RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 57,884
- 129,919
Material things ni vya kupita tuMuachie tu ndio uanaume huo! Mie wacha niandikie watoto wangu tu
Material things ni vya kupita tuMuachie tu ndio uanaume huo! Mie wacha niandikie watoto wangu tu
KweliMaterial things ni vya kupita tu
nimempenda hapaNB: Sijasema muwape hati
Asalaaale!Bora umpe majumba na magari + viwanaja.. WAKUU ukimkabidhi MOYO umekwisha
wengine hawako hivyo kila mwanadamu alivyoumbwa kitofautiSi unampenda mkeo mzee baba
Hamna ili na yeye ajione ni mmiliki wa mali zenuAkadundwe mbele huko![]()




Hamna ili na yeye ajione ni mmiliki wa mali zenu
Ila Kama hauna uaminifu nae
Ndio faida ya kutokuwa mwaminifuAkikuzunguruka akauze kupitia hizo hati fake..ataozea jela
Male chauvinist p**Ndio hivyo sasa CCM 'wamekabizi' kila kitu kwa mwanamke tena mzee. Watanzania tuchunguzwe yawezekana sisi ndio aliens
Hahahahaaaaaaaaaaaa!!!Mpe hati fake
Abeeh insta babeInsta babe!😛😛