Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,618
- 27,596
Kwani hakuna vimashine vya kutoa hizo takataka hapo aaarghhhhh ,nae kavua kabisa shati jamanii8








Basi kuna watu wanapenda vitu vya ajabu aiseeMbona mi ninazo na Wanawake wanapenda kuzichezea tukilala
Yaan jamani bora hata yangekuwa malaini au yakawa machache mi yananitia kinyaaChimpanzee au zinjathroupas
Aisee hukumpiga hata ka picha hiviiSiku moja nilikuwa naelekea Makumbusho nikitokeaTegeta,njiani nakumbuka alipanda Tozi mmoja mpaka abiria wote walishangaa...jamaa alikuwa amevaa T-shirt kama ya Ali Kiba ( itazame picha aliypiga Ali Kiba,Kikwete na Ommy Dmpoz) halafu hapo katkati ya kifua ( the part of a chest that was uncovered) palikuwa pamejaa unywele hatar tupu...halafu jamaa hana hata wasiwasi na amezkuza kwa dawa ni ndefu na nyeusi hatar!


naona ulishangaa haswaaKwaiyo wewe huyapendi?Yaan jamani bora hata yangekuwa malaini au yakawa machache mi yananitia kinyaa
Siyapendi ndioKwaiyo wewe huyapendi?
Ndiotakataka?
sasa hapo unakwangua patageuka kama kidevuniNdio
Hata miti hupunguzwa majani
Yaan vinyweleo mpaka tumboni jamanisasa hapo unakwangua patageuka kama kidevuni





Mapenzi uchafu. Ukiona uchafu popote ulipo umeyaona mapenziKwani hakuna vimashine vya kutoa hizo takataka hapo aaarghhhhh ,nae kavua kabisa shati jamanii8View attachment 745054
Zimeunganika hadi kwapaniHahahahahhaa looh nimejiuliza tuu chemchem ya hizo nywele imeanzia chini au kidevuni looh
Maana ziko kama ukanda hehehehehehe hatareee.



anaudhiiWe unayapendaa aiseeSipendi hayo madude jamani!!