Kuna viumbe wadogo ila tunafanana nao

Kuna viumbe wadogo ila tunafanana nao

Mkuu karanga ni yakawaida ila hicho kiumbe ndo mdogo, chukua karanga fanya kama unaisimamisha thn ule upande mmoja wenye ile karanga yenye ndio ukubwa wa huyo kiumbe yaani ni kama nyuki hivi.
Duh!hii ni kali ya mwaka!ni vigumu sana ka mtu wa kawaida kuamini jambo hili!
 
mi ni mbishi wa asili.

akili yangu imenituma kusema kuwa mtu huyu ana umbo lenye ukubwa kama wetu ila karanga hizi ndo kubwa kupita kiasi.hivyo mkuu utafiti itabidi title ibadilike na izungumzie ukubwa wa karanga na sio mtu.

sababu ya kutoa jibu hilo ni kutokana na ukweli kuwa mtu wa ukubwa huo ni kama sisimizi hivyo kubeba mzigo wote huo kwa kula tu haiwezekani maana hawezi kuzimaliza vile vile ubebaji hauwezi maana karanga ni kubwa mno.vile vile zana iliyoshikwa iwapo ni chuma basi karanga ya ndani pia ingedhurika.iwapo sio chuma...labda
Nakubaliana na wewe mkuu!
 
Mkuu ulishawahi kuona karanga kubwa kuliko binadamu?

Kwa karanga naweza kukubali kuwa iwapo watu wataamua tunaweza kuziona sokoni.ni rahisi ku alter originality ya karanga kuliko human being.yapo machungwa yakubadi nadhani yanapatikana through budding process.kimofolojia yana shape kubwa kuliko normal ones.science can be applied to produce such kind of thing(nimesema can be applied sio imeshakuwa applied)

BTW yote ni dhahania zilizotengenezwa kutokana na hadithi tu hakuna mtu mfupi hivyo
 
natumaini hata adamu na eve wakifufuka sasa hivi watatufananisha na sisimizi maana wao walikuwa watu wa miraba minne.
 
Back
Top Bottom