Kuna siri gani katika viumbe kama nyoka na mijusi wakitaka kujitibia na ukiweza kugundua si rahisi kukuacha salama

Kuna siri gani katika viumbe kama nyoka na mijusi wakitaka kujitibia na ukiweza kugundua si rahisi kukuacha salama

Fbn

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
15,040
Reaction score
35,906
download.png

sio wageni na logo hii kwenye huduma za hospital.Ila kuna sehemu nimegusiwa hawa viumbe kwa ujumla jamii ya reptile zote wana siri kubwa ya dawa ambazo kama tukiwagundua basi leo tunaweza kukichezea kifo mfano ukaweza kuota kiungo kama kimekatika,ukapona hata kama umekufa.Kuna sehemu nyingi sitaweza kutaja na inasadikiwa wapo wamejivisha ubinadamu.

Lile neno kwenye vitabu kizazi cha nyoka kilikuwa kinaeleza kizazi cha maarifa na ujuzi
 
View attachment 3601924
sio wageni na logo hii kwenye huduma za hospital.Ila kuna sehemu nimegusiwa hawa viumbe kwa ujumla jamii ya reptile zote wana siri kubwa ya dawa ambazo kama tukiwagundua basi leo tunaweza kukichezea kifo mfano ukaweza kuota kiungo kama kimekatika,ukapona hata kama umekufa.Kuna sehemu nyingi sitaweza kutaja na inasadikiwa wapo wamejivisha ubinadamu.

Lile neno kwenye vitabu kizazi cha nyoka kilikuwa kinaeleza kizazi cha maarifa na ujuzi
Siri kubwa iliyofichika kuhusu nyoka au mijusi wanapojitibia inatokana na dhana za kale za kijadi na kiimani (mythology), ambazo hazina thibitisho wa kisayansi. Kulingana na masimulizi ya kale ya jamii nyingi za Kiafrika, inaaminika kuwa wanyama hawa wana ufahamu wa siri wa mimea adimu ya tiba ambayo huitumia wanapougua au kujeruhiwa. Imani hiyo inadai kuwa ukimfuma kiumbe huyo akijitibia, anaweza kukudhuru ili kulinda siri hiyo ya asili.
 
Huyu jamaa bila shaka anasali kwa Mwamposa,anaonekana anapenda sana miujiza😀😀😀😀😀
Mimi ni mpenda kutoa roho za watu.Maisha niliyopo .Kuna kikundi cha siri mnasimuliwa sio vya serikali ila ni vya hapo ulipo kesho jina lako baada kupewa PHD urusi una itwa RIP
 
Back
Top Bottom