Kuna wabunge bora wangekuwa wapiga debe stand

The Tomorrow People

JF-Expert Member
Jul 11, 2013
2,662
2,745
Ninapenda kuchukua fursa hii kuwakumbusha wabunge kuwa zama za kutaka kujikweza na kuitwa "WAHESHIMIWA" wakati wanafanya mambo ya kipumbavu mbele ya macho ya wananchi wa Tanzania zimepitwa na wakati.

Ninaandika makala hii ili Watanzania wenzangu na hata baadhi ya wabunge mtakaoipata makala hii "muifoward" hadi iwafikie walengwa. Sioni haya kusema bunge la 11 lina wabunge wa aina mbili, yaani wabunge wenye busara na Wabunge "Malofa na wapumbavu" na wasio na busara. Hii inatokana na sababu zifuatazo:-

Utamaduni uliojengeka wa kusimama na kuzomea, kupiga mayowe unadhalilisha hadhi ya bunge na hata kama unaofanywa Nchi nyingine sio wa kuigwa maana hauna tija kwa jamii. Juzi katika mchakato wa kupata Naibu Spika tulishuhudia wabunge wakisimama na kupiga mayowe, Kubweka na kubwabwaja Ovyo kuzuia usikivu na utulivu. Hali hiyo ilizuia usikivu na kutunyima uhondo wa kusikia majibu ya maswali mazito toka kwa Mh. Silinde kwenda kwa Dr. Tulia.

Lakini pia wakati ndg Nape Nnauye ana uliza swali kwa mgombea u Spika wa UKAWA ndg. Ole Medeye wabunge wengine bila sababu walianza kupayuka kama walevi na kubwatuka Ovyo kuzuia Ole Medeye asijibu maswali. Hizo ni tabia za kihuni, Kipuuzi na kijinga.

Jambo lilioonyesha kiwango cha juu cha upumbavu wa baadhi ya wabunge ni baada ya Jana kutoka Bungeni tena kwa kufanya fujo. Ninasema ni upumbavu bila kuona haya ili mjue kuwa hatuna sababu ya kuheshumu na kufumbia macho tabia za kihuni kama zile.

Ni wazi kuwa wananchi tumewachagua ili mtuwakilishe na kutetea maslahi Yetu na wala sio kuleta ushabiki wa vyama vyenu.Pia mkumbuke kuwa hatukuwachagua kwa kuwa nyinyi mpo peke yenu katika jamii.

Wananchi tusimame kidete kukemea mambo mawili. La kwanza tukemee utovu wa nidhamu wa kuzomea Ovyo na utaratibu mbovu wa "Ndiyo Mzee"...

Kwa Leo naishia hapa.
 
Wewe ndo hujui maana ya bunge la vyama vingi! Mbona huko nchi zingine huwa wanazichapa mpaka ngumi! Unategemea wabunge wa upinzani wafuate mambo ya ccm anbayo kila mtu anajua ni maanbo ya ndiyooooooo hata kwenye mambo ya msingi!

Kama upinzani ukiwa kama ccm hapo bungeni sisi wananchi tutajuaje maovu ya serikali! Wanancho kifanya wapinzani ni sahihi kabisa kulingana na aina ya chama tawala tulichonacho!

Kumbuka Upinzani ni watchdog na ni kwa faida ya wananchi lakini wabunge wa chama tawala ni kwa faida ya serikali ikiyoko madarakani!
 
UKAWA imeingiza mambo ya vyama vyao Bungeni kwa kuamini kuwa ndio mahala pekee pa kushawishi viongozi wa kitaifa. Ni nidhamu mbaya sana kumzomea mtu aliye kuzidi umri, achilia mbali mtu huyo kuwa kiongozi wa taifa ama lah. Hivyo kitu ambacho UKAWA walikifanya jama akisameheki, akivumiliki na wote wenye akili tumekilaani kile kitendo cha kuzomea Bungeni.
 
Wewe ndo hujui maana ya bunge la vyama vingi! Mbona huko nchi zingine huwa wanazichapa mpaka ngumi! Unategemea wabunge wa upinzani wafuate mambo ya ccm anbayo kila mtu anajua ni maanbo ya ndiyooooooo hata kwenye mambo ya msingi!

Kama upinzani ukiwa kama ccm hapo bungeni sisi wananchi tutajuaje maovu ya serikali! Wanancho kifanya wapinzani ni sahihi kabisa kulingana na aina ya chama tawala tulichonacho!

Kumbuka Upinzani ni watchdog na ni kwa faida ya wananchi lakini wabunge wa chama tawala ni kwa faida ya serikali ikiyoko madarakani!

Kama kuiga kila kitu kutoka nchi za nje ni jambo jema basi anza wewe kwa kuiga ushoga.
 
Wamezomea , wamepayuka , wametoka nje wamekaa uchochoroni na kusikiliza hotuba yote ya Rais , sasa hawa malofa tuwaeleweje? Sisi hatukuwatuma mkawe wapiga yowe jengeni hoja , tumewadharau wapumbavu sana
 
Hakika umenana
Msigwa ,Mdee,Sugu hawa ni wapiga debe na wavuta bangi kabisa uhitaji kufanya uchunguzi?
 
Ninapenda kuchukua fursa hii kuwakumbusha wabunge kuwa zama za kutaka kujikweza na kuitwa "WAHESHIMIWA" wakati wanafanya mambo ya kipumbavu mbele ya macho ya wananchi wa Tanzania zimepitwa na wakati.

Ninaandika makala hii ili Watanzania wenzangu na hata baadhi ya wabunge mtakaoipata makala hii "muifoward" hadi iwafikie walengwa. Sioni haya kusema bunge la 11 lina wabunge wa aina mbili, yaani wabunge wenye busara na Wabunge "Malofa na wapumbavu" na wasio na busara. Hii inatokana na sababu zifuatazo:-

Utamaduni uliojengeka wa kusimama na kuzomea, kupiga mayowe unadhalilisha hadhi ya bunge na hata kama unaofanywa Nchi nyingine sio wa kuigwa maana hauna tija kwa jamii. Juzi katika mchakato wa kupata Naibu Spika tulishuhudia wabunge wakisimama na kupiga mayowe, Kubweka na kubwabwaja Ovyo kuzuia usikivu na utulivu. Hali hiyo ilizuia usikivu na kutunyima uhondo wa kusikia majibu ya maswali mazito toka kwa Mh. Silinde kwenda kwa Dr. Tulia.

Lakini pia wakati ndg Nape Nnauye ana uliza swali kwa mgombea u Spika wa UKAWA ndg. Ole Medeye wabunge wengine bila sababu walianza kupayuka kama walevi na kubwatuka Ovyo kuzuia Ole Medeye asijibu maswali. Hizo ni tabia za kihuni, Kipuuzi na kijinga.

Jambo lilioonyesha kiwango cha juu cha upumbavu wa baadhi ya wabunge ni baada ya Jana kutoka Bungeni tena kwa kufanya fujo. Ninasema ni upumbavu bila kuona haya ili mjue kuwa hatuna sababu ya kuheshumu na kufumbia macho tabia za kihuni kama zile.

Ni wazi kuwa wananchi tumewachagua ili mtuwakilishe na kutetea maslahi Yetu na wala sio kuleta ushabiki wa vyama vyenu.Pia mkumbuke kuwa hatukuwachagua kwa kuwa nyinyi mpo peke yenu katika jamii.

Wananchi tusimame kidete kukemea mambo mawili. La kwanza tukemee utovu wa nidhamu wa kuzomea Ovyo na utaratibu mbovu wa "Ndiyo Mzee"...

Kwa Leo naishia hapa.

Mbunge wangu nimempa kura yangu akapambanie haki ya kila raiya bila kujali atatumia style gani.
Hivi kwani kuna aliyemchagua rais kwa ajili ya kusigina haki ya wapiga kura wa Zanzibar kwa kushiriki kufuta matokeo ya mshindi simply kwababu aliyeshinda ni mpinzani?
 
Nashauri utaratibu wa kuwalipa posho ubadilishwe, walipwe baada ya shughuli za bunge za siku husika kuisha.Hii itasaidia anayefanya fujo wakati bunge linaendelea atimuliwe ndani na asipewe posho.Badala ya utaratibu wa sasa wanatia posho mfukoni then wanaanza vurugu!
 
km wazanzibar wangeamua kufanya km wabara wa jana mle bungeni cdhan km salama ingekuwepo wenze2 walionja 2005hawatak
 
km wazanzibar wangeamua kufanya km wabara wa jana mle bungeni cdhan km salama ingekuwepo wenze2 walionja 2005hawatak
 
Nashauri utaratibu wa kuwalipa posho ubadilishwe, walipwe baada ya shughuli za bunge za siku husika kuisha.Hii itasaidia anayefanya fujo wakati bunge linaendelea atimuliwe ndani na asipewe posho.Badala ya utaratibu wa sasa wanatia posho mfukoni then wanaanza vurugu!

Katika sheria ambayo wabunge wa ccm hawaitaki ni hii, na usijaribu hata kuigusia, watu wemeingia humo bungeni kwa rushwa hivyo huko bungeni ndio mahali pa kurudishia chao. Fahamu wabunge wengi haswa wa ccm ni watoro bungeni balaa ili waende kupiga deal zao. Sasa sijui kama unajua madhara ya mapendekezo yako. Hili ni pamoja na yale anayoyataka kuyafanya Magufuli kwa zaidi ya asilimia 95 atakuwa anawaumiza wanaccm wenzake na wafanya biashara wanaokibeba chama kwani wengi ndio wakwepa kodi na wasiofuata utaratibu, kama huamini nakupa miaka miwili uone hicho kilio kitatoka upande gani. Mfano mrahisi ni hii bomoa bomoa inayoendelea Dar, wahanga wakubwa ni makada wa ccm.
 
Kweli kunya anye kuku...
Mbona kama waCCM walipiga kelele pia Tulia alipoulizwa swali??
 
Wabunge toka vyama tofauti na fisiem wanahaki kufanya waliyofanya.........fisiem wanabaka demokrasia nje nje.

Ukiona uovu unatendeka na anayetenda huo uovu anajilinda kwa kutumia wingi wawabunge basi hapa jambo muhimu ni kufanya walivyofanya Ukawa. Tunaonyesha "CHUKI" kwa mambo ya hovyo na ubabe wa kijinga sana wa fisiem.
 
Ninapenda kuchukua fursa hii kuwakumbusha wabunge kuwa zama za kutaka kujikweza na kuitwa "WAHESHIMIWA" wakati wanafanya mambo ya kipumbavu mbele ya macho ya wananchi wa Tanzania zimepitwa na wakati.

Ninaandika makala hii ili Watanzania wenzangu na hata baadhi ya wabunge mtakaoipata makala hii "muifoward" hadi iwafikie walengwa. Sioni haya kusema bunge la 11 lina wabunge wa aina mbili, yaani wabunge wenye busara na Wabunge "Malofa na wapumbavu" na wasio na busara. Hii inatokana na sababu zifuatazo:-

Utamaduni uliojengeka wa kusimama na kuzomea, kupiga mayowe unadhalilisha hadhi ya bunge na hata kama unaofanywa Nchi nyingine sio wa kuigwa maana hauna tija kwa jamii. Juzi katika mchakato wa kupata Naibu Spika tulishuhudia wabunge wakisimama na kupiga mayowe, Kubweka na kubwabwaja Ovyo kuzuia usikivu na utulivu. Hali hiyo ilizuia usikivu na kutunyima uhondo wa kusikia majibu ya maswali mazito toka kwa Mh. Silinde kwenda kwa Dr. Tulia.

Lakini pia wakati ndg Nape Nnauye ana uliza swali kwa mgombea u Spika wa UKAWA ndg. Ole Medeye wabunge wengine bila sababu walianza kupayuka kama walevi na kubwatuka Ovyo kuzuia Ole Medeye asijibu maswali. Hizo ni tabia za kihuni, Kipuuzi na kijinga.

Jambo lilioonyesha kiwango cha juu cha upumbavu wa baadhi ya wabunge ni baada ya Jana kutoka Bungeni tena kwa kufanya fujo. Ninasema ni upumbavu bila kuona haya ili mjue kuwa hatuna sababu ya kuheshumu na kufumbia macho tabia za kihuni kama zile.

Ni wazi kuwa wananchi tumewachagua ili mtuwakilishe na kutetea maslahi Yetu na wala sio kuleta ushabiki wa vyama vyenu.Pia mkumbuke kuwa hatukuwachagua kwa kuwa nyinyi mpo peke yenu katika jamii.

Wananchi tusimame kidete kukemea mambo mawili. La kwanza tukemee utovu wa nidhamu wa kuzomea Ovyo na utaratibu mbovu wa "Ndiyo Mzee"...

Kwa Leo naishia hapa.


Andiko lako ni zuri ila ulichokosea ni kutosema chochote juu ya sababu au kilichofanya huo uhuni, upumbavu na ulofa uliofanywa na wabunge wa UKAWA kwa siku hizi mbilivza bunge la 11. Siku nyingine nakushauri ukitaka kutoa uchambuzi wenye weledi basi angalia sana sababu ya yaliyotokea badala ya kuongelea matokeo yake tu.
Pia naomba uniambie ukweli, hivi bila wabunge wa upinzani tungekuwa na Tanzania yenye sura gani hadi leo hii tanguvawamu ya tatu?
 
Back
Top Bottom