Kuna uwezekano wa mtu kuchukua pesa NSSF kabla ya kuacha kazi?

Habari wakuu, ninauliza naomba nijue, ninahitaji pesa nichukue NSSF za akiba yangu na kazi bado ninaendelea Je, inawezekana? Kazi ni private sector.
Ndio unaweza kuchukua japo inategemea aina ya kitita cha mafao unachohitaji mfano mafao ya uzazi
ila kama utahitaji kupata pesa yako ya NSSF kupitia fao la kukosa ajira basi itabdi mwajiri wako akupe barua ya ukomo wa ajira au kukuachisha kazi ili uweze kuanza hatua za kufuatilia mafao yako huku akiwa anakulipa mshahara au allowance bila ya makato yoyote ya serikali(Japo kidogo kuna kausumbufu hapa)
 
Ndio unaweza kuchukua japo inategemea aina ya kitita cha mafao unachohitaji mfano mafao ya uzazi
ila kama utahitaji kupata pesa yako ya NSSF kupitia fao la kukosa ajira basi itabdi mwajiri wako akupe barua ya ukomo wa ajira au kukuachisha kazi ili uweze kuanza hatua za kufuatilia mafao yako huku akiwa anakulipa mshahara au allowance bila ya makato yoyote ya serikali(Japo kidogo kuna kausumbufu hapa)

Na je kama hutaki kuacha kazi je? Mwajiri hawezi kukupa barua unachukua pesa yako na ukaendelea na kazi hiyo hiyo?
 
Na je kama hutaki kuacha kazi je? Mwajiri hawezi kukupa barua unachukua pesa yako na ukaendelea na kazi hiyo hiyo?
Prosperity96 said:
Ndio unaweza kuchukua japo inategemea aina ya kitita cha mafao unachohitaji mfano mafao ya uzazi
ila kama utahitaji kupata pesa yako ya NSSF kupitia fao la kukosa ajira basi itabdi mwajiri wako akupe barua ya ukomo wa ajira au kukuachisha kazi ili uweze kuanza hatua za kufuatilia mafao yako huku akiwa anakulipa mshahara au allowance bila ya makato yoyote ya serikali(Japo kidogo kuna kausumbufu hapa)
JAPO INATEGEMEA sasa na utashi wa mwajiri wako kukusaidia katika hilo,maana akikaa vibaya anaweza kupata kesi ya Fraud hapo
 
Prosperity96 said:
Ndio unaweza kuchukua japo inategemea aina ya kitita cha mafao unachohitaji mfano mafao ya uzazi
ila kama utahitaji kupata pesa yako ya NSSF kupitia fao la kukosa ajira basi itabdi mwajiri wako akupe barua ya ukomo wa ajira au kukuachisha kazi ili uweze kuanza hatua za kufuatilia mafao yako huku akiwa anakulipa mshahara au allowance bila ya makato yoyote ya serikali(Japo kidogo kuna kausumbufu hapa)
JAPO INATEGEMEA sasa na utajiri wa mwajiri wako kukusaidia katika hilo,maana akikaa vibaya anweza kupata kesi ya Fraud hapo
Ngumu labda ofisi iwe ya baba yako.

Ukiongea na mwajiri akupe barua ya kuacha kazi au kusimamisha mkataba utaenda nssf kufuatilia Fao la kukosa kazi.

Changamoto kazini utakuwa unaendelea Ina maana mwajiri inabidi wakutos kwenye payroll uwe temporary au part-time job .
Je mwajiri wako atakubali hii
 
Kwa uzoefu nilionao wa kufanya kazi private kwa mikataba...
Pesa ya mafao unayoweza kuchukua NSSF ni
1. Fao la uzazi
2. Fao la kukosa ajira/kusitishwa ajira
Ila hii ni kwa wale ambao wana elimu ya certificate sina uhakika sana kwa diploma ila kwa ngazi ya degree na kuendelea inasumbua sana
Kwanza utapewa asilimia kadhaaa kama sikosei ni 36% ya mshahara uliokuwa unalipwa, utapewa hiyo pesa kwa miez sita baada ya hapo majibu yao ni subir upate ajira ili pesa uje uchukue uzeeni..

Kulikuwa na ujanja flan wa kutoa pesa kwa watu wa elimu ya juu, ila sasa naona kama huo ujanja umeshtukiwa na pesa hazitoki tenaaaaa

Sasa kama bado upo kazin aisee endelea kupambana ndugu mtoa mada
 
Kwa uzoefu nilionao wa kufanya kazi private kwa mikataba...
Pesa ya mafao unayoweza kuchukua NSSF ni
1. Fao la uzazi
2. Fao la kukosa ajira/kusitishwa ajira
Ila hii ni kwa wale ambao wana elimu ya certificate sina uhakika sana kwa diploma ila kwa ngazi ya degree na kuendelea inasumbua sana
Kwanza utapewa asilimia kadhaaa kama sikosei ni 36% ya mshahara uliokuwa unalipwa, utapewa hiyo pesa kwa miez sita baada ya hapo majibu yao ni subir upate ajira ili pesa uje uchukue uzeeni..

Kulikuwa na ujanja flan wa kutoa pesa kwa watu wa elimu ya juu, ila sasa naona kama huo ujanja umeshtukiwa na pesa hazitoki tenaaaaa

Sasa kama bado upo kazin aisee endelea kupambana ndugu mtoa mada

 
Kwa uzoefu nilionao wa kufanya kazi private kwa mikataba...
Pesa ya mafao unayoweza kuchukua NSSF ni
1. Fao la uzazi
2. Fao la kukosa ajira/kusitishwa ajira
Ila hii ni kwa wale ambao wana elimu ya certificate sina uhakika sana kwa diploma ila kwa ngazi ya degree na kuendelea inasumbua sana
Kwanza utapewa asilimia kadhaaa kama sikosei ni 36% ya mshahara uliokuwa unalipwa, utapewa hiyo pesa kwa miez sita baada ya hapo majibu yao ni subir upate ajira ili pesa uje uchukue uzeeni..

Kulikuwa na ujanja flan wa kutoa pesa kwa watu wa elimu ya juu, ila sasa naona kama huo ujanja umeshtukiwa na pesa hazitoki tenaaaaa

Sasa kama bado upo kazin aisee endelea kupambana ndugu mtoa mada
Inauma Sana
 
Na je kama hutaki kuacha kazi je? Mwajiri hawezi kukupa barua unachukua pesa yako na ukaendelea na kazi hiyo hiyo?
Hii itakupotezea ajira, ni crime! Watu wwnacheza Sana hizi, deals, lakini ikibumburuka, umeumia
 
Kuna jamaa Yang mmoj anafany kazi kiwand Ch Mafuta ya Kula alinipigia cmu Sik moja ananiambia kuna nafac Kam 10 ivi za kusimamia vibarua maan hao wenye izo nafac walitoa mpunga wao NSSF inshu ikafik ofisin ikabid wasimamishwe so kanichek niende kiwandan kwao nikakutane na Jamaa mmoj alitupelek mpak kw Manager kabis alichukua CV zetu tukiw watu Kam 7 tukajua tushaua tayar . Ila mwsh WA siku inshu ya ajira tulizungukw na wajanja wakauza nafac izo sisi tuloend Io siku hatujapat ata mmoja. So nakuashauri mtoa mada Ukiiba ela ya NSSF bila ofisi kujua ITAKURAMBA.
 
Back
Top Bottom