Kuna ushahidi wowote wa faith healing

Kuna ushahidi wowote wa faith healing

shalet

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2013
Posts
3,440
Reaction score
3,606
Habari wakuu,

Kati ya vitu ambavyo nimekuwa nikipenda kujua ni hii kitu inaitwa faith healing au uponyaji kwa njia ya maombi kama haya maombi yanayofanywa na akina mzee wa upako, je ni kitu halisi na inafanya kazi? , mara nyingi nimehudhuria makusanyiko ya injili au crusade wakidai wagonjwa na wenye shida wataombewa ila mwisho wa siku sioni aliyepona je kama haifanyi kazi kwanini wahubiri bado wananadi faith healing?, mbaya zaidi kuna hadi wanaodai kiwango fulani cha pesa ili wakuombee tatizo lako kama vile unavoenda muona daktari naomba kujua hii kitu inafanya kazi au ni utapeli wa walokole.

Una ndugu au wewe mwenyewe ushawahi fanyiwa faith healing? ilikuwa ni tatizo gani na ulijuaje ni maombi yamefanya kazi.

ahsanteni..
 
Habari wakuu,

Kati ya vitu ambavyo nimekuwa nikipenda kujua ni hii kitu inaitwa faith healing au uponyaji kwa njia ya maombi kama haya maombi yanayofanywa na akina mzee wa upako, je ni kitu halisi na inafanya kazi? , mara nyingi nimehudhuria makusanyiko ya injili au crusade wakidai wagonjwa na wenye shida wataombewa ila mwisho wa siku sioni aliyepona je kama haifanyi kazi kwanini wahubiri bado wananadi faith healing?, mbaya zaidi kuna hadi wanaodai kiwango fulani cha pesa ili wakuombee tatizo lako kama vile unavoenda muona daktari naomba kujua hii kitu inafanya kazi au ni utapeli wa walokole.

Una ndugu au wewe mwenyewe ushawahi fanyiwa faith healing? ilikuwa ni tatizo gani na ulijuaje ni maombi yamefanya kazi.

ahsanteni..
Faith healing is a spiritual matter and can therefore only be appreciated by spiritual beings,people who have true faith in Jesus Christ or born again Christians.If you are not a born again Christian, this is above your mental faculties, you cannot appreciate it or understand it.Canal minds cannot understand the things of God,because to them it is foolishnesses.
 
Jesus is real Mimi niliumwa nakufanyiwa operation ndo nikaongeza tatizo baada ya maombi maumivu yote yalipotea nikawa mzima ka sijafanyiwa operation. Namshukuru Yesu ka si yeye nilipona kabisa kwangu Mimi ni muujiza mkubwa mno
wakati unafanyiwa maombi uliendelea na matabibabu ya kawaida kama ndio ulijuaje ni maombi yamesaidia?
 
Faith healing is a spiritual matter and can therefore only be appreciated by spiritual beings,people who have true faith in Jesus Christ,that is born again Christians.If you are not a born again Christian, this is above your mental faculties, you cannot appreciate it or understand it.Canal minds cannot understand the things of God,because to them it is foolishnesses.
mkuu kama faith healing inafanyika manake matokeoa yake yanapaswa kuwa dhahiri undertanding of how it works inaweza kuwa nje ya uwezo wangu mie concern yangu je ni kitu halisi kinafanya kazi kuna ushahidi wowote wa influence ya faith kwenye uponyaji wa mtu.
 
wakati unafanyiwa maombi uliendelea na matabibabu ya kawaida kama ndio ulijuaje ni maombi yamesaidia?
Nilikuwa shafanyiwa matibabu na sikuona unafuu zaidi ya kuongeza tatizo LA maumivu kurudi hospital dr akanipa za kupunguza maumivu nakuniambia maumivu hayaishi na hali ya hewa ikibadilika tu maumivu, so siku hyo nilivornda church sikutegemea aisee maumivu yote yaliisha
 
NI IMANI YAKO AU YA MTU ANAYEKUPENDA KWA MOYO WOTE NDIYO INAYO PONYA
Ni nguvu ya imani
 
Kuna stor ya mwanamke mwenye haemophilia, she's bleeding for almost several yrs before she got a quick & priceless healing from Jesus the Lord..
 
Kuna stor ya mwanamke mwenye haemophilia, she's bleeding for almost several yrs before she got a quick & priceless healing from Jesus the Lord..
am not skeptical about bible stories am curious about faith healing performed by our self proclaimed prophetess if its authentic or they are just conning poor people.
 
mkuu kama faith healing inafanyika manake matokeoa yake yanapaswa kuwa dhahiri undertanding of how it works inaweza kuwa nje ya uwezo wangu mie concern yangu je ni kitu halisi kinafanya kazi kuna ushahidi wowote wa influence ya faith kwenye uponyaji wa mtu.
Yes,ushahidi upo and ample.Sio rahisi wewe kuona kwa kuwa inaelekea sio born again Christian, kwa hiyo huna connection yeyote na born again Christians.Yesu mwenyewe alipokuwa hapa duniani Ministry yake ili focus on preaching the word of God and meeting the requirements of the the needy, including heeling the sick na akasema sisi tukimuamini tutafanya zaidi ya yeye aliyofanya, including heeling the sick.How magnificent.
 
Mimmi nilponywa mara mbili. Moja ni kuombewa

na pili kujiombea mimi mwenyewe ugonjwa wa gangrene ambao ulikamata pumbu zote. Nilikuwa natibiwa Ocean rd nilikuwa na kaa Obay.

Kwa kifupi namshukuru sana Mkuu Areafiftyone amebainisha kwamba haya mambo kama sio mlokole hutaelewa .

Lakini utapopata tatizo ambalo madakari wameishia hapo, utakuwa mtihani mkubwa. Jisalimishe kwa Yesu.

Ni kweli manabii na mitume wengi fake. Sisi walokole tunawajua ila hatuna muda wa kupoteza kunyosheana vidole.
 
Faith in what?
Maybe you can help Me. I had a strong faith before, lkn baada ya kuomba na kuombewa sana na tatizo langu halijaisha yaani saivi nikiona, kusikia au kuambiwa habari hizi za maombi ya uponyaji najikuta nimevurugwa kabisa najiuliza wanaoamini na kupokea wanaamini vipi mbona Mimi sipokei hiyo miujiza. Hebu sema chochte mkuu
 
Kabla ya kuomba au kuombewa uwe na imani yaani akili yako ikubali kwamba Yesu Kristo ni mwana wa Mungu ,alikuja katika umbo la kibinadamu ili tumwamini, japo ni Mungu, na abebe dhambi zetu! Ni hivi naamini ni mara kibao tu ,unapoongea na mtoto utajishusha ili uwe kwenye mazingira yake. So was Jesus to human race. With all that read the bible I could suggest to you the gospel of John and Acts.Imani ujengeka polepole.Visisome kwa utulivu na uombe kabla ili Mungu, awe katika nafsi yako. Mwisho Katio sadaka kanisani au kwa wahitaji kwelikweli, waweza kuwa kwenye familia au maskini barabarani! Then utuletee mrejesho. Kristo akuguse!
 
Wizi mtupu
Hujaumwa sawa sawa Wewe siku ukibwanwa utawatafuta faith healers mwenyewe.Hapo kwanza wewe una tatizo kubwa umekaa kimya shauri yako hicho kinachokusumbua kinakutosha usijiongezee matatizo mengine kwa kukashifu faith healers wasije kukufanyizia bure
 
Back
Top Bottom