john johns
Senior Member
- Feb 13, 2014
- 113
- 64
Toka niko mdogo na sasa nimekuwa nilikuwa naambiwa eti inawezekana mwanamke akang'ofolewa kizazi endapo atasex na mwanaume mwenye uume mrefu.
Sasa nawaza kuwa huo uzazi unaosemewa hapo ni uterus? na kama ndio inawezekanaje ikang'ofolewa kwa penis. ama inakuaje? nisaidie mnaofahamu
Post sent using JamiiForums mobile app
Sasa nawaza kuwa huo uzazi unaosemewa hapo ni uterus? na kama ndio inawezekanaje ikang'ofolewa kwa penis. ama inakuaje? nisaidie mnaofahamu
Post sent using JamiiForums mobile app