba jua mko wawili anatega huku na huu atakayeanza ku propose ndo huyo huyo anabeba mzigo, majuto huja baadaye

mdau ni kweli kabisaaa,ndo maana me huwa nawaambia our relation will determine the future
 
Akili za wanawake fupi za wanaume ndefu.......duh!haya banah....
 
Ulishaona hakufai yanini tema mawasiliano? Bado wampenda eheeee. Utapigwa mapanga? Mke wa mtu ni sumu! Punguza kujipendekeza muda wako uliisha. Karudi kwa wake wa zamani!
 
Lovebird, Hoshea and Cnajina, sio kwamba bado nampenda au natamani ndoa yao ivunjike no noooo! Niliitimisha uzi wangu kwa kusema kwamba nilimwambia we have our dream but God creates destiny nikimaanisha unaweza ukapenda lakini haikupangwa iwe hivyo, kwa hiyo, hiyo ndio destiny yake.

La zaidi naamini kwamba it is not a must to fall in love but you can choose to grow in love, nikimaanisha kwamba still ana muda wa kuyasoma mapungufu ya mumewe na kuendelea kuuwekea mbolea upendo ukamea na kukua kila itwayo leo.

Kuhusu mawasiliano, sio ya ukaribu kwa kuwa natambua ni mke wa mtu, kama nilimuepuka kabla hajaolewa, haiwezekani nikafanya sasa maana naamini it is not wise to fight for love but let love fight for you.
 
Ulimwepuka wapi wewe? Ilikuwaje akakutambulisha kwamba mkubwa ww mdogo yule kama ulikuwa hutembei nae! Endelea kuharibu ndoa za watu matokeo utakuja simulia.
 
Back
Top Bottom