Kuna uwezekano watanzania hatujui maana ya ubunifu

Artifact Collector

JF-Expert Member
Mar 7, 2019
6,539
10,006
Nimetoka kuangalia EATV kipindi cha ubunifu lakin nimeshtushwa watu wanatengeneza Internet of things applications wanaita ubunifu serious.

Internet of things (IoT) applications kama smart home, smart farming, smart factory, smart city n.k sio ubunifu wa kupita kifua mbele. Lazima vijana tuwe update na current technology ili tujue upi ni ubunifu na upi sio.

Ubunifu lazima utatue tatizo Fulani ambalo jamii imeshindwa, na uendane na wakati, mfano huwez tengeneza helikopta ya mabati au baiskeli ya miti ukasema ni ubunifu

Kwa sababu unaweza sema umebuni kitu leo, kumbe yuko mtu ameshatengeneza kitu kama hicho miaka 20 au 30 iliyopita.

Na kinachofanyika Tanzania kwa asilimia kubwa ni technology adoption (upgraded) na sio ubunifu
 
Na ukiongea unapigwa swali wewe Cha kwako kipo wapi?

Tunapenda kusifiana ujinga Nchi hii.

Hizo modular hardware zipo nyingi Sana, na unaangalia tutorial ya masaa machache YouTube unatengeneza vitu kibao. Ni copy and paste kwenda mbele.
Na kuna MTU alitengeneza helicopter ya mabati alisifiwa karibia nchi nzima, lakin nililo jiulizaga hivi wazungu hii stage ya kutengeneza helicopter ya mabati waliipita lini, sababu vita vya kwanza vya dunia tayari wanatumia helicopter

Tokea hapo nikajua watanzania hatujui maana ya ubunifu nin, na hii inatoka kwamba hatuko aware na current na past state of technology
 
Wenzetu wanandunguliana drone huko sisi tunacopy App..

Daaahhh, kazi ipo...
 
MIMI nona ndo maana serikali huwa inawapuza tu au kama wakimsifia ujue tu basi ni ile kumpa moyo kwa sababu maybe watu wamemsifia sifia serikali nayo inasema ionekane inatoa mchango kwa wabunifu ila nazani huwa wanajua kabisa kwamba huyu jamaaa kafanya utoto sema mwananchi wetu hatuna lakufanya
 
kuna jamaa nilimuona eatv katengeneza taa ya kuchaji wakaita ubunifu
Nimetoka kuangalia EATV kipindi cha ubunifu lakin nimeshtushwa watu wanatengeneza Internet of things applications wanaita ubunifu serious.

Internet of things (IoT) applications kama smart home, smart farming, smart factory, smart city n.k sio ubunifu wa kupita kifua mbele. Lazima vijana tuwe update na current technology ili tujue upi ni ubunifu na upi sio.

Ubunifu lazima utatue tatizo Fulani ambalo jamii imeshindwa, na uendane na wakati, mfano huwez tengeneza helikopta ya mabati au baiskeli ya miti ukasema ni ubunifu

Kwa sababu unaweza sema umebuni kitu leo, kumbe yuko mtu ameshatengeneza kitu kama hicho miaka 20 au 30 iliyopita.

Na kinachofanyika Tanzania kwa asilimia kubwa ni technology adoption (upgraded) na sio ubunifu
 
Mleta mada tupe ubunifu wako uliobuni ambao umesaidia jamii kuliko huyo aliyebuni helkopta ya mabati
 
Nimetoka kuangalia EATV kipindi cha ubunifu lakin nimeshtushwa watu wanatengeneza Internet of things applications wanaita ubunifu serious.

Internet of things (IoT) applications kama smart home, smart farming, smart factory, smart city n.k sio ubunifu wa kupita kifua mbele. Lazima vijana tuwe update na current technology ili tujue upi ni ubunifu na upi sio.

Ubunifu lazima utatue tatizo Fulani ambalo jamii imeshindwa, na uendane na wakati, mfano huwez tengeneza helikopta ya mabati au baiskeli ya miti ukasema ni ubunifu

Kwa sababu unaweza sema umebuni kitu leo, kumbe yuko mtu ameshatengeneza kitu kama hicho miaka 20 au 30 iliyopita.

Na kinachofanyika Tanzania kwa asilimia kubwa ni technology adoption (upgraded) na sio ubunifu
Mkuu naona unaongelea creativity lkn kwa kusoma bandiko lako naona hata haujui creativity ni nini.

Creativity ni pale mtu anapotumia resources zilizopo(au zilizotengenezwa) na kuzifanyia some intelligent tweaks ili zifanye kazi nyingine. Resouces zinaweza kuwa kama hizo modular hardware mnazoongelea like arduinos / raspberry pi's etc....

Mfano dogo leo akitengeneza gari kwa arduino from scratch bila kufanya copying amd pasting hio inakua ni creativity yake hata kama kuna watu wameshatengeneza vitu kama hivo before au anasoma tutorial thn anaongeza na utundu wake hio nayo inakua ni creativity.

Mbona nakamoto ametumia blockchain ambayo idea yake ilikuwepo tangu 70's lkn dunia inaatambua bitcoin kama creativity yake/yao nakamoto. Ni kwa sababu tu ametumia available resources.

Sema naona pia unashindwa kutofautisha kati ya marketable creativity na normal creativity ndo maana unakalia kuponda helicopter za mabati na magari ya mbao
 
Mkuu naona unaongelea creativity lkn kwa kusoma bandiko lako naona hata haujui creativity ni nini.

Creativity ni pale mtu anapotumia resources zilizopo(au zilizotengenezwa) na kuzifanyia some intelligent tweaks ili zifanye kazi nyingine. Resouces zinaweza kuwa kama hizo modular hardware mnazoongelea like arduinos / raspberry pi's etc....

Mfano dogo leo akitengeneza gari kwa arduino from scratch bila kufanya copying amd pasting hio inakua ni creativity yake hata kama kuna watu wameshatengeneza vitu kama hivo before au anasoma tutorial thn anaongeza na utundu wake hio nayo inakua ni creativity.

Mbona nakamoto ametumia blockchain ambayo idea yake ilikuwepo tangu 70's lkn dunia inaatambua bitcoin kama creativity yake/yao nakamoto. Ni kwa sababu tu ametumia available resources.

Sema naona pia unashindwa kutofautisha kati ya marketable creativity na normal creativity ndo maana unakalia kuponda helicopter za mabati na magari ya mbao
Mimi nilivyomuelewa anaongelea Innovation na sio creativity. Ngoja aje kudadavua zaidi
 
Mimi nilivyomuelewa anaongelea Innovation na sio creativity. Ngoja aje kudadavua zaidi
Chief mtoa mada katumia neno "ubunifu" ambalo kwa kiingereza ndio "creativity" labda angesema "Ugunduzi" au "Uvumbuzi" ambao ndio innovation kwa kimombo.

Kama anamaanisha uvumbuzi ("innovation") basi yuko sawa lakini itabidi afanye editing kwenye bandiko lake
 
Back
Top Bottom