Kuna ushahidi wowote wa faith healing

Kuna ushahidi wowote wa faith healing

Kuna kutafta maarifa ya kidunia na technology lakini maandiko yasema technology yangu Mungu ni kuu sana imeshinda yote. Mie mwenyewe niliumwa na vipimo vya binadamu havikuonyesha kitu nakilichokuwa chanisumbua ni extra thing ya kiroho so mkuu hii dunia yetu ni zaidi ya mambo ya akili za kibinadamu kabisa.
Kama vipimo vya binadamu havikuonyesha, je hivyo vipimo visivyo vya binadamu vilionyesha nin??... ni magonjwa ya aina gani ambayo yanapona kwa maombi???.. mtu anaweza akapona kipindu pindu, malaria , kansa , ukimwi, kaswende etc kwa maombi??? Yale magonjwa ambayo ni official kwamba vipimo vimeona una maradhi yanayojulikana.. je maombi yanaweza kutibu pekee??
 
Ni real ila tatizo la sasa ni kwamba sisi waombaji tumejaa dhambi. Tumekaa kibiashara zaidi
 
Kama vipimo vya binadamu havikuonyesha, je hivyo vipimo visivyo vya binadamu vilionyesha nin??... ni magonjwa ya aina gani ambayo yanapona kwa maombi???.. mtu anaweza akapona kipindu pindu, malaria , kansa , ukimwi, kaswende etc kwa maombi??? Yale magonjwa ambayo ni official kwamba vipimo vimeona una maradhi yanayojulikana.. je maombi yanaweza kutibu pekee??
Mkuu mimi nilipona ugonjwa unaitwa gangrene. Jaribu ku google huu ugonjwa utapata taarifa ya kutosha. Ukikamata pumbu kwa ujumla katika ys miguu ilikuwa ni shida. Na nilijiombea mwenyewe kwa Jina la Yesu,wala sifunga,yaani kukaa bila kula ili kukazia maombi. Ningependa uulize swali jingine kama maelezo hayatoshelezi
 
Mkuu mimi nilipona ugonjwa unaitwa gangrene. Jaribu ku google huu ugonjwa utapata taarifa ya kutosha. Ukikamata pumbu kwa ujumla katika ys miguu ilikuwa ni shida. Na nilijiombea mwenyewe kwa Jina la Yesu,wala sifunga,yaani kukaa bila kula ili kukazia maombi. Ningependa uulize swali jingine kama maelezo hayatoshelezi
Ulijiombea mwenyewe ukiwa wapi???
 
Ulijiombea mwenyewe ukiwa wapi???
Asante kwa swali. Mimi nilikuwa nakaa Oysterbay jirani na ubalozi wa zamani wa USA. Baba alipewa nyumba ya serkali. Hivyo niliomba chumbani kwangu mida kama ya saa nne,nikiwa peke yangu. Naomba swali kama bado
 
Asante kwa swali. Mimi nilikuwa nakaa Oysterbay jirani na ubalozi wa zamani wa USA. Baba alipewa nyumba ya serkali. Hivyo niliomba chumbani kwangu mida kama ya saa nne,nikiwa peke yangu. Naomba swali kama bado
Ubarikiwe na bwana.
 
Kwa mimi ambaye nilijiombea mwenyewe nikapona ugonjwa hatari kama ule inanishangaza sana kuona watuwanafuata uponyaji Nigeria, au kwa Bushiri, najua nitawauzi wengi sana hapa, ingawa hili halihusiani na uzi na sitajibu comment zozote,huu ni mtizamo wangu. Wote mnaohangaika na TB Joshua,Bushiri,Angel n.k. poleni sana,na Mungu awasaidie.
 
Kwa mimi ambaye nilijiombea mwenyewe nikapona ugonjwa hatari kama ule inanishangaza sana kuona watuwanafuata uponyaji Nigeria, au kwa Bushiri, najua nitawauzi wengi sana hapa, ingawa hili halihusiani na uzi na sitajibu comment zozote,huu ni mtizamo wangu. Wote mnaohangaika na TB Joshua,Bushiri,Angel n.k. poleni sana,na Mungu awasaidie.
Kwani unawalipia nauli ?
Mbona hushangai watu kuamua kwenda kutibiwa nje ya nchi ugonjwa ambao Hospitali zetu zinauwezo wa kuutibia.
Hata hapa nchini kuna watu wanafanya maombezi kwa mtumishi wanaye mtaka wao awaombee.
Wengine wanaenda kwa Gwajima, wengine kwa Lusekelo wegine kwa Kakobe nk.
Acha tabia ya kutaja watu majina.
Kila mtu ana mtumishi wake aliyemchagua katika swala la maombezi.
Wewe endelea kuwaombea watu wako na mwingine naye anaombea watu wake.
Tabia ya mimi ni wa Apolo na wewe ni wa Paulo imekemewa ktk maandiko.
Wote mnajenga nyumba moja na Kristo Yesu anabaki kuwa kiongozi wenu.
Acha Lugha za Kebehi kwa Watumishi wa Mungu.
Mtakatifu ni Mungu peke yake.
 
Faith healing is a spiritual matter and can therefore only be appreciated by spiritual beings,people who have true faith in Jesus Christ or born again Christians.If you are not a born again Christian, this is above your mental faculties, you cannot appreciate it or understand it.Canal minds cannot understand the things of God,because to them it is foolishnesses.
Absolutely. It's he/she who is not born again won't agree with healing by faith. On my side Jesus healed me following believeing in him.
 
Namshukuru aliyeleta uzi huu Mungu ambariki sana. Watu wako njia panda wanajua Yesu anaponya,ila hawajui wafanye nini. Watu wanapiga hela kwa jina la Yesu. Watu wana maradhi terminal cases za luekemia,hiv,diabetes,skin & colon ,pelvic cancers n.k wanataka kujua huyu anaeponya yupo. Lazima tujitofautishe ama sivyo watu watatuweka wote kwenye kapu moja.

Je umebanwa? Unaona giza mbele?hakuna msaada? Watu wanakutia moyo kiujanja ujanja huku wanasubiri ufe? Calm down.

Kabla hujaendelea kusoma chini rudi uzi #21 kuna bro amepangilia vizuri hii habari ya uponyaji inakujaje.

Ingia ndani ya moyo wako jisalimishe kwa Yesu kwa sala ya Toba,taratibu. Kuna uzi nyuma hapo una maandiko mazuri sana kuhusu uponyaji,ni vizuri kuupitia
Ukisha omba sala ya toba amini kwamba Mungu kwa Jina la Yesu amekusamehe. Usipoamini hilo utapata tatizo,shetani atakuyumbisha. Pia watu wengine wamepitia maisha ya kutisha hawaamini Mungu anasamehe kwa jinsi hiyo tu. Mungu anajua kama umezichukia dhambi au unataka upone urudi kule kule. Kifupi Amini kwamba umesamehewa. Baada ya hapo omba Bwana Yesu awe kiongozi wa maisha yako. Kwani katka mwili bado tamaa na mashindano ya mwili yapo na kero nyingine kwa nafsi yako huwezi.Ukiwa una omba amini Mungu anasikia hoja zako,huhitaji kulia na kulalama. Halafu omba Mungu akuponye shida yako. Ukiomba amini Mungu amesikia na uamini pia labda Marko 11:24 itakusaidia namaanisha nini. Baada ya hapo kaa katika imani Mungu anashulikia hilo tatizo. Na pia usianze kuwaza dr kasema hivi oh sijui mbona nieomba sijasikia kitu. Tafadhali usimpangie Mungu utapona vipi na kuanzia wapi,yeye ana spea zote,si ndio Muumbaji. Wengine wanapona ghafla wengine polepole. Cha msingi dhambi ikiwa ni pamoja na mawazo machafu yakatae. Kwa hali halisi utapata upinzani sana kimawazo na hii ni kawaid a kutokana na kukosa Mafundisho mpaka tunamwona shetani Mkubwa kuliko Mungu.

Nimeandika kwa watu waliokata tamaa. Wanaona mauti mbele na watu wanasubiri kugawana mali.

Ndg mpendwa haijalishi ugonjwa wa hospitali au majink au uchawi. Hapa tunafundishana na kutiana moyo. Labda nimalize kwa shuhuda ya tatizo lilonipata ambalo na amink lilikuwa ni nguvu za giza. Hivi visa vya watu kuanguka chooni kufa ghafla nilikuwa navisikia tu.

Ofisini siku moja nilikuwa nafanya kazi kwenye computer nikiwa na bosi wangu. Ilikuwa mida ya saa 10 hivi. Nilijisikia haja ndogo nikaenda choo cha nje cha shimo kama mita 20. Nilitegemea kupata choo hivyo nilisusha jeans langu, baada ya kutoa mkojo kidogo sana nikasimama nikapandisha jeans. Humo humo chooni nilivamiwa na kitu mwili mzima nikaona naishiwa nguvu na dalili za kufa nikaanza kuona giza,kupumua napata shida. Nilichanganyikiwa nikasema hii ndio stroke au,kumbe watu wanakufa hivi ? Nikiwa bado udhaifu unaendelea kunimaliza nguvu nikatoka njr ys choo. Hapo ndio nilishangaa nikaona dunia imebadilika muonekano wake, kuna watu nilikutana nao nje wakanisalimia na niliwatumbua lakini nilikuwa naangalia juu hivi niko wapi kwa hiyo siku mjibu mtu.Nilaamua kurudi kulekule chooni kuomba. Nikajua sasa nakufa ngoja nifanye maombi ya toba nisiangukia jehanum. Kwa hiyo niliacha kupanich nilitukiza moyo. Nikaanzs kuomba sala ya toba taratibu. Baada ya hapo nikaanza kukemea zile nguvu za giza. Nilijikuta naomba hivyo. Ghafla nikaona kibano kimeondoka na hali inakuwa shwari nikakemea tena na tena. Hsli ikawa shwari ingawa mtikisiko ulinidtua . Nikatoka chooni nikamkuta boss ananisubiri,sikumwambia lolote. Nikamaliza kazi nikapanda pikipiki yangu kubwa Yamaha toka ubungo maji mpaka Tabata Kimanga. Nimeandika haya ili wengine wasidhani hatukutani na vitu hivyo. Kwa mfano: Kama huna Yesu mganga/mchawi atatembea na mkeo nae anajua unamwogopa.
Mambo kama hayo

Tumepewa hazina ya ajabu. Wengine mleta uzi huu atafanikisha wao kupona,kutokana wachangiaji.
Mi nafunga ukurasa kwa leo poleni kwa kuwachosha

Jina la Bw. Libarikiwe
 
"Imani ni hakika ni bayana ya mambo yasiyoonekana"na imani chanzo chake ni kusikia,na kusikia huja kwa neno la kristo"kazi kwako kuamini au kutokuamini,lakini imani ni hakika
 
shukrani kwa wote mliochangia nimejifunza uponyaji ni suala la binafsi jinsi utakavomuendea . Mungu
 
Namshukuru aliyeleta uzi huu Mungu ambariki sana. Watu wako njia panda wanajua Yesu anaponya,ila hawajui wafanye nini. Watu wanapiga hela kwa jina la Yesu. Watu wana maradhi terminal cases za luekemia,hiv,diabetes,skin & colon ,pelvic cancers n.k wanataka kujua huyu anaeponya yupo. Lazima tujitofautishe ama sivyo watu watatuweka wote kwenye kapu moja.

Je umebanwa? Unaona giza mbele?hakuna msaada? Watu wanakutia moyo kiujanja ujanja huku wanasubiri ufe? Calm down.

Kabla hujaendelea kusoma chini rudi uzi #21 kuna bro amepangilia vizuri hii habari ya uponyaji inakujaje.

Ingia ndani ya moyo wako jisalimishe kwa Yesu kwa sala ya Toba,taratibu. Kuna uzi nyuma hapo una maandiko mazuri sana kuhusu uponyaji,ni vizuri kuupitia
Ukisha omba sala ya toba amini kwamba Mungu kwa Jina la Yesu amekusamehe. Usipoamini hilo utapata tatizo,shetani atakuyumbisha. Pia watu wengine wamepitia maisha ya kutisha hawaamini Mungu anasamehe kwa jinsi hiyo tu. Mungu anajua kama umezichukia dhambi au unataka upone urudi kule kule. Kifupi Amini kwamba umesamehewa. Baada ya hapo omba Bwana Yesu awe kiongozi wa maisha yako. Kwani katka mwili bado tamaa na mashindano ya mwili yapo na kero nyingine kwa nafsi yako huwezi.Ukiwa una omba amini Mungu anasikia hoja zako,huhitaji kulia na kulalama. Halafu omba Mungu akuponye shida yako. Ukiomba amini Mungu amesikia na uamini pia labda Marko 11:24 itakusaidia namaanisha nini. Baada ya hapo kaa katika imani Mungu anashulikia hilo tatizo. Na pia usianze kuwaza dr kasema hivi oh sijui mbona nieomba sijasikia kitu. Tafadhali usimpangie Mungu utapona vipi na kuanzia wapi,yeye ana spea zote,si ndio Muumbaji. Wengine wanapona ghafla wengine polepole. Cha msingi dhambi ikiwa ni pamoja na mawazo machafu yakatae. Kwa hali halisi utapata upinzani sana kimawazo na hii ni kawaid a kutokana na kukosa Mafundisho mpaka tunamwona shetani Mkubwa kuliko Mungu.

Nimeandika kwa watu waliokata tamaa. Wanaona mauti mbele na watu wanasubiri kugawana mali.

Ndg mpendwa haijalishi ugonjwa wa hospitali au majink au uchawi. Hapa tunafundishana na kutiana moyo. Labda nimalize kwa shuhuda ya tatizo lilonipata ambalo na amink lilikuwa ni nguvu za giza. Hivi visa vya watu kuanguka chooni kufa ghafla nilikuwa navisikia tu.

Ofisini siku moja nilikuwa nafanya kazi kwenye computer nikiwa na bosi wangu. Ilikuwa mida ya saa 10 hivi. Nilijisikia haja ndogo nikaenda choo cha nje cha shimo kama mita 20. Nilitegemea kupata choo hivyo nilisusha jeans langu, baada ya kutoa mkojo kidogo sana nikasimama nikapandisha jeans. Humo humo chooni nilivamiwa na kitu mwili mzima nikaona naishiwa nguvu na dalili za kufa nikaanza kuona giza,kupumua napata shida. Nilichanganyikiwa nikasema hii ndio stroke au,kumbe watu wanakufa hivi ? Nikiwa bado udhaifu unaendelea kunimaliza nguvu nikatoka njr ys choo. Hapo ndio nilishangaa nikaona dunia imebadilika muonekano wake, kuna watu nilikutana nao nje wakanisalimia na niliwatumbua lakini nilikuwa naangalia juu hivi niko wapi kwa hiyo siku mjibu mtu.Nilaamua kurudi kulekule chooni kuomba. Nikajua sasa nakufa ngoja nifanye maombi ya toba nisiangukia jehanum. Kwa hiyo niliacha kupanich nilitukiza moyo. Nikaanzs kuomba sala ya toba taratibu. Baada ya hapo nikaanza kukemea zile nguvu za giza. Nilijikuta naomba hivyo. Ghafla nikaona kibano kimeondoka na hali inakuwa shwari nikakemea tena na tena. Hsli ikawa shwari ingawa mtikisiko ulinidtua . Nikatoka chooni nikamkuta boss ananisubiri,sikumwambia lolote. Nikamaliza kazi nikapanda pikipiki yangu kubwa Yamaha toka ubungo maji mpaka Tabata Kimanga. Nimeandika haya ili wengine wasidhani hatukutani na vitu hivyo. Kwa mfano: Kama huna Yesu mganga/mchawi atatembea na mkeo nae anajua unamwogopa.
Mambo kama hayo

Tumepewa hazina ya ajabu. Wengine mleta uzi huu atafanikisha wao kupona,kutokana wachangiaji.
Mi nafunga ukurasa kwa leo poleni kwa kuwachosha

Jina la Bw. Libarikiwe
Mungu akubariki mtumishi umedadavua vizuri sana,km ni mtu wakuelewa ameelewa
 
Sio swala la anaeombewa kuamini ndio apokee uponywaji,Yesu alimponya mwenye pepo kule pwani ya Wagerasi Mtu huyu alikua kichaa sio mahali kama alikua na imani na hata uponywaji hakuwa akiuhitaji, lakini Yesu alimuonea huruma na kuwaamuru pepo wamtoke mtu yule nae akawa mzima muda ule ule
 
Maombi yenye imani yanaponya, ila siamini kwa wale wanaofanya biashara kupitia uponyaji, japo kuna maombi yanayoambatana na sadaka(sio kupangiwa na muombaji lakini)
 
Faith teachings started during the rise of evangelical era in USA,,,with its fathers and apostles being Smith Wigglesworth,Oral Roberts,Kenneth Hagin.
They include several teachings which are salvation in Christ,,inward and outward gifts of holy spirit,,health and healing,,financial prosperity and pentecostal evangelism,,the Apocalypse(end of times)
As USA became powerful,these preachers toured around the world spreading the good news of the lord on faith and its teachings,hence gathered so many discples who became students like Bishop David oyedepo,Dr Enoch Adeboye,Kenneth Copeland,Tb Joshua,Joseph Prince to mention but a few,,,in turn these spread the gospel to the third and fourth generation who are practising it now worldwide.

Now to ask its genuity,,,before Jesus leaving the earth in the book of Mark 16:17-18
"And these signs shall follow them who believe:in my name they shall cast out devils:they shall speak with new tongues
18:they shall take up serpents:and they drink deadly things it shall not hurt them:THEY SHALL LAY HANDS ON THE SICK AND THEY SHALL RECOVER"

Jesus is real,his mercies endures forever and welcomes with open doors anyone ready to accept him as lord and saviour.

Time is rushing,,everywhere we can hear the hoffbeats of the four horsemen of the apocalypse.m
Praise God
 
Back
Top Bottom